Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pengine hujaelewa concern ya Natorn, nikwamba Estate mpya ambazo hazijawahi kuoneshwa humu, Wakenya kila ikiongelewa estate wataleta za buru wakati cc tayari tumeshaanza na estate mpya za Dodoma nyie endeleeni na old Buru
hamjafika bado.., Buru ni moja tu kati ya mingi.., hizo moja moja zenye mnajenga isiwape unnecessary orgasms., kwetu zimetapakaa hadi counties zingine.., so bado sana.., endeleeni kujenga pole pole mtafika tu..,
 
hamjafika bado.., Buru ni moja tu kati ya mingi.., hizo moja moja zenye mnajenga isiwape unnecessary orgasms., kwetu zimetapakaa hadi counties zingine.., so bado sana.., endeleeni kujenga pole pole mtafika tu..,
Ziko wapi au yale ma apartments uchafu ndo estates, a.k.a mapipeline
 
Ziko wapi au yale ma apartments uchafu ndo estates, a.k.a mapipeline
hamuna hata kama hiyo pipeline.., yaani nyie bado sana on average.., unataka nikuletee video clips, from Machakos to Athi River, from Kiambu to Ruaka.., from kajiado to Kitengela.., make youtube your friend kaka.., kila kitu kiko wazi, dunia ya leo mtu asikudanganye na vijimaneno..,
 

Wengine bado wakitapa tapa tapa kwenye route za dala dala..,​

KQ receives nod to fly past New York in US

THURSDAY SEPTEMBER 30 2021
kq-Dreamliner0504FA

A KQ Dreamliner aircraft. FILE PHOTO | NMG

Parliament has backed a Cabinet decision to amend the air services agreement between Kenya and America that will see Kenya Airways expand its route network beyond New York.

Kenya Airways is currently operating scheduled passenger air services between Nairobi and New York.

Kenya signed the deal with the US on February 5, 2020 proposing to revise an earlier agreement inked in Washington DC on June 8, 2008.

The pact will also allow national airlines such as Kenya Airways to access US routes and the American carriers to access the Kenyan market.

Transport Cabinet Secretary James Macharia told MPs that no airline from the US is flying into Kenya.

He said ratification of the agreement will allow the Federal Express Corporation (FedEx) of the US which had expressed interest in starting cargo operations and establish a base in Kenya.

FedEx is seeking to establish an operation base at the Jomo Kenyatta International Airport.

“It is in the interest of the country to ratify the agreement to allow the airlines to expand their route network and engage in commercial arrangements as well as create job opportunities,” Mr Macharia said in a memo.

Transport ministry said ratification of the agreement will enhance trade and commerce, tourism, market access and connectivity, investment interests and mutual cooperation between the two States.

The National Assembly’s Transport committee, in a report to the House said commencement of FedEx cargo operations and a base in Kenya would have a multiplier effect on the Kenyan economy as it will open up immense opportunities for Kenyans.

The team said the agreement will open expanded operations and markets for Kenya and US air operators, facilitate the movement of goods, passengers and mail, offering more flexibility in meeting demands and customer needs.

The committee resolved to recommend to the National Assembly to approve the ratification of the treaty as it is in Kenya’s best interest.
 
FREE NETFLIX ON ANDROID IN KENYA🇰🇪
Netflix has announced that it has launched a "Free plan in Kenya that does not require advertising or registration of payment information" to allow many people to experience the service. Right now The free plan is only live in kenya and only available to users on Android mobile devices. It also only gives users access to many of the streaming giant’s popular films and TV shows. to about 25% of the content i.e., you can watch dramas such as " Blood & Water ", " Bridgerton Family ", and " Army of the Dead "
In past, Netflix has taken various measures to attract users, such as "30-day free trial" and "free trial distribution without user registration" to boost its presence in the relatively untapped African market but this time Netflix is back with a new Free plan
Only available on Android mobile phones, the free plan includes only about a fourth of its total streaming content without the option to download. This includes African teen crime drama Blood & Water, romantic period drama Bridgerton, and zombie heist film Army of the Dead.
View attachment 1958197
The free plan was activated in the past few hours in Kenya and will continue to be distributed in the coming weeks. Going beyond the contours of the single market, it is evident that Netflix is looking for new ways to expand the installed base, targeting the markets where it still has room for growth similar strategies could be adopted in countries where Netflix's circulation rate is still very low.

