Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawataki hata kuisikia
So hospitali zirudiliwe and this time it's not about the beauty of pictures but the size and capacity of the hospital and capabilities like does it have a cancer treatment centre and stuff so we do level five hospitals and above and let it be the whole country because kenya facilities are spread all over not nairobi only
 
Train zenyewe mitumba yetu ya DMU zinaafadhali

Double stack hazibebi

Mizigo yenyewe hakuna alafu isitoshe yote inaishia dar slum.

Haya niambieni hawa maskini walihitaji SGR ama ndo walitaka kushindana na ndovu
 
Kijana wa Tandale leo umekuwa engineer all of a sudden? Not a private investigator again!?
Just to remind you, kuna moja wenu alitabiri vivyo hivyo kuhusu expressway. Chuki zenu hazitafua dafu. Jengeni hiyo yenu quality pale Mwanza tuone
Jamaa kawa engineer ghafla
 
Train zenyewe mitumba yetu ya DMU zinaafadhali

Double stack hazibebi

Mizigo yenyewe hakuna alafu isitoshe yote inaishia dar slum.

Haya niambieni hawa maskini walihitaji SGR ama ndo walitaka kushindana na ndovu
Mizigo yote tanzania inaishia dar, sasa sijui hko makutupora watapeleka nini
 
1625824843360.png
 
Back
Top Bottom