Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bomu lingine lilipigwa hapa
JamiiForums1241399961.jpg
 
hapa ni eighleigh boss,.. hapa tu ni mahali kuna refuse collection skip/recepticle. sio sehemu yote. eastleigh is one of nbi BDs just like westlands or upperhill
Sitaki maneno ya kanga mm ndio maana si quote mtu, wewe weka niweke, maneno maneno pelekea nyanyaako, hakuna kukotiana hapa wewe weka vitu on ground
 
hapa ni eighleigh boss,.. hili sehemu ni mahali kuna refuse collection skip/recepticle. sio sehemu yote. eastleigh is one of nbi BDs just like westlands or upperhill
Dont correct the enemy when hes making mistake, rule no. 1
 
Mna akili za kijinga nyie,wakupe Ili wavumbue nini? Ukiwa LDC unaamuliwa na hao IMF/wb cha kufanya na aina ya mikopo ya kuchukua.Lakini pia unakuwa na windows nyingi tuu za favour.

Ukishahama hiyo stage uko free sasa favour zote hakuna na mikopo ukitaka ni ya kibiashara la sivyo utafute bilateral na nchi na nchi .Huwezi kukopa kamua watu wako kama unaweza.
🤣 Kumbe mikopo ya kufight covid-19 nayo ni biashara?
 
Hehehehee mtu analeta picha ya Dar ya 90s Dar ya makamba akiwa RC, enzi za mifuko ya plastics, kweli wameishiwa
 
Si mlisema mna watumizi wa internet wengi kuliko Kenya juu Diamond ako na views nyingi, sasa mbona Diamond mwenyewe naona views zake most ni za Kenya. 🤣 🤣 🤣
😀 Bongo kuna wasanii wengi + competition ya Diamond na AliKiba baadhi ya mashabiki kujiepusha kumuongezea views rival
 
Hehehehee Ikulu imejengwa na mtu unataka kufananisha na ikulu iliyojengwa na JMT a.k.a GoT yn Ikulu kubwa duniani ukafananishe na ofisi ya mtu, maajabu ya mwaka haya
 
Back
Top Bottom