Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ofisi ya mtu leo inafananishwa na ikulu kubwa duniani, tutaona mengi cz hawa ndio wakunya a.k.a wazee wa wivu na sonona
JamiiForums-2013321968.jpg
JamiiForums-560244272.jpg
 
🤣 Kumbe mikopo ya kufight covid-19 nayo ni biashara?
Uwe unaelewa,kila nchi imeathirika kiuchumi kwa covid and so kuna firisha la mkopo wa dharura lakini lazima nchi inayotaka I justify hizo athari ikiwa ni pamoja na kuonesha ukubwa wa ugonjwa kwa kutoa Takwimu za vifo na maambukizi.

La sivyo hakuna pesa ya bure hapo na ni mkopo wa masharti nafuu sasa Nchi gani ikatae pesa laini tena nyingi na zina mda mrefu wa kulipa? Kwa hiyo ni biashara ndio.

Unadhani Uganda hadi wanafukia majeneza matupu Ili wa meet creteria ni wajinga? Dola mil.500 sio pesa ndogo na unailipa ndani ya miaka 25 huku ukipewa grace period ya miaka 3-5
 
Uwe unaelewa,kila nchi imeathirika kiuchumi kwa covid and so kuna firisha la mkopo wa dharura lakini lazima nchi inayotaka I justify hizo athari ikiwa ni pamoja na kuonesha ukubwa wa ugonjwa kwa kutoa Takwimu za vifo na maambukizi.

La sivyo hakuna pesa ya bure hapo na ni mkopo wa masharti nafuu sasa Nchi gani ikatae pesa laini tena nyingi na zina mda mrefu wa kulipa? Kwa hiyo ni biashara ndio.

Unadhani Uganda hadi wanafukia majeneza matupu Ili wa meet creteria ni wajinga? Dola mil.500 sio pesa ndogo na unailipa ndani ya miaka 25 huku ukipewa grace period ya miaka 3-5
Sasa kwa nini Uganda wasipewe kama msaada?
 
Kiwanda kilihujumiwa hiki.
Eti wanadai kilikosa soko? Ni kweli watu hawahitaji matairi? Tatizo la Tanzania na Africa kwa ujumla ni kukosa uzalendo.

Nakumbuka tulikuwa na kiwanda cha baiskeli cha Swala, walipoleta baiskeli za Shain Shein (china) kiwanda chetu kikafa.

Viongozi wetu wapo radhi kupokea fedha za mambo ya kijinga ili tuendelee kuwa maskini, Nyerere alikuwa anasema, "can't you say no? wanakubali tu!". Magu pekee ndiye kiongozi wa juu aliyeweza kusimama hadharani na kusema hapana, tutafanya hivi na vile (mfano bwawa la umeme).
 
Kwahiyo hzo sio dawa. Waafrika lini mtaacha kujidharau?
Umenielewa kabisa lkn bado unataka upinde pindishe km kawaida..hapo uliona wapi nilisema hzo ssio, alafu kuna mjinga nae ka like..
Ukipata time rudia tena post yangu huenda labda utaamua ukae kimya
 
Sasa kwa nini Uganda wasipewe kama msaada?
Hakuna msaada hapo ,ni mkopo..Magu aliwahi semaga nchi za Afrika ziungane kwa pamoja kutafuta huo msaada na kuondolewa baadhi ya masharti ikashindikana.

Msaada ni chanjo tuu via covax , kwenye pesa hulazimishwi unajipeleka mwenyewe.Kenya washavuta hizo pesa kama mara 2 na wanasaka ya 3 ..

Ukitaka pesa fuata masharti,msaada hakuna Babu yako wb/imf
 
Umenielewa kabisa lkn bado unataka upinde pindishe km kawaida..hapo uliona wapi nilisema hzo ssio, alafu kuna mjinga nae ka like..
Ukipata time rudia tena post yangu huenda labda utaamua ukae kimya
Ukipata maradhi ya kutengeneza yoyote unayojua nicheki mimi nipate kukusaidia bibie.
 
Another mega mosque, islamisation of africa is real😂😂😂View attachment 1893730
Oman,kiujumla kitendo cha kushindwa kubuni majengo ya ikulu kwa utamaduni wetu kama terminal ya sgr Dar na ku kopi ikulu ya waarabu ya magogoni ni upuuzi wa Hali ya Juu.

Watu wengi walikwazika ila ndio hivyo tena kauli ya Rais bongo ni sheria na amri,kwa kuwa tunajenga Mji mkuu hapa ndio ilikuwa fursa ya kuonesha umahiri wetu wa sanaa za ubunifu majengo na ujenzi wenyewe.
 
Back
Top Bottom