THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Jengo kama hili la Kenya utaliona zuri kwa juu ila ukiingia ndani giza nowadays people need natural lights!!!! sijui kwa nini waliachana la lile sijui greenfield pathetic!!!!Yap!!! Airport zote mpya ma-architecture wanajiachia sana na design tofauti tofauti circle ni mtindo wa kale!!!Ndo maana Terminal yetu 3 ni one of a kind Afrika Mashariki na kati.Waache waseme!!!