Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Ndani ya ikulu to infinity, hapa kunguni hukosi😂😂😂
👏😂🤣😂🤣😂🤣😂Ndani ya ikulu to infinity, hapa kunguni hukosi😂😂😂View attachment 1893901
Ndio tumeanza sisi ukanda huu na pengine nchi chache za Afrika zilizojenga Ikulu zao, hyo architecture iliyofanyika hapo ndani iko tofauti kabisa na ile ya Dar na ndicho alichokuwa akisisitiza Rais kwamba chumba cha kulala na mkeo huwezi kuruhusu mtu ajenge anavyojua yeye lazima utajenga kwa specs zako, sasa kazi kwenu na choo chenu, sisi tushaonesha mfano EAIssue ni architecture ya ikulu ,usitafute sympathy hapa. Africans tuanze kujiamini na vitu vidogo kama ikulu.








Yes Kagame yupo serious ndo maana SGR yake inaenda Isaka Tanzania!Nchi serious utazijua tu😍😍😍
View attachment 1893902
Hahahahahaaa Ikulu imekuumiza kweli, yn hata kuisha haijaisha unasema ndani ipo hivyo










Onyesha Point ulizoongea wewe kwa mfano? Tuanzie hapo,kama huna wewe ni mbumbumbu,jibu hoja kwa hoja.
Mnamuogopa sana uhuru😂😂😂Yes Kagame yupo serious ndo maana SGR yake inaenda Isaka Tanzania!



Weka aerial shot nikuonyeshe kitu😁
Kwani iyo design inakuumiza sana au tatizo liko wapiIssue ni architecture ya ikulu ,usitafute sympathy hapa. Africans tuanze kujiamini na vitu vidogo kama ikulu.
Tena iliyopitiliza, lkn anaumbuka akiona miradi yote ya chuma kama chuma inaendelezwa na inapewa kipa umbele na ndiyo mama anatamba nayo kwa ss.
Pitia comments zangu utajua tatizoKwani iyo design inakuumiza sana au tatizo liko wapi
Mbona iko empty ama ni parking👇