Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ila ifike mahala Tzn tujifunze kujenga barabara za viwango kama wenzetu yaani kwa asphalt surfacing na mijini tujenge dual carriage way na tuweke street lights hususani mijini

Tuachane kabisa na surface dressing na one way carriage ni ujenzi wa kimaskini
Haya sikieni hilo zwazwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huyu hata boder ya horhoro hajawahi kufika alaf sikia nn anaongea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hasira zote za bullet train πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡
View attachment 1865953View attachment 1865954View attachment 1865955
Bullet train nenda ukaione Morocco in Africa kilaza πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ama youtube ujue, naona bado ushamba haujakutoka kikamilifuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., hiyo yenu ni SGR tu ya kawaida, zinaitwa slow train in China, ila powered by stima, nini cha ajabu hapo dogo?., Dar late 2020s.., na bado sana πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huwa nawapuuza ila inakera Sana ,Tzn hii hakuna kabisa organization nzuri ya barabara.

Bila pesa hakuna quality roads, serikali shikiria hapo hapo kwenye tozo za miamala
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ tozo za miamala ndio kusema nini? But soon zinakuja, kuna ujenzi Dar pia, ila sio level ya Nairobi kwa sasa, ngoja tuone mama atafikisha wapi, lakini shukuru mko na BRT, ni ndogo bado kuna phases, but the best in Africa so far..,
 
Bullet train nenda ukaione Morocco in Africa kilaza πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ ama youtube ujue, naona bado ushamba haujakutoka kikamilifuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚., hiyo yenu ni SGR tu ya kawaida, zinaitwa slow train in China, ila powered by stima, nini cha ajabu hapo dogo?., Dar late 2020s.., na bado sana πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Hasira hasara πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ ww tulia urambe dawa hzo hasira peleka kwenye kazi upate walau dream ya plot nairobi
0FE86AB4-A091-4C9D-9781-273C6866D9AC.jpeg
 
Cleantechnica.com ndio mtandao gani huo mzee.
Hiyo ndiyo tesla.com?

Mzee unahaha mno

Hebu ngoja nikutoe tongotongo sasa.
Tanzania wanatengeneza magari ya umeme siyo kununua tu.

This makeshift ones za kijua kali started in kenya many many years ago
Screenshot_20210724-123043_Chrome.jpg
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ tozo za miamala ndio kusema nini? But soon zinakuja, kuna ujenzi Dar pia, ila sio level ya Nairobi kwa sasa, ngoja tuone mama atafikisha wapi, lakini shukuru mko na BRT, ni ndogo bado kuna phases, but the best in Africa so far..,
Yani nyinyi kufikia dar ya sasa mutasubiri miaka 50 na kupata BRT muvunje hio thika yote ambayo bado inadaiwa na AFDB πŸ˜‚πŸ˜‚ ndio muote BRT

Na ili mupate electric bullet kwa sasa uzeni ile mapipa ya gongo na mufunue reli nzima huku deni la mchina linatafuta kende zenu


Expressway kuimiliki kwa sasa ili mchina asichukue toll fee kwa miaka 30 na ili mvunje mkataba labda mutawaliwe na mchina kwa miaka 10 πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜€
 
Washaanza kucheza kale kamchezo jubilee ili wampitishe ruto kua rais πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Muda wako kwenda kujifukia kwenye mashimo sasa. Maana pigo hili ni la kikatili.

Sisi two years ago tunatumia magari ya umeme kwenye mbuga za wanyama.

Wewe unahaha leo


Hizi makeshift za kuweka battery tukianza hata sisi kitaaaaambo hadi kuna a dw feature on it for like 4 years ago we have several companies doing that even normal mechanics kwa street can do that for you nkt wacha kujiaibisha am sure tanzania ilicopy kenya
Screenshot_20210724-123437_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom