ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,354
- 136,485
Haya sikieni hilo zwazwa ππππ huyu hata boder ya horhoro hajawahi kufika alaf sikia nn anaongea ππππππIla ifike mahala Tzn tujifunze kujenga barabara za viwango kama wenzetu yaani kwa asphalt surfacing na mijini tujenge dual carriage way na tuweke street lights hususani mijini
Tuachane kabisa na surface dressing na one way carriage ni ujenzi wa kimaskini