hapo inabidi wafanye ustaraab wakuboresha zaidi ili kuvutie zaidi
, Tanzania Marine Parks etc. Itabidi mwende sio mbali bana , Mnapitwa sana.Kweli bro me nafkiri tuipitishe hii iwe mada ya leo.. yo our dear kenyan brothers and sisters njoeni bhana wale wamatusi wameshakula ban.. njoeniWakenya tuanze battle ya bus terminals au mnasemaje![]()
Ndege ya shirika gn hii?
Geza unaheshimika sana Huku ndani..achana na huyo mpuuzisi babako alipo sasa!
Kazi tunayo Tanzania, kweli dege Zima hili limekwenda hadi USA kwenda kupeleka watu kuhutubia viti vitupu, nani anasikiliza hotuba za viongozi wa Africa huko UN siku hizi, hivi alishindwa kutumia ndege za abiria ili kupunguza gharama Kama kweli aliona Kuna umuhimu wa kwenda?
Sema wewe mkuu.Kazi tunayo Tanzania, kweli dege Zima hili limekwenda hadi USA kwenda kupeleka watu kuhutubia viti vitupu, nani anasikiliza hotuba za viongozi wa Africa huko UN siku hizi, hivi alishindwa kutumia ndege za abiria ili kupunguza gharama Kama kweli aliona Kuna umuhimu wa kwenda?
Old kariakoo, nasubiri picha ya new kariakoo watu wakimbie humu![]()
Hahaha hawana Hata Bus station ya MatatuWakenya tuanze battle ya bus terminals au mnasemaje![]()
Ndege ya shirika gn hii?
Kweli bro me nafkiri tuipitishe hii iwe mada ya leo.. yo our dear kenyan brothers and sisters njoeni bhana wale wamatusi wameshakula ban.. njoeni




Wakenya wameshukuru huu uzi kubadilika wapo kimya hata awataki kulalamika kuhusu kubadilika kwa huu uziYeah huyo tumuacheni tu aweke siasa but cc tusim quote cz hatuna uwezo wa kumtoa, hata mods pia hawana uwezo wa kumtoa kwasababu kila mtu ana haki ya kusema atakacho ilimradi tu asivunje sheria za JF.
Hatumkatazi kuweka kile kinachompendeza tatizo jamaa ana visasi, utakuta anaweka habari nzuri tu kuhusu Rais Samia lkn mwisho lazima aweke maneno ya visasi which means yeye mwenyewe kuna baadhi ya mambo yanayofanyika serikalini hakubaliani nayo ila tu ni kwasababu ana visasi na ndiyo maana anaweka maneno flani flani ya kujiliwaza na kusubiri kuona kama kuna mtu atakereka zen yeye apate relief, so dawa yake ni kumpotezea tu ili akale alipopeleka mboga.

kumbe jamaa maji yaliwafika shingoni unaona walivyo nyamaza kama sio wao 

Ni mashoga wa ccm