Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Kuna tatizo na imani hiyo? Wewe ni Mkristo leo kwasababu miaka Mia nne iliyopita wakoloni walileta dini ya Kikristo kama njia ya ku-brainwash watu wawaibie rasilimali. Unafuata dini iliyoibia Babu na Bibi zako na dini iliyotumika kuiba rasilimali zao na kuharibu tamaduni zao za asili. Fikiria ungekuwaje leo kama wakoloni wasingekuja Afrika. Yawezeka ungekuwa na dini za asili za Kiafrika, ambazo wengi wanazihusisha na ushirikina. The point is, you are no position to dictate what or who I believe in.Kwahiyo unataka kusema kwamba wewe unaamini unavyoviona tu?