This purpose is to continue expanding the user base must be seen in the context of the streaming giant's most recent financial results: growth is slower than in the past, and in mature markets, where Netflix has been available for longer, for example. for example the United States , in the last quarter there was also a decrease in the number of subscribers. It is understandable that Netflix, even in the light of increasingly tighter competition, wants to conquer new users where it still has more room to maneuver.

To access "Completely Free Plan" in Kenya;
Enter your email address and password to confirm that you are over 18 years old and create an account.
View attachment 1958202
Click on "Start a Free Plan", to activate free plan.
View attachment 1958204
Note: Right now, it's only live in kenya and only available to users on Android mobile devices. It also only gives users access to about 25% of the content.

Nyie kweli mna akili za senene badala mu ikomalie serikari yenu ipunguze tozo ili bidhaa kama vyakula, mafuta na vifurushi vya simu vishuke bei ili gharama za maisha zishukee we unakenua meno na kuchekelea kuhusu free Netflix kweli kazi mnayo
 

Kisumu Port eyes success as shipped cargo volumes grow

SHIPPING & LOGISTICS
By Harold Odhiambo | September 30th 2021​

qzwpdg8sx9zadct961555829c2218.jpg

MV Uhuru at the Kisumu Port undergoing a facelift to revive the economy of the region. [Denish Ochieng,Standard]
Better days for the nascent Kisumu Port lie ahead if the rising volumes of cargo shipped through the port can be sustained.
High demand for cargo from neighbouring countries has given the port impetus for growth and placed it on a path to success.

Data from Kenya Ports Authority (KPA) shows the volume of cargo shipped through the port has jumped from 450 tonnes to 4,600 tonnes between 2019 and 2021. The port became refurbished in 2018.

READ MORE​

The oil boom breathing new life into Kisumu Port
Works ongoing to give historic Makadara Grounds a facelift


Uganda has taken advantage of the revamped port and is now constructing two ships, which will be introduced on the route before the end of the year.
The ships will join another one dubbed MV Uhuru 11 that is being constructed by Kenya Railways. It is a sister ship to MV Uhuru that is already sailing.
According to KPA, the last few months have seen an increase in exports through the port. Statistics indicate that in the month of August, 38,350 tonnes of cargo were handled at the port.
In a similar period in 2020, the port handled 26,025 tonnes. KPA said in the last one year the volume of cargo handled by the facility increased by 12,325 tonnes.
KPA Managing Director John Mwangemi told Shipping and Logistics the agency was preparing to handle more than 100,000 tonnes annually once the Kisumu-Nakuru railway is connected to the Standard Gauge Railway (SGR).
Figures from KPA show that eight to 10 ships dock at the port every month. Conversely, the volume of imports through the port is much lower than the exports.
According to KPA, the volume of imports through the port range between 200 tonnes and 300 tonnes monthly.
“We hope the cargo traded through the port will increase once the metre gauge railway is connected to the SGR, hopefully by end of November 2021,” said Mr Mwangemi.
Shipping and Logistics has established that KPA is in talks with an investor who wants to build a liquid bulk storage facility at the port.
Should the plans become reality, it will be a major boost for cargo transport through the port, improving the capacity to handle bulk cargo.
“We have traders wishing to import dry bulk cargo from Tanzania and Uganda once Kenya Railways brings wagons for handling the bulk cargo. This may see 100,000 more tonnes shipped through the port,” said Mwangemi.
Kenya Railways has completed construction of a cargo handling facility a few meters from the port.
According to Mwangemi, increased efficiency and railway connection will ensure more container traffic, which could surpass transit traffic. The port has also been anchored by a Sh3 billion industrial park, besides the revised railway, which will boost its viability.
Fertilizer, Magadi soda, and heavy machinery are among cargo majorly shipped through the port.
Oil is another commodity shipped to Uganda. MV Uhuru has ferried about 30 million litres of oil to Uganda. The ship has 22 wagons, all with a capacity of 60,000 litres. ?
In each trip, the ship ferries 1.1 million litres of oil.
 
