The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
MmepigwaKwa mfano zikiletwa kama hizo mtatuambia nn kwa mfano, we hutaki kuwa na kama hizo? Mbuzi wee![]()

nchi ya kimaskini itoe wapi bullet trains, yani vidude vimechoka mbaya 

Arusha hio 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Irudiwe mkitakaHawataki hata kuisikia![]()
AMA this time mtu una include the hospital size number of beds and the machines it hasHawataki hata kuisikia![]()
Coz we cant post something like knh yenye iko built on hectors of land then mnapost hospitali ime kodisha rooms kwa buildingMmepigwanchi ya kimaskini itoe wapi bullet trains, yani vidude vimechoka mbaya
![]()
So hospitali zirudiliwe and this time it's not about the beauty of pictures but the size and capacity of the hospital and capabilities like does it have a cancer treatment centre and stuff so we do level five hospitals and above and let it be the whole country because kenya facilities are spread all over not nairobi onlyHawataki hata kuisikia![]()

Jamaa kawa engineer ghaflaKijana wa Tandale leo umekuwa engineer all of a sudden? Not a private investigator again!?![]()
![]()
Just to remind you, kuna moja wenu alitabiri vivyo hivyo kuhusu expressway. Chuki zenu hazitafua dafu. Jengeni hiyo yenu quality pale Mwanza tuone


Tatizo sio sura, uwezo wa mashine..
Mzee umepanicKama ilivyokuwa kwenye SGR, tayari wamepigwa tena kwenye BRT. Ona vituo na njia za mabasi zilivyo.
View attachment 1846578

kuna video inaonyesha barabara zikitengezwaHospitali zao nyingi ni zile ambazo wamelodi floorsCoz we cant post something like knh yenye iko built on hectors of land then mnapost hospitali ime kodisha rooms kwa building


Mizigo yote tanzania inaishia dar, sasa sijui hko makutupora watapeleka niniTrain zenyewe mitumba yetu ya DMU zinaafadhali
Double stack hazibebi
Mizigo yenyewe hakuna alafu isitoshe yote inaishia dar slum.
Haya niambieni hawa maskini walihitaji SGR ama ndo walitaka kushindana na ndovu![]()



Komora096🤣🤣🤣🤣🤣Tatizo sio sura, uwezo wa mashine..
Mizigo yote tanzania inaishia dar, sasa sijui hko makutupora watapeleka nini![]()

kenya siyo chi ni genge la kihuni tu na wala miraaFailed state kila siku ni mtihani tu.
Jana nimeona trafik anaibiwa simu kiunyonge anaangalia tu.View attachment 1846353
Unaji quote mwenyewe zen unacheka mwenyeweMizigo yote tanzania inaishia dar, sasa sijui hko makutupora watapeleka nini![]()









