Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe mshikaji mdini namna hii? aisee hii sumu unayotema humu inaonyesha ulivyo zero brain!
Umesema una ni ignore vipi tena Mzee.
Mimi ni mtanganyika halisi. Nyie mnakuwa kwenye uongozi mnaua wakristo. Niambie Muislam yupi ameuawa wakati wa Kikwete!? Muislam yupi amekufa mwaka huu.

Wote viongozi wakuu wakristo wameuawa.
 

R.I.P Sophia Nyerere.
218677748c3246eba207ce8f2a43483d.jpg
 
Haujui chochote, leta admission form ya Dodoma university nitakulipia karo semi-illiterate., utaelewa mambo soon 😂 😂
Njoo kwanza dar nikupeleke sehemu ukale bata mpaka kuku aone wivu bure kabisa kila kitu juu yangu alaf baada ya hapo nitakuruhusu unilipie sasa😆😆😆😂😂
 
Njoo kwanza dar nikupeleke sehemu ukale bata mpaka kuku aone wivu bure kabisa kila kitu juu yangu alaf baada ya hapo nitakuruhusu unilipie sasa😆😆😆😂😂
Will sure come over.., alafu pia tuogelee kwa maji ya chumvi.., coco beach😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom