Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Demokrasia huwezi kuiweka kwenye kapu moja. Huwa inabadilika kutokana na muda na utamaduni wa watu katika sehemu husika.

Kuna nchi mwanamke anatakiwa kujifungia ndani wakati wote, kama wananchi wa nchi hizo wameikubali hali hiyo (kwa mama, bibi na dada zao) basi hiyo ni demokrasia kwao. Kuna nchi nyingine huo unaonekana ni unyanyasaji wa wanawake, wakati miaka 100 tuu iliyopita nchi hiyo hiyo ilikuwa hairuhusu wanawake kupiga kura.
Demokrasia ni Jambo lililotafsiriwa na kukubalika" Internationally", kwahiyo lazima kuwepo na "standard definition" ambayo itatumika Kama "benchmark" ya kusema Kama kweli nchi Fulani imefikia kuitwa ni nchi yenye demokrasia.

Kuna vigezo vya kimataifa vilivyokubalika duniani vinavyotumika kuzipanga nchi zote duniani kuanzia nchi yenye demokrasia zaidi, hadi nchi isiyo na demokrasia duniani, Kama ilivyo katika kujua "Peace index", GDP, corruption perception index, Life expectance index, Literacy rate, na vigezo vinginevyo ambavyo kwa pamoja vinatengenaza "Human development index".

Inakuaje kote huko tunakubali lakini inapofika kwenye demokrasia unataka kila nchi ijichagulie vigezo vyake yenyewe?, Ukitaka hivyo basi nchi zenye kusumbuliwa na rushwa pia zitasema kwamba kwao kutoa pesa ili kupata haki wasiyostahili sio rushwa kwasababu huo ni utamaduni wao wameuzoea
 
The best 007 ,the kind of reasoning you have speaks louder how your miserable life is,,how do you even know someone comes from slums? Should I also say all Tanzanians here including you are from tandale?
 
The best 007 ,the kind of reasoning you have speaks louder how your miserable life is,,how do you even know someone comes from slums? Should I also say all Tanzanians here including you are from tandale?
Ondoa mafi yako hapa, wewe huoni kama Kenya nzima ni slums kushoto kulia.
 
Ukifika mwaka 2025 inshallah Wakenya watakuwa wanatuogopa sana mana speed yetu ya maendeleo ni kubwa sana, huu uzi umekuwa wa Watz kuonyeshana vitu vyetu, wakunya washazidiwa wameanza kuji isolate themselves from the thread
 
Demokrasia ni Jambo lililotafsiriwa na kukubalika" Internationally", kwahiyo lazima kuwepo na "standard definition" ambayo itatumika Kama "benchmark" ya kusema Kama kweli nchi Fulani imefikia kuitwa ni nchi yenye demokrasia.
Je, nchi zote "internationally" ziliruhusiwa kupeleka wawakilishi wao katika kutafuta hiyo tafsiri? Kama nchi zote hazikushirikishwa basi hiyo demokrasia inajikaanga kwa mafuta yake yenyewe.
 
Hehehe, then why are you always commenting here in a Tanzanian Forum,
Ni stress ama ni nini?
This is the kind of stupidity am talking about. So Facebook should only be used by Americans sababu ilianza USA. You are very stupid game over. Very stupid and your reasoning na hawa wenzako is the reason Tanzania still lags behind.
 
No but its in the same metro area with Nairobi linked by a high speed highway. Zanzibar, bagamoyo can never be in the same metro with dar wacha kua jinga
Jibu swali is thika and nairobi in same county??😁😁😁😁 munaiga system za america wakat kula yenu ya tabu
 
Hvi naomba kuuliza wanaposema wanawake wananyimwa haki zao ni kama hazi gani?
Mzee upo wapi? wanawake wangapi wanadhulumiwa mirathi ya waume zao Tanzania? Umiliki ardhi kwa wanawake ukoje in general? Huko Usukumani ukiwa mjane wanakuzushia uchawi na kukuua! Gender inequality ipo and very evident Tanzania na Africa at large!
 
IMG_2777.jpg

Jiji la Nairobi
 
Back
Top Bottom