Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angetokea hata mjasiriamali akaweka pavement hapo akacharge hata parking fee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Jiji halina maji lakini pabichi kila siku [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huwa muda mwingine ananitia shaka sn nikihoji chuki yake dhidi ya magu mana anapinga kila kitu mpk vingine ni aibu, utakuta anakwambia nchi lazima ikope, hapo anampinga Magu ambaye alikuwa hakopi hovyo hovyo, au atakwambia mtu anajenga mamiradi tu mara ma interchange, mara ma barabara wakati pesa ilitakiwa iingizwe kwenye mzunguko, ila wakati huohuo atasifia Ghana kujenga interchange ya gharama kubwa.

Chuki zimemzidi mpk amekuwa mpumbavu kabisa, sasa hivi yupo pamoja na Samia lkn huo upamoja wenyewe ni wakinafki, utakuta anasifia chanjo lkn ukimsoma maneno yake ni unafki mtupu mara atakwambia "....Africa kwa madhara gani ya covid tuliyopata? Uganda mpk wanazika majeneza ili wapate pesa ya covid, $500mil co mchezo" anaongea upumbavu as if wazungu ni wapumbavu kama yeye.

Ofcz ni msenge mmoja hivi hapaswi kupewa air time, mm nimeamua sahivi kuachana naye, akijipendekeza pia naachana naye vile vile mana ana tabia za kimalaya malaya (ndimi mbili).

Achana nae
 
alooo.. nairobi statehouse is just but a replica of washington DC whitehouse..

👇nbi statehse View attachment 1893926
👇DC whitehse View attachment 1893927
Kwaiyo pia hili jengo la mahakama ni replica👇 kwa sababu design ya vibaraza inafanana

thumb_1215_800x420_0_0_auto.jpg
 
Mbwa kama mbwa, wametafuta picha chafu za Dar tangu thread imeanza wamekosa, wamebaki kupost picha za 90s na zingine za Liberia waki claim ni za Dar kama Dar [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
image_downloader_1629056417213.jpg
image_downloader_1629055974467.jpg
 
Mwingine anapost picha kuna tangazo la Pen ya Bic likiwa jipya kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwingine anapost picha zenye matangazo ya voda kipindi kile wanatumia rangi ya blue [emoji23][emoji23][emoji23]


 
Mwingine anapost picha zenye matangazo ya voda kipindi kile wanatumia rangi ya blue [emoji23][emoji23][emoji23]


[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom