Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

chuki zisizo na msingi wowote.. wacha niwaache niendelee kusoma comments tu[emoji23]
Jamaa huyo ni mbaguzi alafu anachuki zisizokua na sababuu mtu utasemajee jpm alikuaa ana mawazo ya kibishara wakati kila kona alikuaanaboresha miuondombinu ili kutengeneza mazingira mazuri ya biashara
 
na ndege za AirTanzania.. most time alikuwa anasema tunataka watalii lkn hatuna ndege.. akili gani hizi.. ndo mana nimeamua kununua ndege zetu wenyewe ili tupate watalii wa kutosha
it takes more than buying jets! Mama knows what tourism promotion is! Yule alikuwa fundi mjenzi ila kwenye biashara haikuwa field yake! So endeleeni kumponda mama humu na mimi naponda kule! It takes the whole package AND NOT mihemko! From $2.5 bln before to around $500 mln 2020 and yet tozo zilibaki! Yaani kama si soko la dhahabu kupanda sijui tungekuwa wapi!
 
tangu aingie msukumo wake haukua conference tourism ilidorora pili hata Bureau de Change akafunga tatu punguzo la tozo limeombwa siku nyingi sana akakaa kimya!


Twende before corona when tourism was flying in tz utuuulezeee jinsi alivyokua anaua utalii usitafute pakutokea hapa na na pia utuulezee miundombinu kama bandari na reli ambazo jpm alikua akizijenga zilikua za kazi gani kwasababu wewe unasema alikua ana fikra za kibiashara
 
That Ocean Drive, that beautiful and the longest bridge in East and Central Africa Tanzanite bridge is almost done ,
Rekodi ya hili daraja itavunjwa miaka miwili ijayo na Kigongo-Busisi Bridge in Mwanza.. of course Money talks .
IMG_2604.jpg

IMG_2603.jpg

IMG_2602.jpg

IMG_2602.jpg
 
Twende before corona when tourism was flying in tz utuuulezeee jinsi alivyokua anaua utalii usitafute pakutokea hapa na na pia utuulezee miundombinu kama bandari na reli ambazo jpm alikua akizijenga zilikua za kazi gani kwasababu wewe unasema alikua ana fikra za kibiashara
Leadership is how u rise up from calamities, it's how u stand up when brought down to ur knees. Its how u come up with recovery plans! Ofcourse, He did not have any! The tourism stakeholders pleas got to deaf ears! Just like he promoted agriculture na asiyefanya kazi na sile he needed to cushiona and promote tourism too!
 
Leadership is how u rise up from disasters, it's how u stand up when brought down to ur knees. Its how u come up with recovery plans! Ofcourse, He did not have any! the tourism stakeholders pleas got to deaf ears!

Recovery plans si ndio kama izo alizifanya kutofunga mipaka wala kuweka lockdown, sasa kama angeamua kufunga mipaka na kuweka lockdown tusingeambulia ata iyo 700mln $ na watu wengi zaidi wangepoteza kazi
 
Recovery plans si ndio kama izo alizifanya kutofunga mipaka wala kuweka lockdown, sasa kama angeamua kufunga mipaka na kuweka lockdown tusingeambulia ata iyo 700mln $ na watu wengi zaidi wangepoteza kazi
Tumepata $500 mln 2020 soma link niliyokutumia! Kwahiyo kwa akili yako kutofunga mipaka na kutochanja kumesaidia tourism?
 
Leadership is how u rise up from calamities, it's how u stand up when brought down to ur knees. Its how u come up with recovery plans! Ofcourse, He did not have any! The tourism stakeholders pleas got to deaf ears! Just like he promoted agriculture na asiyefanya kazi na sile he needed to cushiona and promote tourism too!

We jamaa ujielewi ata posti zako unazoposti umu unazisahau, we all know hvi karibuni tumekua na influx kubwa ya watalii kutoka eastern Europe especially Poland, urusi na ukrain the reason behind tanznia borders were still open for tourism while nchi nyingi zilikua zimefungwa sasa sijui unataka recovery plan ipi kuvaa mabarakoa au
 
We jamaa ujielewi ata posti zako unazoposti umu unazisahau, we all know hvi karibuni tumekua na influx kubwa ya watalii kutoka eastern Europe especially Poland, urusi na ukrain the reason behind tanznia borders were still open for tourism while nchi nyingi zilikua zimefungwa sasa sijui unataka recovery plan ipi kuvaa mabarakoa au
walikuja halafu wa Urusi wakasepa sio!
 
Natoka jamii ya apunguani kama yako,mimi sio baba yako usinizoee siwezi zaa muuza mbususu jukwaani pumbavu..

Mbona wewe kima jike umeshindwa kuongea kistaarabu ? Huna akili
Ngoja nikupuuze tu ila kwa akili yako unaweza kuweka ligi na mimi kiufupi hujakaa kiume,uko kimama mama,mshari mshari.nafikiri mwisho wa kukujibu kwanza huna hata mchango wa maana kwenye hii thread mwanaume wenzio wanaleta hoja za maana wewe taarabu tupu pita kuleee.

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Mwache mama afanye kazi yake! Ukimsakama mtu yuko madarakani miezi 6 nami naibua upuuzi wa JPM wa miaka mitano!

Kwani kuna mtuu kamzuia, ila kukosolewa lazimaa na uko sio kumsakamaa wewe ndio umwache mwendazake alalee salama maanake alivyokua hai ulikua unakenua meno ukichekelea miradi yake saivi sijui pepo gani limekuingia
 
Kwani kuna mtuu kamzuia, ila kukosolewa lazimaa na uko sio kumsakamaa wewe ndio umwache mwendazake alalee salama maanake alivyokua hai ulikua unakenua meno ukichekelea miradi yake saivi sijui pepo gani limekuingia
mko biased na hamko measured wanazengo miezi sita mnapiga kelele ni kama kuna ulaji mama kawakatia! I can't accept that mnanifanya nimchukie mnavyozidi kumshupalia mama!
 
Back
Top Bottom