Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,900
- 103,770
fadhila za JPM hizi!
wewe unafikiria Manispaa ya Kinondoni haijui hilo? Ila wanafanya makusudi ili wasingizie hawawezi kupatunza! Wapate sababu ya kupabinafsisha! Yatatokea makundi kupigia debe Manji apewe kwa kisingizio cha uwekezaji we ngoja!
Mzee subiri dawa ikuingie sasa. Unadhani Tanzania ni ya Wazanzibari. Hizo ni cheche ndogo ndogo tu.fadhila za JPM hizi!
Mzee subiri dawa ikuingie sasa. Unadhani Tanzania ni ya Wazanzibari. Hizo ni cheche ndogo ndogo tu.
sukuma wiki na githeri, mtura na busaa! sikilizia bomu watakalotoa lazma liendane na njuru kuu kwa choo!What’s for Lunch? Mbeya Rice, Wakulungwa mnakula nini huko kwenu cha kwenu lakini
View attachment 1870044
Nyie wazanzibar na waislam ndio mnaotaka chanjo. Wakristo na Watanganyika hatutaki chanjo.Wacha ubaguzi! Sisi wote nyumba moja!
Hakuna mtanganyika na mkristo hata mmoja anataka chanjo. Tunajua hiyo 666 imeandikwa kwenye biblia.Wacha ubaguzi! Sisi wote nyumba moja!
On a waislam wanavyopambania chanjo. Mpaka akina Dewij wanataka waikweke Tanzania mfukoni. Hatukubali. Msione tumekaa kimya mkadhani sisi ni wajinga.Wacha ubaguzi! Sisi wote nyumba moja!
nawaunga mkono 100% maana wana maarifa kuliko nyie waumini wa Gwajima! Na kwa taarifa yako mimi si Mzanzibari wala si Muislam! nilitegemea wewe na knowledge yako ya C++ ufanye data anlysiss unyambue makali ya coronavirus lakini akili yako imechotwa na yule Askofu na Mheshimiwa wa Ubunge wa kunyonga! nilitegemea utumie Ml kufanya AI na kuona the risk ila dah aisee niko disappointed!On a waislam wanavyopambania chanjo. Mpaka akina Dewij wanataka waikweke Tanzania mfukoni. Hatukubali. Msione tumekaa kimya mkadhani sisi ni wajinga.
Wakristo tupo pamoja.
![]()
Azim Dewji amvaa Gwajima sakata la chanjo, amwambia ana akili ya kuhubiri siyo Sayansi
Azim Dewji: Tunasema kwamba, kazi kubwa ya mkuu wa Dini ni kuongoza waumini wake sio kuwapotosha, unazungumza maneno ya kuwapotosha waumini na kuleta taharuki kwenye Jamii, hiyo haifai kabisa na isiendelee kufanyika hivyo, sisi hatutakubali. Kwa njia moja au nyingine unawatukana waliobobea...www.jamiiforums.com
Kwanini usiende kuchanjwa pekee yako!? Sisi tuache na MATAGA na Sukuma Gang yetu.nawaunga mkono 100% maana wana maarifa kuliko nyie waumini wa Gwajima! Na kwa taarifa yako mimi si Mzanzibari wala si Muislam! nilitegemea wewe na knowledge yako ya C++ ufanye data anlysiss unyambue makali ya coronavirus lakini akili yako imechotwa na yule Askofu na Mheshimiwa wa Ubunge wa kunyonga!
Na hawa?Wewe unaleta ubaguzi. Unafikri Magufuli kwaakili yako hana wafuasi siyo!?
Ni waislam pekee na wazanzibar wanashadadia chanjo.
1. Kigwangala Muislam
2. January makamba muislam
3. Kikwete Muislam
4. Azim Dewij Muislam
Mzee kikombe hiki cha ubaguzi umekianza wewe Muislam.
sukuma wiki na githeri, mtura na busaa! sikilizia bomu watakalotoa lazma liendane na njuru kuu kwa choo!



















Unamtukana Magufuli unataka tukuache tu.fadhila za JPM hizi!
Unapambana na Lake zone utaweza kweli. Utawezana na HIMA empire!?fadhila za JPM hizi!