Hahaha nimemuambia alete estate ambayo haijawahi kuingia jf kaniletea zile za udongo 😅😅😅Ameelewa vizuri sana tu ila ni muendelezo wa zile tabia za kipuuz za kikunya.
Githeri ni menu inayotia nguvu ajabu, unaona venye tunapita nao kule ughaibuni. Sasa niambie tungekuwa twala mihogo, kiepe na K-vant, tungewezana kweli!? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ushashindwa hoja ww tulia hapo uletewe githeri ule.
Dar ni kubwa mara 5 ya naipori-slums-everywhere na bado imejengeka sana, kijiji cha naipori ni kidogo sana bado ni 35% ndio imejengwa slumsWanajuaga mbezi beach, na masaki tuu
For the first time in JF hii neighbourhood haijawahi kuwekwa huku
Kibada Estate, Dar ni bigger and developed 100 times than shithole naipori-slums-everywhere
Kama kunyans mna ubavu, tuleteeni newest estate on jf ambayo hamjawahi kuweka humu battle ianze upya
Haaa pole yako Kigamboni mradi wake unaendelea mpk sasa kushajengwa nyumba 100000+ na bado zinaendelea kujengwa utasema hilo eneo dogo?Try again 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 .., pumzika kaka, jipe shughli tu., hautopata.
Popularity sio ubingwa..,Hapa Afrika mashariki taja timu inayoshindana na Yanga na Simba ukiitoa Tp Mazembe?
evidence., mlisema nyie maneno bila picha ama video nikama kuvaa dera bila tako 😂 😂 😂 😂Haaa pole yako Kigamboni mradi wake unaendelea mpk sasa kushajengwa nyumba 100000+ na bado zinaendelea kujengwa utasema hilo eneo dogo?
Buddah Dar ni kubwa aisee.
Kazame uingie uone mbn ht magazeti yenu yanaandika habari zetu?evidence., mlisema nyie maneno bila picha ama video nikama kuvaa dera bila tako 😂 😂 😂 😂
Popularity sio ubingwa..,
umechelewa sana 😂 😂 😂, refer back, ukubwa wa Dar tunajua uko wapi, sio developed area.., so tulia.., udongo na idadi ya watu, matokeo, makazi ya kishamba kutapakaa kwa ukubwa wake..,Buddah Dar ni kubwa aisee.
Nakuletea Upanga pekeake.
View attachment 1958151
View attachment 1958152
View attachment 1958153
Nilijua umeleta domo domo kama wenzako, walijaribu waka fyata 😂 😂 😂 😂Kazame uingie uone mbn ht magazeti yenu yanaandika habari zetu?
Au ktk mambo ya maana hamletagi umbea.?
Tulishawahi kuwaambia humu kuwa kuna sehemu kibao za Dar Es Salaam hazijapostiwa humu wakadhani tunatania.Hahaha nimemuambia alete estate ambayo haijawahi kuingia jf kaniletea zile za udongo [emoji28][emoji28][emoji28]
wtf!!! Kwani mko alagic to city planning!!!Buddah Dar ni kubwa aisee.
Nakuletea Upanga pekeake.
View attachment 1958151
View attachment 1958152
View attachment 1958153
Popularity sio ubingwa..,
We ni kiazi we si unaona kabisa barabara zimepangika na mitaa imepangika?wtf!!! Kwani mko alagic to city planning!!!
Hivi umeshuka chini ya hayo maeneo ukatizama nyumba zilizojengwa?umechelewa sana 😂 😂 😂, refer back, ukubwa wa Dar tunajua uko wapi, sio developed area.., so tulia.., udongo na idadi ya watu, matokeo, makazi ya kishamba kutapakaa kwa ukubwa wake..,
View attachment 1958156
Kama tu msimu wa ligi unaisha huko kwao halafu msimu mpya unaanza bado mshindi wa msimu uliopita anadai zawadi...halafu unategemea ajadili mpira wa miguu.Hiyo ni kawaida.
Tupime mafanikio ambayo timu zenu za mpira zimepata na timu zetu za mpira zimepata.