Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Sorry, I don't deal with Wikipedia 😂😂Nimeona Mkenya anasema Kenya inajenga Meli kubwa kupita zote Ziwa Victoria... Aisee huyu akapimwe mkojo Meli za Kenya ni sawa na mitumbwi kwa Meli za Tanzania.
Tanzania ina Meli zaidi ya 20 operational na Bado inajengwa Ziwa Victoria ambapo Kenya ndio Kwanza Meli wanayaaminia ni sawa na mfu...
Tanzania ina Chelezo kubwa Kuliko zote Africa inafanywa kazi Sasa sijui Wakenya meli zao wanabeba na mkono
View attachment 1933697View attachment 1933698
