Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

China is the most spoken language in the world kwa hivo sio hoja kutumia. ni vizuri kutukuza kiswahili lakini pia tumia lugha inakufungua to the rest of the world si basi mtumie lugha ya mama kama mnataka hehe mwachane na kiswahili
Kwamba dunia nzima inazungumza kichina?
Mental slavery haitokaa iishe kenya vizazi na vizazi.
Na kiswahili is not tanzanian actually its kenyan it started in kenyan coastal areas (lamu) and zanzibar ni vile tu tanzania took it as a national language
Haya ndio matokeo ya utapiamlo wa akili.
 
Kwamba dunia nzima inazungumza kichina?
Mental slavery haitokaa iishe kenya vizazi na vizazi. Haya ndio matokeo ya utapiamlo wa akili.
Haya nd matokeo ya bad education system nkt hata kijana hajui mandarin chinese is the largest spoken language in the world.... sasa ona ubaya wa kujifungia uswahilini tembea dunia ujue mengi na pia soma kitabu. Toa ushamba mtandaoni
 
Na kiswahili is not tanzanian actually its kenyan it started in kenyan coastal areas (lamu) and zanzibar ni vile tu tanzania took it as a national language
Hakuna hiyo historia acha uongo, hiv unajua tz kulishakuwaga na serikali kabla hata hajaja Sultan wa Znz.? nazungumzia ile empire ya pale Kilwa, umesoma kuhusu soko kuu la utumwa Bagamoyo.? Na hata baada ya kuja kwa sultan unajua kasri ya kifalme/makao makuu ya Sultan yalikua wapi.? Unaijua iliokua ikiitwa mipaka ya Znz kipindi cha utawala wa Sultan iliishia wapi.? Umesoma kuhusu historia za machifu tz au unamjua tu kinjekitile ngwale mzee wa majimaji.?😂😂😂.. kwani haujiulizagi kwamba mbona mwl Nyerere alikua anaweza kuongea Kiswahili fluently.? alikujulia wapi.? Nakuachia swali la kitaaluma hili "Kiswahili ni kiarabu" , thibitisha kauli hii kwa kutumia hoja tano. Majibu utaleta kesho kutwa
 
Hakuna hiyo historia acha uongo, hiv unajua tz kulishakuwaga na serikali kabla hata hajaja Sultan wa Znz.? nazungumzia ile empire ya pale Kilwa, umesoma kuhusu soko kuu la utumwa Bagamoyo.? Na hata baada ya kuja kwa sultan unajua kasri ya kifalme/makao makuu ya Sultan yalikua wapi.? Unaijua iliokua ikiitwa mipaka ya Znz kipindi cha utawala wa Sultan iliishia wapi.? Umesoma kuhusu historia za machifu tz au unamjua tu kinjekitile ngwale mzee wa majimaji.?😂😂😂.. kwani haujiulizagi kwamba mbona mwl Nyerere alikua anaweza kuongea Kiswahili fluently.? alikujulia wapi.? Nakuachia swali la kitaaluma hili "Kiswahili ni kiarabu" , thibitisha kauli hii kwa kutumia hoja tano. Majibu utaleta kesho kutwa
Kwa swala hilo hatubishani.... watanzania mnachanganya kiswahili na lugha ya mama eti mnaita sanifu. Ndo maana nikaona watu huku wakibishana kati ya swara na swala nkt
 
IMG_20210624_101555.jpg
 
Haya nd matokeo ya bad education system nkt hata kijana hajui mandarin chinese is the largest spoken language in the world.... sasa ona ubaya wa kujifungia uswahilini tembea dunia ujue mengi na pia soma kitabu. Toa ushamba mtandaoni
Hiyo mandarin unajua kuisoma na kuandika wewe?
Nyie mna education gani nzuri kama tu kila mwezi majengo yanaporomoka!

Hiyo education nzuri mbona imeshindwa kuwaondolea njaa, ukabila na umasikini?
Badala ya kuji aibisha afadhali hata unagoogle kiasi kama hukusoma
Kiswahili imenisaidia mambo mengi na mazuri sana.
Kiswahili imetusaidia tunawasiliana vizuri tena hakuna ukabila hata kidogo.

