Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mnadanganywa kweupe,mwambie huyu jamaa aweke drone footage ya Mwanza na Arusha hapa muone wenyewe.

Kijiji cha Mwanza ukiacha kwamba kimejaa uswazi hakina barabarani zozote za dual carriage hata moja na wala hakina majengo marefu kulinganisha na Arusha..

Kelele za Sasa ni kile kidaraja kinachojengwa sasa na sgr tuu nothing else rather than slums.

The only City to watch out of Dar ni Dodoma tuu ambayo iko underconstruction.
We **** umeshawahi kufika Mwanza.? 😂😂😂, Eti Mwanza hakuna dual carriage way we ni matako nini.? Arusha is nothing compared to Mwanza hiyo miji yote nimeishi naijua in and out, Mwanza imeendelea na sana, eneo la jiji la Mwanza ni wilaya mbili (Ilemela na Nyamagana), inaonekana wewe ni mpumbavu wa kikenya unaejitia utanzanzia, hakuna mji wa kulinganisha na Mwanza hapa tz nyuma ya DSM, ukibisha twende ground tueke battle ya Mwanza vs Arusha, alafu uone kama Arusha inatoboa.. nimefanya kazi Arusha, nimesoma Mwanza miaka mitatu, yani wewe ni fala tu kwangu kwenye kuijua hiyo miji, mana hakuna viwanja vya stareh sijaingia in both cities.. hiv ukitoa barabara ya Arusha Moshi ni kitu gani kingine unaweza kushindanisha na Mwanza...? kwenye majengo marefu both cities hakuna, ni hivyo hivyo vigorofa kumi kushuka chini, kila mji Kati ya Mwanza na Arusha kuna jengo refu moja tu ambapo Mwanza ni jengo la gorofa 17 while Arusha ni jengo la 18 floors .. Mwanza Ina Mall kubwa kuliko malls zote za DSM, uje ulinganishe na ka Arusha, we ni fala nini.? Mji una watu zaidi ya 1.2m uje ulinganishe na mji wa watu 400k kweli.? We ni matako wa kikenya huijui Tanzania alafu unajifanya mtanzania 🖕, wachaga, wamasai, wameru kibao wanakimbilia Mwanza kutafuta maisha alafu unanibishia we **** ambae hujawahi kufika hata iyo Mwanza yenyewe.? 🖕
 
We ** umeshawahi kufika Mwanza.? 😂😂😂, Eti Mwanza hakuna dual carriage way we ni matako nini.? Arusha is nothing compared to Mwanza hiyo miji yote nimeishi naijua in and out, Mwanza imeendelea na sana, eneo la jiji la Mwanza ni wilaya mbili (Ilemela na Nyamagana), inaonekana wewe ni mpumbavu wa kikenya unaejitia utanzanzia, hakuna mji wa kulinganisha na Mwanza hapa tz nyuma ya DSM, ukibisha twende ground tueke battle ya Mwanza vs Arusha, alafu uone kama Arusha inatoboa.. nimefanya kazi Arusha, nimesoma Mwanza miaka mitatu, yani wewe ni fala tu kwangu kwenye kuijua hiyo miji, mana hakuna viwanja vya stareh sijaingia in both cities.. hiv ukitoa barabara ya Arusha Moshi ni kitu gani kingine unaweza kushindanisha na Mwanza...? kwenye majengo marefu both cities hakuna, ni hivyo hivyo vigorofa kumi kushuka chini, kila mji Kati ya Mwanza na Arusha kuna jengo refu moja tu ambapo Mwanza ni jengo la gorofa 17 while Arusha ni jengo la 18 floors .. Mwanza Ina Mall kubwa kuliko malls zote za DSM, uje ulinganishe na ka Arusha, we ni fala nini.? Mji una watu zaidi ya 1.2m uje ulinganishe na mji wa watu 400k kweli.? We ni matako wa kikenya huijui Tanzania alafu unajifanya mtanzania 🖕, wachaga, wamasai, wameru kibao wanakimbilia Mwanza kutafuta maisha alafu unanibishia we ** ambae hujawahi kufika hata iyo Mwanza yenyewe.? 🖕
😁😁 Mapovu ya kufulia nguo,Huwa sitaki maneno,tupia picha ya dual carriage road hapa iliyopo Mwanza sio kutukana hovyo kama umebakwa..

Ukiipata naacha kuchangia,hicho kijiji uchwara cha Mwanza sisimuliwi we kenge.
 
nyie mbona maaajabu haya..
Nakuru-Eldoret (156km) wanatumia hizi daladala?
View attachment 1934756


View attachment 1934760


sisi kwetu.. Mbezi Mwisho Bus Stop-Mbagala Mwisho Bust Stop
View attachment 1934770

(45km ..umbali mkubwa kuliko wote wa daladala kutembea) hizo daladala ndogo za kikenya haziruhusiwi..

zinaruhusiwa haya magari makubwa makubwa kama haya na vidaladala vidogo haviruhusiwi.. lkn kenya 156km zinatumika vikirikuu
View attachment 1934778


kwa hili hakika nawapongeza ile mamlaka ya kusimamia usafiri wa ardhini (LATRA).. hakika kwa hili nimeona umuhimu wao
Haha sio nakuru eldoret bali ni Nairobi eldoret via nakuru sababu hivyo vipanya vipo Nairobi hapo so more kilometres
 
Aiseee una uhakika na unachoandika hapa?

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Usiongee kitu usichokijua utaibika siku nyingine huku tz kila basi lina specific route yake na leseni yake toka land transport Agency pia all buses are fitted with GPS tracker surveillance system ya Traffic police huwezi badilisha route.
 
Wew kijana una matatizo.
Huoni aibu unapingwa wew tu
😁😁 Ukipata road kama hii hapa 👇 hapo Jiji uchwara nahama Uzi

Screenshot_20210909-074938.png


Screenshot_20210909-075030.png
 
Hzo ni intercounties mzee
Ukiambiwa Nakuru eldoret basi ni lazima ifike eldoret, private sector kenya watu hutumia akili..
Shuttles nyingi zina interconect na kuapatia abiria nakuru na kupiga u-turn..

Nakuru na eldoret zote zipo region moja mzee, utafutaji wa hela unahitaji akili na kucheza na mipango vile vile..

Mabasi ya mkoa to mkoa hayo hapo
Hakuna maneno unaweza ongea kurahisisha safari ya 500km kutoka Nairobi mpaka eldoret ndani ya hivyo vipanya

Huwa vinaingiza watu zaidi ya 25 na ni vifupi mno, legroom kwa sisi watu warefu ni mtihani height yangu mimi kwenye bams lazima kichwa kigonge roof, sitaweza kuangalia through windows na vinapata ajali mno, ndani huwa hamna hewa kabisa kikisimama dakika 2

Tanzania ya leo bus bila kuwa na 2 by 2 / 2 by 1 seats hakuna mtu utampakia kwenye bus lako, hicho kipanya mnakaa watu wanne mpaka watano kwenye row moja, space between 1 row and next, 1 column and next ni hamna

Hakuna mtanzania wa kupanda hivyo vipanya labda wapakie viazi humo!
 
Wewe ni mjinga kweli, unajua hata "shuttle" inamaanisha nini as far as transportation is concerned?
Shuttle ni interconnecting transport where there is no proper scheduled transport between the two locations.
 
I'm sure you also don't know that KQ has 41% shares in Precision Air, yani uchumi wa Tanzania imeshikwa na wakenya. Starting from Banking, media, Aviation, manufacturing, education, construction, management etc.
What is 41% shares on a two small planes company.
 
Back
Top Bottom