The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Ofisi ya mtu leo inafananishwa na ikulu kubwa duniani, tutaona mengi cz hawa ndio wakunya a.k.a wazee wa wivu na sonona

















Uwe unaelewa,kila nchi imeathirika kiuchumi kwa covid and so kuna firisha la mkopo wa dharura lakini lazima nchi inayotaka I justify hizo athari ikiwa ni pamoja na kuonesha ukubwa wa ugonjwa kwa kutoa Takwimu za vifo na maambukizi.🤣 Kumbe mikopo ya kufight covid-19 nayo ni biashara?











the road is under construction idiot😂😂😂




Sasa kwa nini Uganda wasipewe kama msaada?Uwe unaelewa,kila nchi imeathirika kiuchumi kwa covid and so kuna firisha la mkopo wa dharura lakini lazima nchi inayotaka I justify hizo athari ikiwa ni pamoja na kuonesha ukubwa wa ugonjwa kwa kutoa Takwimu za vifo na maambukizi.
La sivyo hakuna pesa ya bure hapo na ni mkopo wa masharti nafuu sasa Nchi gani ikatae pesa laini tena nyingi na zina mda mrefu wa kulipa? Kwa hiyo ni biashara ndio.
Unadhani Uganda hadi wanafukia majeneza matupu Ili wa meet creteria ni wajinga? Dola mil.500 sio pesa ndogo na unailipa ndani ya miaka 25 huku ukipewa grace period ya miaka 3-5











Eti wanadai kilikosa soko? Ni kweli watu hawahitaji matairi? Tatizo la Tanzania na Africa kwa ujumla ni kukosa uzalendo.Kiwanda kilihujumiwa hiki.






Umenielewa kabisa lkn bado unataka upinde pindishe km kawaida..hapo uliona wapi nilisema hzo ssio, alafu kuna mjinga nae ka like..Kwahiyo hzo sio dawa. Waafrika lini mtaacha kujidharau?
Hakuna msaada hapo ,ni mkopo..Magu aliwahi semaga nchi za Afrika ziungane kwa pamoja kutafuta huo msaada na kuondolewa baadhi ya masharti ikashindikana.Sasa kwa nini Uganda wasipewe kama msaada?







Ukipata maradhi ya kutengeneza yoyote unayojua nicheki mimi nipate kukusaidia bibie.Umenielewa kabisa lkn bado unataka upinde pindishe km kawaida..hapo uliona wapi nilisema hzo ssio, alafu kuna mjinga nae ka like..
Ukipata time rudia tena post yangu huenda labda utaamua ukae kimya
subiri dawa iongie 😂😂 umeogopa mapema sana aisehOna ujenzi huu, yani Kenya ni nchi ya hovyo zaidi hapa duniani, serikali inaruhusu ujenzi jua kali namna hii alafu madhara yake nitakuonesha baadaye kdg, ona wakuuView attachment 1893143
Oman,kiujumla kitendo cha kushindwa kubuni majengo ya ikulu kwa utamaduni wetu kama terminal ya sgr Dar na ku kopi ikulu ya waarabu ya magogoni ni upuuzi wa Hali ya Juu.Another mega mosque, islamisation of africa is real😂😂😂View attachment 1893730