The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Inaumiza watu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa taarifa yako Ikulu ya Dar imejengwa na wajenzi wa BritishLegacy of arab slave trade carried to 21st century😂😂😂View attachment 1893827View attachment 1893828
😲Huyu amefanana Sana na Best007 labda ni babake Nowander ako na ualshabab mingimingi hivo,chungeni asilipuke😂😂😂The founder of dar es salaam, majid bin
Sayyid. Baba yao😂😂😂 View attachment 1893832
Hebu ondoa upumbavu wa kiislam hapa. Hivi unanichukulia poa siyo!! 🤣 🤣🤣
Kwahiyo mnatupangia matumizi au sio, ndipo mlipofika hapo sasa hivi kutupangia matumizi ya pesa zetu zisizo za mkopo? Mbn nyinyi hatukuwapangia matumizi ya reli ya mkopo iliyo suswa pale suswa plus old model charcoal trains [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]In Kenya, we are free to critic government expenditure, sio hapo kwenu ni kushangilia tu hata vitu visivyo vya maana. Sasa wengine humu wameshinda wakishangilia state house mpya kujengwa wakati mna state house already.
Kweli Mwarabu amewashika makende. Hadi State House yenu ya kujijengea wenyewe mnacopy ile ile architecture ya Mwarabu aliyojenga state house ya Dar nayo. Sitashangaa kama ni donations za Mwarabu akawalazimisha muijenge hivo. Inakaa Mosque. 🤣 🤣 🤣Ikulu to infinity inachoma watu juu wao wanachoo cha mkoloni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1893853
We kilaza koma kabisa kuja na bla bla zako za idadi ya magari kati ya Kenya na Tanzania, nchi zote zina combination moja 6760000. Ikimaanisha rate ya ongezeko la magari ni sawa.No wonder we double tanzania in cars, 3.9m ujichukulie zero mileage suv made in kenya😍😍View attachment 1893438
View attachment 1893437
Mpumbavu uyo hajui kitu.Kwa taarifa yako Ikulu ya Dar imejengwa na wajenzi wa British
Hiyo ni Kazi ya Wizara zinazohusika na ku assess miradi ya kutafutiza pesa.Kwa stage nchi ilipofikia kukopea miradi ya kisiasa kama kupeleka sgr Mwanza ambako hakuna mzigo wa kuja kurejesha pesa kwa mda itakuja kuicost nchi pakubwa.
Ukishatolewa LDC na ukakopa usijue pa kuweka pesa utaisoma namba na no way lazima ukope Ili ifike kwa haraka.Nchi kama Tzn 3/4 ya barabara ni mavumbi bado kukopa hakukwepeki. Sasa kopa afu fanya miradi ya kisiasa ndio utaona shughuli kwenye kulipa.Saizi si watu wanalia Lia tozo,bado kodi nyingi zaidi zinakuja.
Bila kuifungua nchi hupati investors uchumi utadorora kwa hiyo umaskini mkubwa unatakiwa,ndio maana serikali inahaha kupata mkopo wa covid bahati nzuri ni mkopo wa emergency rescue ya uchumi una masharti nafuu Sana na mda mrefu wa kulipa mrefu, serikali ikipata itakuwa imepata pesa nyingi za bure
unajua story ya Afghanistan ilianzaga hivohivo ikulumosque polepole,Maombi taifa Uislamu,kidogokidogo kwenye street hapo"Sheria law!Sheria law!"boom boom boom boom🔥🔥Kidogo maombolezi😂😂😂😂😂😂AlkaidaIkulu to infinity inachoma watu juu wao wanachoo cha mkoloni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1893853
Koma kuropoka vitu usivyovijua [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli Mwarabu amewashika makende. Hadi State House yenu ya kujijengea wenyewe mnacopy ile ile architecture ya Mwarabu aliyojenga state house ya Dar nayo. Sitashangaa kama ni donations za Mwarabu akawalazimisha muijenge hivo. Inakaa Mosque. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Between arab and british who arrived first, the britons were copying what was there.Kwa taarifa yako Ikulu ya Dar imejengwa na wajenzi wa British
Onyesha Point ulizoongea wewe kwa mfano? Tuanzie hapo,kama huna wewe ni mbumbumbu,jibu hoja kwa hoja.We jamaa unaongea pumbaa tuu
Internet penetration yetu bado ni kubwa, bei ya internet bongo ni karibu nusu ya Kenya, demand/supply, hello!Mbona hamkusema hivo wakati mlikuwa mnatumia views zake kusema mna internet penetration nyingi kuliko Kenya?
Hii kitu unavuta buda ni ngori😂😂😂unajua story ya Afghanistan ilianzaga hivohivo ikulumosque polepole,Maombi taifa Uislamu,kidogokidogo kwenye street hapo"Sheria law!Sheria law!"boom boom boom boom🔥🔥Kidogo maombolezi😂😂😂😂😂😂Alkaida
huyo alisema atalipua expressway😂😂😲Huyu amefanana Sana na Best007 labda ni babake Nowander ako na ualshabab mingimingi hivo,chungeni asilipuke😂😂😂
[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Between arab and british who arrived first, the britons were copying what was there.