Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Budget yetu miradi zetu hazifanani we have alot to do kila county sasa hivi inapewa pesa to develope every inch of kenya mazao ya devolution already tunayaona just 10 years later sasa bado 10 zingine we become untouchable
Asa nani kakuambia Tanzania hakuna budgets za halmashauri? Alafu ulivyo kilaza hujui kama hiyo devolution mlikuja kuiga Tanzania huku tunaita local government au TAMISEMI
 
Dar port ile ile ambayo ukichanganya mizigo yake yote na ya tanzania nzima haifikii nusu ya mombasa pekee🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Manina hii nchi sio level yenu kabisa
Mizigo mingi ya mombasa ni misaada ya chakula kutoka nchi wahisani sasa unajilinganisha na Tanzania ambayo inapokea zero imported food aids?
 
Mizigo mingi ya mombasa ni misaada ya chakula kutoka nchi wahisani sasa unajilinganisha na Tanzania ambayo inapokea zero imported food aids?
Zaidi ya 65% ya umeme wa Tanzania unatokana na domestic natural gas wakati zaidi ya 40% ya umeme wa Kunyaland unatokana na Mafuta mazito yanayokua imported kwa ajili ya generators

Bado unalinganisha mzigo wa Mombasa na Dar?
 
Zaidi ya 65% ya umeme wa Tanzania unatokana na domestic natural gas wakati zaidi ya 40% ya umeme wa Kunyaland unatokana na Mafuta mazito yanayokua imported kwa ajili ya generators

Bado unalinganisha mzigo wa Mombasa na Dar?
Kuropokwa tu.
 
Some of infrastructure projects in Mombasa
1. Changamwe interchange
2. Mikindani interchange
3. Jomvu interchange
4. Mombasa- mariakani highway(42km)
5. Makupa causeway bridge
6. Mwache bridge
7. Mteza bridge
8. Dongo kundu phase 2
9. Dongo kundu special economic zone
Yani hzo zote kw mpigo, mbona wachawi wasiumie
 
Asa nani kakuambia Tanzania hakuna budgets za halmashauri? Alafu ulivyo kilaza hujui kama hiyo devolution mlikuja kuiga Tanzania huku tunaita local government au TAMISEMI
Local governments zilikua tangia kenyatta huku
Unataka kuturudisha enzi za mkoloni, hzo halmashauri zina mawaziri?!!
Km hujui kitu uliza acha ukurupukaji

Kisha eti kuna kilaza nae ka like
 
Kuna fala mmoja alikua anasema wanakusanya mapato ya kutosha kugharamia budget yetu, huku hawana uwezo wa kujenga hata robo ya miradi inayoendelea Tanzania
Bugdet yetu ya elimu inajenga sgr dar to makutupora alafu kunabakia change, upo!!
 
Failed state kila siku ni mtihani tu.
Jana nimeona trafik anaibiwa simu kiunyonge anaangalia tu.
Screenshot_20210708-194544.jpg
 
Na nawaambia ukweli leo tarehe 08.07.2021 kwamba hii interchange itaanguka, siombei iwe hivyo bali ni kwasababu ya jinsi ilivyojengwa ni kama imepachikwa tu, very low quality engineering.
Kijana wa Tandale leo umekuwa engineer all of a sudden? Not a private investigator again!? 😂 😂
Just to remind you, kuna moja wenu alitabiri vivyo hivyo kuhusu expressway. Chuki zenu hazitafua dafu. Jengeni hiyo yenu quality pale Mwanza tuone
 
ufukara tatizo.., facts kill propaganda
Hawa watu wanapenda kujifurahisha sana. That WB report talks so much positively about Nairobi than Dar. Yani Nairobi ticks all the right boxes wao wanabaki wakishangilia value of real estate ambayo on paper haina faida yoyote. Hiyo value iko na faida gani when it doesn't offer any return on investment, it's really hard to sell spaces in Dar and rents keep falling among other things?
 
Real estate sio utajiri ni nini?? Au zinajengwa na mawe sio pesa 😂😂😂😂 kweli elimu ni muhimu sana au munafkiri mkijua kiingereza ni elimu
Itakuwaje utajiri wakati kwenu real estate doesn't offer any return on investment, rents keep falling, and it's becoming extremely difficult for developers to sell spaces in Dar? Huo ndio utajiri? Kama Dar ni jiji tajiri mbona hata wanunuzi wa real estate projects hawapo? Bado nangoja ripoti inayoweka Dar mbele ya Nairobi kwenye ligi ya majiji tajiri. Mimi naweza kukuletea taarifa mbali mbali zinazosema Nairobi ni jiji tajiri kushinda Dar
 
Back
Top Bottom