Mbona unaongea sana bila viambatanishi mzee?
Wewe hushangai katika mamia ya makampuni ya mabasi Tanzania tumekuletea tu companies hizi chache tu hasahasa abood na bm? Kwani gari zinazoondoka dar kwenda mikoani via moro ni hizo 2 tu?
Tunazitaja hizi sababu ndio Common kwenye safari za Dar Moro Dar na ushahidi huu hapa kwamba ni hot rote, angalia kwenye caption toka 9:30 mpaka 10:30 lisaa limoja gari 10 zimetoka Dar kwenda Moro (hizi ni zile za Dar Moro Dar tu)
Then pictures za chini ni ndinga za abood za Dar Moro zenye banners kabisa special kwa Dar Moro Dar route, so ujionee ulivyo kichaa unavyopinga usichojua

View attachment 1934856View attachment 1934873View attachment 1934874View attachment 1934875
Nakuletea ndinga nyingine, me huwa napenda ligi sana!