Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ile maombi ya siku tatu na kujifukiza na kitungu saumu vipi😄😄😄
Waulize misukule ya mwendazake sijawahi fanya huo ujinga mimi..

But wakati unachekelea usisahau kibano hiki hapa 👇

Screenshot_20210927-095928.png
 
Where is Tanzania in football.... There below us ,,, ata mkisifia Yanga milele

View attachment 1957483
Mmeona jinsi wazungu walivyo wasenge na madata yao, sasa wametumia vigezo gn kuiweka Kenya juu ya Tz kwenye soka, yale yale ya GDP, wao wakishapanga nchi 50 za juu zilizobaki hawana mpango nazo.

Nyie wakenya hebu twendeni taratibu, mmeona jinsi aibu inavyowakumba

Kila siku mnato.mb.w kwenye soka, kuanzia klabu mpk timu ya taifa at the same time Tz inang'ara tu alafu eti muwe juu yetu
 
Where is Tanzania in football.... There below us ,,, ata mkisifia Yanga milele

View attachment 1957483
Kuna jamaa ananiambia wanaangalia national timu only na sio klabu, hapo sawa mana cc mpira hatujui ila pesa tunazo ndio maana tumewekeza kwenye soka kama ulaya.

Timu ya taifa hamna shida, nilizani wanachukua na data za ligi kumbe only national team, japo hata national team tunawazidi lkn hainiumi mana najua fika mpira hatujui ila tuna pesa za kununua mpira.
 
Danganyika is a fishing village
Kuna infrastructures za kisasa zipo Tz lkn Kenya hazipo, ni suala la muda tu hao mabeberu wanakwenda kurekebisha hizo namba cz now mkuu wa nchi anaenda nao sawa, anawapa kile wanachotaka so hakuna namna wanalazimika kubadili namba zao, c waafrika tumekeza akili zetu kwao basi wacha watuamulie kila kitu.

Iko wazi kwamba TZ imeendelea zaidi ya Kenya interms of everything ukiacha michezo ya kipuuzi kama kukimbia, lkn the rest ni mbingu na ardhi, na ndiyo maana nyie wakunya mavi mpo hapa
 
Kuna infrastructures za kisasa zipo Tz lkn Kenya hazipo, ni suala la muda tu hao mabeberu wanakwenda kurekebisha hizo namba cz now mkuu wa nchi anaenda nao sawa, anawapa kile wanachotaka so hakuna namna wanalazimika kubadili namba zao, c waafrika tumekeza akili zetu kwao basi wacha watuamulie kila kitu.

Iko wazi kwamba TZ imeendelea zaidi ya Kenya interms of everything ukiacha michezo ya kipuuzi kama kukimbia, lkn the rest ni mbingu na ardhi, na ndiyo maana nyie wakunya mavi mpo hapa
Itafika time ukweli utajidhiirisha mkuu 😃😃😃tuwe na subira
 
Kuna infrastructures za kisasa zipo Tz lkn Kenya hazipo, ni suala la muda tu hao mabeberu wanakwenda kurekebisha hizo namba cz now mkuu wa nchi anaenda nao sawa, anawapa kile wanachotaka so hakuna namna wanalazimika kubadili namba zao, c waafrika tumekeza akili zetu kwao basi wacha watuamulie kila kitu.

Iko wazi kwamba TZ imeendelea zaidi ya Kenya interms of everything ukiacha michezo ya kipuuzi kama kukimbia, lkn the rest ni mbingu na ardhi, na ndiyo maana nyie wakunya mavi mpo hapa
Kenya has twice the gdp of Danganyika with half the land and a lower population.
 
Waulize misukule ya mwendazake sijawahi fanya huo ujinga mimi..

But wakati unachekelea usisahau kibano hiki hapa 👇

View attachment 1957491
many of those who are complaining are middle class wagons 😄😄😄,,,so many unnecessary personal cars within Nairobi,,,if you know you know....sai atleast you can drive peacefully pale Mombasa road😸😸😸
 
Hahahaha, hahahaha, hahahaha, dying horses, why not with Ethiopia Airline which is the closest neighbor and most profitable Airline in Africa?
Birds of the same feathers, South African Airways is currently not operating due to mismanagement and massive losses.... We all know what has brought down KQ on its knees...
 
nyinyi wote akili zenu ni punguani tu ,nivile tu you have different opinions which results to such frictions you see here
Jana umeshindwa kujibu maswali mepesi kabisa niliyokuuliza leo umejisahau umerudia tena kujiona mjuzi.
 
Mmeona jinsi wazungu walivyo wasenge na madata yao, sasa wametumia vigezo gn kuiweka Kenya juu ya Tz kwenye soka, yale yale ya GDP, wao wakishapanga nchi 50 za juu zilizobaki hawana mpango nazo.

Nyie wakenya hebu twendeni taratibu, mmeona jinsi aibu inavyowakumba

Kila siku mnato.mb.w kwenye soka, kuanzia klabu mpk timu ya taifa at the same time Tz inang'ara tu alafu eti muwe juu yetu
Hiyo team yenyu ni ile ile tuliigaragaza kule Misri licha ya kuwa hatuko sawa vile? 😂 😂 😂 Jameni kilio cha wajukuu wa Bibi hicho! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kuna jamaa ananiambia wanaangalia national timu only na sio klabu, hapo sawa mana cc mpira hatujui ila pesa tunazo ndio maana tumewekeza kwenye soka kama ulaya.

Timu ya taifa hamna shida, nilizani wanachukua na data za ligi kumbe only national team, japo hata national team tunawazidi lkn hainiumi mana najua fika mpira hatujui ila tuna pesa za kununua mpira.
Kama hela ipo mpeni offer Samatta arejee Tz, nifunge uzi huu, nihamie Bongo! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kuna infrastructures za kisasa zipo Tz lkn Kenya hazipo, ni suala la muda tu hao mabeberu wanakwenda kurekebisha hizo namba cz now mkuu wa nchi anaenda nao sawa, anawapa kile wanachotaka so hakuna namna wanalazimika kubadili namba zao, c waafrika tumekeza akili zetu kwao basi wacha watuamulie kila kitu.

Iko wazi kwamba TZ imeendelea zaidi ya Kenya interms of everything ukiacha michezo ya kipuuzi kama kukimbia, lkn the rest ni mbingu na ardhi, na ndiyo maana nyie wakunya mavi mpo hapa
"michezo ya kipuuzi" 😄😄😄hata aibu huna ukiandika! Hiyo yenyu yenye sio ya kipuuzi ni ipi maana ata haitambuliki nje ya mipaka yenyu! Unajua kati ya Samatta na Eliud Kipchoge nani anajulikana sana sahi hapa duniani??? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Pambaff! Kakojoe ulale sasa, ama ukikereka sana, jitie kitanzi dogo! 😅🤣
 
Back
Top Bottom