Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu Vaccine kama ya Covid-19 haiwezi kuwa Mandatory, huwezi kwenda jela sababu ulikataa vaccine, outewise that's something against medical ethics.
That Gwajima huwa sikubaliani nae kwa Mengi ila kwa hilo bado anahaki ya kuhoji usalama na ilipaswa ajibiwe tu kitaalamu na wala sio kwa mihemko, (natumaini umesikiliza hiyo clip yake hujaconsume secondary information) , bado more studies are needed to validate the efficacy and Safety.
Wizara ya Afya inashea concent form for it usaini ndio upate jab,
Mimi kwa kazi ninayofanya I may be willing to get vaccinated with mRNA Covid 19 Vaccine but siwezi kumlazimisha mtu mwingine achanjwe chanjo ambayo bado iko kwenye studies.
Mkuu, serikali kupitia wizara ya afya ndio wenye jukumu la kuthibitisha na kuruhusu chanjo itumike, tayari serikali imethibitisha hilo na kutoa agizo itumike, yeyote anayepinga lazima awasiliane na serikali kupitia wizara ya Afya, sio kupiga kelele katika mitandao, hilo ni kosa la jinai na unastahili kukamatwa kwa kosa la uchochezi.

Kama viongozi wa CHADEMA wamekamatwa kwa kuvunja Sheria ya kukusanyika katika kipindi hiki ambapo mikusanyika isiyo ya lazima imekatazwa, vipi Gwajima anapingana na agizo halali la serikali bila kufuata taratibu anaachwa?.

Mkuu, chanjo yoyote dhidi ya ugonjwa wenye kuambukizwa ni lazima duniani kote, unachanjwa ili kuwakinga watu wengine hata Kama wewe mwenyewe hupendi, chanjo ya cancer ya kizazi ambayo haiambukizi wengine ndio sio lazima.
 
Mkuu, serikali kupitia wizara ya afya ndio wenye jukumu la kuthibitisha na kuruhusu chanjo itumike, tayari serikali imethibitisha hilo na kutoa agizo itumike, yeyote anayepinga lazima awasiliane na serikali kupitia wizara ya Afya, sio kupiga kelele katika mitandao, hilo ni kosa la jinai na unastahili kukamatwa kwa kosa la uchochezi.

Kama viongozi wa CHADEMA wamekamatwa kwa kuvunja Sheria ya kukusanyika katika kipindi hiki ambapo mikusanyika isiyo ya lazima imekatazwa, vipi Gwajima anapingana na agizo halali la serikali bila kufuata taratibu anaachwa?.

Mkuu, chanjo yoyote dhidi ya ugonjwa wenye kuambukizwa ni lazima duniani kote, unachanjwa ili kuwakinga watu wengine hata Kama wewe mwenyewe hupendi, chanjo ya cancer ya kizazi ambayo haiambukizi wengine ndio sio lazima.
Mijitu tangu izaliwe inachoma chanjo ila hii inapinga kisa wahubiri flani wanapotosha!
 
leta evidence pimbi wewe! nimesema Gwajima ni fadhila za JPM na ni kweli alishindwa kura za maoni CCM akapitishwa! Uongo?
nyie ndio mnaeneza kuhusu Sukuma Gang. Mnawatukana watu wa kanda ya Ziwa. Unadhani hatuwaoni. Mnataka kuipoteza legacy ya Magufuli.

Magufuli hayupo mbona unaendelea kumwongelea!? Unadhani nyie Wazanzibar mtaichukua Tanganyika.
Achana na Magufuli kabisa. Udini wako huo utakumaliza.
 
Back
Top Bottom