Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu wamekaa wanajiongopea kwamba eti tuna export food stuff kwao, mfano mpunga na mahindi kumbe wao ni customer wetu wa kila kitu
Kenya hamna kitu mkuu, wanatuheshimu na kutuogopa Sana, tukiamua kuwafungia milango hawawezi kumaliza mwezi mmoja bila kuomba msamaha, uchumi wao hauna mizizi kabisa, "Uchumi janja janja".
 
Kenya hamna kitu mkuu, wanatuheshimu na kutuogopa Sana, tukiamua kuwafungia milango hawawezi kumaliza mwezi mmoja bila kuomba msamaha, uchumi wao hauna mizizi kabisa, "Uchumi janja janja".
Si tuliona enzi za Magufuli alikuwa wakileta fyoko fyoko anafunga boda, jamaa wanatuma mtu aje kuomba msamaha baada ya kugundua Magu yupo serious ikabidi Rais wao apige magoti, Kenya hawana jeuri ya kutunishiana na Tz na co Kenya tu bali vinchi vyote vya ukanda huu, cku Tz ikikumbwa na njaa juwa kwamba East and Central Africa imekumbwa na njaa
 
Yaani hapa hapa EA kuna nchi mfumuko wa bei unafika hadi 6%!

7%
IMG_1940.jpg


evidence: central bank of kunyaland
 
Alafu wamekaa wanajiongopea kwamba eti tuna export food stuff kwao, mfano mpunga na mahindi kumbe wao ni customer wetu wa kila kitu
Kunyaland bila Tanzania haiwezi kumakiza siku 1 bila kukata moto, wanavyoforce uhusiano na sisi sio kwa kupenda bali situation inawalazimu 😅😅😅
 
Back
Top Bottom