Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha is far better than Mwanza mji wa kishamba una muonekano wa kuchoka.., hii 👇 👇 ni better on average than dar is slum.,
View attachment 1932908
Ila nyie wakenya mnachekesha sana 😂😂 hujawahi kufika hiyo miji so huna unachojua, Mwanza imeendelea zaidi kuliko mji wowote Tanzania ukiitoa DSM, by the way nimefanya kazi Arusha after form six, nimesoma chuo Mwanza miaka mitatu likizo zote nimetumia Arusha, naijua hiyo miji nje ndani, Tafuta nauli uje mimi ntakua mwenyeji wako, Ili ujionee ambavyo Mwanza imeendelea, hivyo vipicha visikudanganye.. kenyans kumbe mnasumbuliwa na kuto tembea..watu wa Arusha huwa wanaenda Mwanza kwaajili ya kutafuta maisha, biashara na starehe..
 
Sitaki gari zinazoenda moro mimi
Nataka kampuni ambayo inayopiga dar moro pekeeake km mnavyojisifia eti 100km route ina mabasi yake na wakati ni vile vi mini-bus vyenu vichafu vya mijistika iliyochakaa
Tangu mm ninasoma primary hiyo kampuni ipo abud buse na mengine
 
nice narrative here too



Magu alikuwa na wazo la kuingiza historia kama hizi kwenye vitabu vyetu but vidampa wa Wazungu wameahirisha baada ya mzee kufariki, Africa tuna safari ndefu sana, yn historia za ukweli na zenye tija kwa nchi hatuzitaki bali tunataka historia za "binadamu wa kwanza alikuwa nyani na alikuwa mweusi".
 
Very clean unlike nchi mojawapo sijataja nchi lakini
Screenshot_20210911-163357_Instagram.jpg
 
KQ imepotelea wapi? Mnavyojitapa eti pride of Africa ,ATC tunakuja Congo kwa kishindo sio ushenzi
huo mliowapelekea wakongo
I'm sure you also don't know that KQ has 41% shares in Precision Air😂😂, yani uchumi wa Tanzania imeshikwa na wakenya. Starting from Banking, media, Aviation, manufacturing, education, construction, management etc.
 
Lakairo ni Lake Zone Mogul

Industries
Mining
Construction
Hospitality and Leisure
Transportation
Warehousing
Real Estate


Lakini hayupo kwenye ranks zozote ila Moi, Biwott na jangili nginaa wamejaa tele for nothing sensible 😅😅😅

images - 2021-09-11T111343.457.jpeg
images - 2021-09-11T111127.364.jpeg
images - 2021-09-11T110919.128.jpeg
images - 2021-09-11T110940.646.jpeg
 
Hamna chelezo ya kujenga meli kubwa ziwa Victoria mbali na iliopo Mwanza na hakuna meli kubwa Victoria zaidi ya inayojengwa kwenye hiyo chelezo
The day Tanzania will have or construct a ship measuring 100m njoo tuongee, right now mnacheza kwa group ya watoto. Hata Uganda iko na meli kubwa kuliko what you have 😂😂😂
 
Back
Top Bottom