Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo unataka kusema kwamba wewe unaamini unavyoviona tu?
Kuna tatizo na imani hiyo? Wewe ni Mkristo leo kwasababu miaka Mia nne iliyopita wakoloni walileta dini ya Kikristo kama njia ya ku-brainwash watu wawaibie rasilimali. Unafuata dini iliyoibia Babu na Bibi zako na dini iliyotumika kuiba rasilimali zao na kuharibu tamaduni zao za asili. Fikiria ungekuwaje leo kama wakoloni wasingekuja Afrika. Yawezeka ungekuwa na dini za asili za Kiafrika, ambazo wengi wanazihusisha na ushirikina. The point is, you are no position to dictate what or who I believe in.
 
Kuna tatizo na imani hiyo? Wewe ni Mkristo leo kwasababu miaka Mia nne iliyopita wakoloni walileta dini ya Kikristo kama njia ya ku-brainwash watu wawaibie rasilimali. Unafuata dini iliyoibia Babu na Bibi zako na dini iliyotumika kuiba rasilimali zao na kuharibu tamaduni zao za asili. Fikiria ungekuwaje leo kama wakoloni wasingekuja Afrika. Yawezeka ungekuwa na dini za asili za Kiafrika, ambazo wengi wanazihusisha na ushirikina. The point is, you are no position to dictate what or who I believe in.
Mkuu basi wacha haya mambo mana nahisi wewe itakuwa muda wako umeshapita mana Walker ninayemjua mm co huyu, huyu amefirisika kimawazo kabisa, Walker ninayemjua mm alikuwa wamoto hakuna mkunya au mjinga mjinga angemgusa, lkn Walker huyu amechoka sana may be hii I'd walii hack wajanja.

Btw mm cwez kujibu vibaya mwanaharakati mwenzangu, najua ipo cku utarudi tu kundini, wewe maliza yote lkn mm sitakujibu kuanzia leo.
 
Spot on. I have to constantly take breaks to avoid contamination from their stupidity. Ni wajinga hadi hua siamini saa ingine nadhani naargue na mtoto wa chekechea. Mashabiki sana wa ccm.

Hehehe, then why are you always commenting here in a Tanzanian Forum,
Ni stress ama ni nini?
 
I have been a very big follower of this thread since 2017 around Feb.their like 10 people on this thread typing 24hrs daily!!I wonder do you guys even have time for your family, home or office chores ....I even here some are old Men but they are reasoning like my 2 year old Son mostly Tanzanians

Why don’t you avoid it permanently? Jinga sana
 
Hoja kama hii ni Kielezo tosha kuwa watanzania wengi elimu hawana. Tatizo liko wapi nikimuongelea marehemu? Mnaongea kuhusu Yesu na Mungu kila siku mmeshawahi kuwaona Kwa macho? Kama huwezi kuhumili hoja ya mtu mwingine endelea na mambo unayoweza kuhumili.

Yes Kuna Tatizo

Albert Einstein alisema

Akili ndogo hujadili watu (wakiwemo marehemu)

Akili za wastani hujadili Matukio

Akili kubwa hujadili Mawazo/Fikra
 
You try to show yourself as someone who likes to respect other people’s opinions, but you still won’t respect my opinions. What are you? A hypocrite!

I do respect those who respect others, and those who respect other people opinions,
Na watu wasiojikweza kwa kudhani wao ni bora kuliko wengine kama wewe.
Wasiojeshimu mawazo, mitazamo na machaguo ya wengine kwa kudhani mawazo yao, mitazamo yao na machaguo yao ndio sahihi zaidi na yanapaswa kuwa ndio kipimo kwenye jamii. Ndivyo wewe ulivyo.
 
Ninasema kuwa elimu yangu ni ya juu kwasababu kwanza nimeipata kutoka kwenye world-renowned universities. Two Ivy league institutions and one top European university. Na hapo sijaongeza vyuo nilivyosoma as part of my study abroad pursuits. Na pia Nimefanya kazi kwenye faculty zilizobobea kwenye filed zao duniani. Haijalishi niseme nilisomea kitu gani chuoni, that alone makes my education of a better quality than yours will ever be. Lakini lengo langu si kufanya comparison ya elimu yangu na yako, even though unanilazimisha nifanye comparison.

Congratulations

Once Mwanazuoni Albert Einstein said Education is what remains after one has forgotten what one has learned in school,

See now you even manage to expose your stupidity publicly.

Yaani exposure yote in various multicultural societies this is all you can show us
 
Back
Top Bottom