The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Umewahi kujiuliza kwa mfano msingekuwa na huo mradi mngeshindana nn na Tz? Sisi tuna miradi mingi mikubwa tunafanya kwa wakati mmoja SGR, Ship buildings, Airports, JNHP, Ports, BRT, expressways etc.. hii miradi nimetaja hapa thamani yake ni kubwa mno hakuna nchi ya kufananisha East and Central Africa and even to many countries in Africa, sasa je kama mchina asingejenga hiyo road moja mnayokesha nayo humu je ungeongea nini kwa mfano, Mana cc tunaweka miradi mingi wenzetu mmeganda na expressway pekee asubuhi mchana jioniView attachment 1846130View attachment 1846131Yani hii nchi ya ajabu sana, leo hii sikutarajia tuwe na expressway kali sana kama hii lakini ishatokea. Sijui kesho tutazindua mradi gani mwingine. Watanzania bado wanasubiri mkopo kutoka morocco![]()





