Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Perspective😍😍🤗
IMG_20210815_215718_566.jpg
 
alooo.. nairobi statehouse is just but a replica of washington DC whitehouse.. ie. they were both built based on the same concept to serve the same purpose. achana na hiyo yenyu concept yake ni musikiti na ina serve a very different purpose. what a confusing building

👇nbi statehouse
statehouse.jpg

👇washington DC whitehouse
whitehouse.jpg
 
Between arab and british who arrived first, the britons were copying what was there.
Hata kama hujawahienda London usiniambie hata kwenye picha hujaona majengo yaliyo na style hii. So waliwaiga waarabu sio. Pia hata kamakajenga mwarabu au mzungu kacopy haijalishi na hata kama inaonekana kama msikiti au kanisa of which Posta kuna makanisa mawili yaliyojengwa kwa hiyo style pia sisi kwetu sio ishu
Na ndio maana hakuna anaehangaika na wewe maana ukishakua na mentality ya kibaguzi ndio unaweza kuzungumzia udini
 
Bado utawasikia watu eti waliopewa viwanda vilivyokufa wavifufue,unaweza fufua outdated technology? Huo huwa ni upumbavu,waambieni wakichukua hizo plot wajenge viwanda vipya.

Mwendazake aliwahi mshambulia mbuge abood wa Moro eti kageuza viwanda alivyopewa magofu,hii unaweza fufua mitambo inayotumia tech ya 1960s ?

Kwaiyo kama kipo outdated aendelee kukaa nacho tu, kwanini asifunge mitambo ya kisasa uzalishaji uendelee?
 
Sasa SGR ya Tanga Musoma ingecost zaidi...we can actually kill 3 birds with one stone
Sgr kupeleka mwanza ni sawa nakumpelekea mganda asali mlangoni
Hii ilkua muhimu sana ili kuhakikisha tunamteka mganda kwanza ambae ana option mbili either atumie kenya or tz.
Tungeanza kupeleka drc Uganda tungeikosa na ingekua ni vigumu kulipata hilo soko kutoka mikononi mwa Kenya
 
Kwaiyo kama kipo outdated aendelee kukaa nacho tu, kwanini asifunge mitambo ya kisasa uzalishaji uendelee?
Ndio maana alibadili matumizi kulingana na alichoona kinafaa, ukisema mitambo ya kisiasa sijui nini mazingira wezeshi kuanzia kodi nk hayakuwa rafiki.

Kwanza hakuna waliofufua hayo maviwanda ya zamani, ukisema ulete tech mpya ya let say kiwanda cha aina hiyo unakuta unatakiwa ku clear kila kitu afu uanze upya sasa nani atafanya huu ujinga yaani niingie gharama za demolition pawe safi ndio aanze kujenga structure mpya .

Hapo si bora tuu uende ukaanzishe kiwanda kipya ambapo hutoingia hizo gharama za matayarisho hapo juu? Hii ndio sababu hakuna aliyefufua si vya pamba wala nyama.

Hapo serikali inawajibu wa kuyatangaza hayo maeneo kama industrial plots tuu na itoe mazingira wezeshi zaidi Ili uwekezaji ufanyike vinginevyo yatasalia hivyo hivyo coz ni costful kuliko plot mpya.
 
Wapi Ikulu yenu mliyojenga kwa mikono na pesa yenyu? We Mkunya mpumbavu! Miaka 60 ya Uhuru hajaweza kujenga hata ofisi ya Rais! Mnakaa nyumba ya iliyojengwa na Mkoloni! Unabaki unashindana na nchi ya watu wanaojielewa!?
Tuna ikulu, mbona tujenge nyingine Na tunazo kwa miji yote mikubwa and they're serving the purpose? Huu ujinga wa kujenga kujionyesha hatuna. Alafu hatukai ikulu. Hivi wewe unakaa ikulu? Jielewe mpumbavu wee.
 
Ndio tumeanza sisi ukanda huu na pengine nchi chache za Afrika zilizojenga Ikulu zao, hyo architecture iliyofanyika hapo ndani iko tofauti kabisa na ile ya Dar na ndicho alichokuwa akisisitiza Rais kwamba chumba cha kulala na mkeo huwezi kuruhusu mtu ajenge anavyojua yeye lazima utajenga kwa specs zako, sasa kazi kwenu na choo chenu, sisi tushaonesha mfano EA
Alisisitiza hivo alafu akacopy paste ile ile ya mkoloni? 🤣🤣🤣 Bongolala kama bongolala🚮🚮
 
Achana nae yule anachuki binafsi na mwendazake yani jitu linaongea kabisa eti nchi haiwezi kundelea bila kukopa wakati anajua kabisa asilimia kubwa ya miradi yetu tunajitegemea
Huwa muda mwingine ananitia shaka sn nikihoji chuki yake dhidi ya magu mana anapinga kila kitu mpk vingine ni aibu, utakuta anakwambia nchi lazima ikope, hapo anampinga Magu ambaye alikuwa hakopi hovyo hovyo, au atakwambia mtu anajenga mamiradi tu mara ma interchange, mara ma barabara wakati pesa ilitakiwa iingizwe kwenye mzunguko, ila wakati huohuo atasifia Ghana kujenga interchange ya gharama kubwa.

Chuki zimemzidi mpk amekuwa mpumbavu kabisa, sasa hivi yupo pamoja na Samia lkn huo upamoja wenyewe ni wakinafki, utakuta anasifia chanjo lkn ukimsoma maneno yake ni unafki mtupu mara atakwambia "....Africa kwa madhara gani ya covid tuliyopata? Uganda mpk wanazika majeneza ili wapate pesa ya covid, $500mil co mchezo" anaongea upumbavu as if wazungu ni wapumbavu kama yeye.

Ofcz ni msenge mmoja hivi hapaswi kupewa air time, mm nimeamua sahivi kuachana naye, akijipendekeza pia naachana naye vile vile mana ana tabia za kimalaya malaya (ndimi mbili).
 
Back
Top Bottom