Huko "kwenyu" kuna sehemu wananchi hawaelewi kiswahili wala kingereza kiongozi akitembelea inabidi aandaliwe mkalimani
 
Kwa swala hilo hatubishani.... watanzania mnachanganya kiswahili na lugha ya mama eti mnaita sanifu. Ndo maana nikaona watu huku wakibishana kati ya swara na swala nkt
Nini maana ya mother tongue.? By definition, mother tongue is the first language for a person to acquire, the language which a person has grown up speaking from early childhood.. Kiswahili ni mother tongue kwa watanzania wengi kwasababu ya ile sera ya ujamaa, watu wa makabila tofauti walikutanishwa na Kiswahili wakaishi pamoja, wakaona, wakazaa, kitu kilichopelekea watoto wengi waliozaliwa kwenye majiji na towns kutojua kabisa vernacular languages za wazazi wao, kwa mfano Mimi binafsi sijui lugha ya baba wala mamaangu, najua Kiswahili na kiingereza kwa asilimia fulani basi.. NB: kuna hatari ya hiz vernacular languages kupotea kabisa hapa tz since watu wengi wanakimbilia mijini kuanzisha maisha, ni mara chache sana kukutana na mtanzania anaishi mjini akizungumza lugha za kikabila, na kwamaana hiyo basi Kiswahili has now become the mother tongue and the first language to many Tanzanians.. sijui unanielewa Simba .?
 
Kausha basi, hatufanani hata ikiwa used! 🤣 🤣 🤣
Ni kweli hatufanani,serikali yenu inanunua vitu used,serikali yetu inanunua vitu brand new..yaani ni mbingu na ardhi..huku bongo ukinunua kitu ambacho used unaweza ukakamatwa na polisi,kwa sababu vitu used always ni vitu vya wizi..
 
Hiyo mandarin unajua kuisoma na kuandika wewe?
Nyie mna education gani nzuri kama tu kila mwezi majengo yanaporomoka!

Hiyo education nzuri mbona imeshindwa kuwaondolea njaa, ukabila na umasikini? Kiswahili imenisaidia mambo mengi na mazuri sana.
Kiswahili imetusaidia tunawasiliana vizuri tena hakuna ukabila hata kidogo.

Huko "kwenyu" kuna sehemu wananchi hawaelewi kiswahili wala kingereza kiongozi akitembelea inabidi aandaliwe mkalimani
Yeah najua vizuri sana kuisoma na kuandika am a woke person me si wa kijiji kama wewe
 
We nae kumbe ni hater tu 😂😂😂 pole sana, kwani gari ikiwa ni left hand ikija tz bas ni lazima iwe imekwisha tumika.? Yani kwamba tz gari zote za left hand zinazoingizwa ni used.? Acha kuwaza na matako wewe, hujui chochote kuhusu Platnumz tuliza mshono, na amesema amenunua gari tatu Cadillac Escalade mbili na RR, by the way Cadillac Escalade black edition ya lexani motors 2020(upgraded) ni ghali kuliko Rolls-Royce 2021 in case you don't know, go google the price, hiv kwa akili zako timamu Platnumz ashindwe kununua gari zero km kweli.? Hiv unajua Platnumz ana gari zisizopungua tano tena zote ni juu 100m .? View attachment 1828236hizi alizinunua zero km, ama kwa hiyo gari nyeusi ni ya 2019 na hizo mbili nyeupe ni za 2020 .. alaf atashindwaje sasa kunua gari kama Cadillac Escalade jamani.? 😂😂 Alaf amenunua Cadillac Escalade mbili ujue ya kwanza ilikua hii hapa . Wenzako wanapata mhaho uko kama wewe unavyopata, mara ooh ile gari ya kwanza ilikua ya mtoto wa bakhresa, mara hii ya jana nayo ilikua gari ya lugumi 😂😂😂 amuweni wenyewe kanunua second hand kutoka ulaya na Dubai au ni gari za kina lugumi na mtoto bakhresa.. Yani haters ni vituko nyie loh, mara Cadillac Escalade sio luxury car 😂😂, unaijua Cadillac Escalade we mpuuzi.? Au unataka nikuingize darasani na mada ya magari.? gari zinaendeshwa na akina j-zee, Donald Trump, Floid Mayweather, kim cardashian, Justin Bieber, tz yenyewe wanaomiliki ni watu wachache sana alaf uje useme sio luxury car kwasababu unamchukia Diamond, we ni matako nini.?

Nitajie showroom moja Tanzania inauza magari brand new left hand Tanzania! Na kama haipo, kwann! ?
 
Hiyo mandarin unajua kuisoma na kuandika wewe?
Nyie mna education gani nzuri kama tu kila mwezi majengo yanaporomoka!

Hiyo education nzuri mbona imeshindwa kuwaondolea njaa, ukabila na umasikini? Kiswahili imenisaidia mambo mengi na mazuri sana.
Kiswahili imetusaidia tunawasiliana vizuri tena hakuna ukabila hata kidogo.

Huko "kwenyu" kuna sehemu wananchi hawaelewi kiswahili wala kingereza kiongozi akitembelea inabidi aandaliwe mkalimani
Umaskini wa kenya na watanzania hufananishwi na pia tanzania mnafichwa vitu vingi you not fully democratic sisi unaona vitu vingi mtandaoni sababu people are free to post lakini hiyo haimaanishi you ain't at a worse actually way worse state than us
 
Back
Top Bottom