Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

niliuliza wangapi wamekufa hamkunijibu.., propaganda, facing isn't death, and it is not necessarily it, a risk.., mnatamani sana iwe mbaya lakini wapi, Kenya sio fukara kama TZ.., janga likitokea kwenu mtahami nchi wote, mko hovyo sana.., software yenyu ndio mbovu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanini Kenya haiwezi kujitegemea kwa chochote? You are crippled dependant on everything yet yapping here superpower [emoji28][emoji28][emoji28]


Alafu wamekaa wanajiongopea kwamba eti tuna export food stuff kwao, mfano mpunga na mahindi kumbe wao ni customer wetu wa kila kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alafu wamekaa wanajiongopea kwamba eti tuna export food stuff kwao, mfano mpunga na mahindi kumbe wao ni customer wetu wa kila kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kenya hamna kitu mkuu, wanatuheshimu na kutuogopa Sana, tukiamua kuwafungia milango hawawezi kumaliza mwezi mmoja bila kuomba msamaha, uchumi wao hauna mizizi kabisa, "Uchumi janja janja".
 
Kenya hamna kitu mkuu, wanatuheshimu na kutuogopa Sana, tukiamua kuwafungia milango hawawezi kumaliza mwezi mmoja bila kuomba msamaha, uchumi wao hauna mizizi kabisa, "Uchumi janja janja".
Si tuliona enzi za Magufuli alikuwa wakileta fyoko fyoko anafunga boda, jamaa wanatuma mtu aje kuomba msamaha baada ya kugundua Magu yupo serious ikabidi Rais wao apige magoti, Kenya hawana jeuri ya kutunishiana na Tz na co Kenya tu bali vinchi vyote vya ukanda huu, cku Tz ikikumbwa na njaa juwa kwamba East and Central Africa imekumbwa na njaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani hapa hapa EA kuna nchi mfumuko wa bei unafika hadi 6%!

7%
IMG_1940.jpg


evidence: central bank of kunyaland
 

Attachments

  • IMG_1503.jpg
    IMG_1503.jpg
    40.8 KB · Views: 11
  • IMG_1504.jpg
    IMG_1504.jpg
    41.3 KB · Views: 15
Alafu wamekaa wanajiongopea kwamba eti tuna export food stuff kwao, mfano mpunga na mahindi kumbe wao ni customer wetu wa kila kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kunyaland bila Tanzania haiwezi kumakiza siku 1 bila kukata moto, wanavyoforce uhusiano na sisi sio kwa kupenda bali situation inawalazimu 😅😅😅
 
Kunyaland bila Tanzania haiwezi kumakiza siku 1 bila kukata moto, wanavyoforce uhusiano na sisi sio kwa kupenda bali situation inawalazimu [emoji28][emoji28][emoji28]
Kwa jinsi ninavyowajua hawa jamaa wao ndiyo wangekuwa na potential kama zetu tungekoma EA, sema Mungu fundi sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Misosi inayotambulika kitaifa [emoji1787], Hamna hata dagaa haijatajwa ? Ni aina tatu tu za Tembele tumekua sungura[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 1958566
Alafu hiyo 1.7% ya sugar it means Wakenya wengi vitu kama chai kwao ni anasa au cjaelewa vzr wakuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa jinsi ninavyowajua hawa jamaa wao ndiyo wangekuwa na potential kama zetu tungekoma EA, sema Mungu fundi sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah wangekuwa wanatunyea kichwani 😅😅😅 laiti wangekuwa na nusu tu ya kilichopo Tanzania, tungekoma 😅😅😅
 
Back
Top Bottom