Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe Wakenya tumewaacha sana kimaendeleo, mtu anashangaa bus kutoka Dar kwenda Moro zen linageuza linarudi Dar, smh..
Nkm ratiba zote unapanga wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Likipiga hvo siku ingine linapewa route ya mbali
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Aah kmmk kamwe, yani kwamba unabishia hata usivyovijua duh, mbona mnaamini kwenye uongo uongo, Tz route ndogo ndogo hivyo za mabasi ni nyingi mno, gari zinazotoka Dar-Moro ni gari mingi mno na haziunganishi route yoyote, juzi nikitoka DSM kwenda Moro na gari inayotoka DSM saa nane (google the distance).. nakupa na hii kuna kampun za mabasi zaidi ya kumi na tano zinazosafiri Tanga-DSM na ni safari ya masaa matano tu..
Safari za masaa matano hta somalia kuna kampuni zinafanya...
Nataka unipe kampuni inayofanya dar moro nitoke jf..
Unafikiria matajiri ni wapumbavu kiasi hicho, magari hubadili route mzee acheni ushamba
 
Tembea uone acha kujificha kibera
Kampuni zote za mabasi zinaunganisha route kinachobakia ni ubabaishaji tu..
Gari linalopiga dar moro unaweza likuta siku nyingine linapiga kwngine..
Zile sticker tu mzee
 
Chelezo huna alafu unataka kuunda meli, mnadhani JPM alikuwa mwehu kujenga chelezo kubwa Africa? Nchi yoyote Africa ikitaka kujenga meli itabidi ije Tz kuomba msaada kuunda meli yao kama wanataka kupunguza gharama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Isn't MV Uhuru 1 a 300ft (91m) long??[emoji848]
Don't forget, it's 1,180 tonne vessel, yn inaingia zaidi ya mara mbili kwa Mv Victoria[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20210911-193533.jpg
 
Weka ushahidi wacha maneno ya kanga hapa.
Narudia tena, mabasi yote ya route fupi fupi yanaunganisha route zingine..
Likipiga route ya mbali leo kesho keshokutwa linapumzishwa kw route fupi..
Nyie mna akili gani ya biashara zaidi ya kufanyiwa kila kitu na serekali...

Evidence ni wewe uniletee kampuni inayopiga dar moro pekeake km vile zile zinazopiga arusha nairobi mzee acha kumumunya maneno hapa
 
Anadhani Tanzania ni Kenya failed state ambayo basi zinajiamulia kubadilisha ruti ovyo ovyo watakavyo bila ratiba maalum.
Kwn kampuni haijulikani km inapiga route nyingi tofauti tofauti, nikiamu kupumzisha gari kw ruti fupi mamlaka wataumwa sio..
 
Aiseee una uhakika na unachoandika hapa?

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
We unafikiria dar lux akiingiza mzigo mpya ataupeleka kw route ya kigoma[emoji1787][emoji1787]
Nyie kumbe akili zenu fyatu kweli, ukiingizwa mzigo mpya basi ujue kuna ingine iliyochoka inabadilishiwa route ili hii iingie sehemu kulingana na hadhi yake
 
Back
Top Bottom