Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Venus Star ndiye hajui mpumbavu tu
Nakugonga Renders ujue kwamba mambo yanawaka moto

Claudine Tower
1627121151716.png


1627121203477.png
 
Huyu ndo maana wanasema msaliti imagine ana-market bidhaa za Azam wakati simba inayodhaminiwa na METL ina bidhaa kama hizo Mo Cola! Mswahili bana, simba imuondoe fasta!

E6_p0HlWQAY3nrW
 
Mzee unadhani nilishasahau. Ulijifanya unajua programming nikakupatia task ukalala mbele. Leo unajifanya unajua umeme.
Unataka nikuulize maswali ulekona tena!?
Sasa wewe ndo utajua kuprove najua proggraming kama hata vitu za upuzi hujui labda wewe nikwambie unitafutie project huko kwenyu ikiivana tugawe pesa
Screenshot_20210724-131053_Google My Business.jpg
 
Renders kwetu zimejaa
Hii inautwa Kakakuona Building ni render tallest building in East and central Africa. Huoni watanzania wakiweka. Wewe ni mshamba.
View attachment 1865746


View attachment 1865748
Thanks for posting renders za cancelled projects😂😂🤣😂, hiyo project was cancelled due to low demand. Do you even know why TPA and PSPF are still half empty 7yrs after their completion?
 
Thanks for posting renders za cancelled projects😂😂🤣😂, hiyo project was cancelled due to low demand. Do you even know why TPA and PSPF are still half empty 7yrs after their completion?
Mzee mbona unahaha sana.
Ngoma hizi zinakufanya upoteze direction
IMG_20201002_162703.jpg
IMG_20210715_001059.jpg
IMG_20200929_220304.jpg
IMG_20200925_191927.jpg
IMG_20210715_001023.jpg
IMG_20201002_162706.jpg
IMG_20210715_001054.jpg
IMG_20201002_162711.jpg
IMG_20210717_144422.jpg
IMG_20210714_135028.jpg
IMG_20210102_091205.jpg
IMG_20210714_152938.jpg
 
Huyu ndo maana wanasema msaliti imagine ana-market bidhaa za Azam wakati simba inayodhaminiwa na METL ina bidhaa kama hizo Mo Cola! Mswahili bana, simba imuondoe fasta!

E6_p0HlWQAY3nrW
inadepend mkuu mkataba alioingia na simba ni upi,

kama aliingia simba kwa mkataba wa kuwa msemaji wa timu pamoja na kubrand Metl product basi ana makosa ,watafuata sheria na kumshtaki ila kama aliingia simba kwa mkataba wakuwa msemaji wa timu basi hana kosa.
 
Back
Top Bottom