Ninasema kuwa elimu yangu ni ya juu kwasababu kwanza nimeipata kutoka kwenye world-renowned universities. Two Ivy league institutions and one top European university. Na hapo sijaongeza vyuo nilivyosoma as part of my study abroad pursuits. Na pia Nimefanya kazi kwenye faculty zilizobobea kwenye filed zao duniani. Haijalishi niseme nilisomea kitu gani chuoni, that alone makes my education of a better quality than yours will ever be. Lakini lengo langu si kufanya comparison ya elimu yangu na yako, even though unanilazimisha nifanye comparison.
Nawaonea huruma watoto wa Elon Musk 😀
 
Kuna tatizo na imani hiyo? Wewe ni Mkristo leo kwasababu miaka Mia nne iliyopita wakoloni walileta dini ya Kikristo kama njia ya ku-brainwash watu wawaibie rasilimali. Unafuata dini iliyoibia Babu na Bibi zako na dini iliyotumika kuiba rasilimali zao na kuharibu tamaduni zao za asili. Fikiria ungekuwaje leo kama wakoloni wasingekuja Afrika. Yawezeka ungekuwa na dini za asili za Kiafrika, ambazo wengi wanazihusisha na ushirikina. The point is, you are no position to dictate what or who I believe in.
😀 Walker nini kimekukuta unarukaruka mzee. Dini ya wakoloni unaona ni njia ya kutuhadaa huku ukisifia democrasia ukasahau ni walewale wakoloni.
Nikushauri tu, usihukumu watu kulingana na vitu wanavyovifuata maana hata wewe ukichambuliwa utaonekana hamnazo vilevile, au utaonekana slave, n.k
 
Je, nchi zote "internationally" ziliruhusiwa kupeleka wawakilishi wao katika kutafuta hiyo tafsiri? Kama nchi zote hazikushirikishwa basi hiyo demokrasia inajikaanga kwa mafuta yake yenyewe.
Wakuu mimi msimamo wangu upo palepale, Democracy ni upumbavu mwingine kama GDP tu. Kama democracy ndio njia sahihi ya kuongoza basi itumike katika ngazi zote mpaka kwenye familia na makanisa. Hawa viongozi wenyewe wanaotuteulia tuwapigie kura, ukimchagua huyu ni kama umeruka mavi ya binaadamu ukakanyaga ya nguruwe. Ndio maana mpaka leo watu wanalalamika kuhusu Dr Salim kwa sababu alichomolewa ngazi ambayo inatumia democracy ya rushwa
 
Unaongea kwa maumivu sana mkuu pole bro, nakuelewa, ukweli ni uchungu, zoea tu., haitawai tokea Tanzania iendelee zaidi ya Kenya., mnaelekea Nigerian route..., anza na Dar.., mji fukara kote kote.., na mapato ya taifa je?.., yaani annual revenue? picha halisi ya uchumi.., ata kwa mtu binafsi, mapato yanadhihirisha uwezo wake.., Tanzania ni hovyo sana in comparison, due to size and population! Yaani mtu ako na watato hamsini na mapato yake ni shillingi elfu mia moja ya Tanzania, kisha anategemea kuitumia kwa mahitaji ya kila siku., watoto watafana vipi? Dar aerial view ni jibu lako..., ni muonekano wa ufukara ulio tapakaa kote kote, wageni mara ya kwanza watakuambia, uchi wenu haufichiki! , mnahurumisha lakini! kitu mmetushinda ni ukarimu wa kinafiki hivi., na ushamba kwa wingi. Mengine nah.., Domo domo tu, ukiongeza mziki, na propaganda. Mnafanya mambo bila mpangilio, kisa Kenya wamefanya.., unnecessary competion, mnaweka vipicha kwa angle za kipropaganda kujiliwaza., mtapasuka msamba hivi karibuni, endeleeni kukunya..,
Hahahaha, slums, hunger, starvation, food donations, tribalism and crime
 
Back
Top Bottom