komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
ichoboy01 atakwambia hyo ni undergroundA road in Nairobi. Dar es Salaam is not going to get such a road in the foreseeable future.
View attachment 1827909


ichoboy01 atakwambia hyo ni undergroundA road in Nairobi. Dar es Salaam is not going to get such a road in the foreseeable future.
View attachment 1827909


Lamu haina uswazi mzee zenji zimetapakaaWenyewe husema it's either Santorini or Zanzibar...lamu is just incase...
Asante sana kw povuHii ndio Greece we ng'ombe?
Mkishajaza mafilta mnaona mmemaliza, kwa ground ni uozo kama uliopo kayaba
Eti Greece
View attachment 1827913View attachment 1827914View attachment 1827915View attachment 1827916
Hutaskia siku hta moja mtu hapa ameleta hospitali kutoka tandaleA hospital in Korogocho "slums" in Nairobi.
View attachment 1827921
Tofauti yake ni nini? Inawezekana hata huelewi unongelea nini.We kumbe ni mpuuzi sana..
Kuna tofauti kubwa sana ya mother tongue na first language basi kw taarifa yako
Kindergarten tu hyo idadi uliyoitaja wamepita itakuja wakenya woteKamfundisheni spika wenu kuhesabu tarakimu kwanza ndio mje upya
Kama katika wakenya zaidi ya million 55 ni million 1 tu ndio wanajua English, kiswahili itakuaje?Ninyi ni wakugaluga waporipori ndio maana mpo so primitive hata lafudhi yenu it's so bushy


Hata sijaskia vibaya




"Spoon feeding teaches nothing"especially for adultsTofauti yake ni nini? Inawezekana hata huelewi unongelea nini.
Am not here to baby lazy adultsTofauti yake ni nini? Inawezekana hata huelewi unongelea nini.
Okay Sawa mwanamke..Am not here to baby lazy adults
Diamond amenunua gari nyingine tena cardilac black edition 2020👇👇👇
Nimekwambia nitafute private kwa muda wako NITAKUFUNDISHA Free sitaki malipo.. hao hawajakukimbia bali wamekudharau, Me ndio nimeona nikuzingatie nikupe darsa kidogo ili uondokane na huo ujinga ulionao..Eti kiswahili ni mother tongue kwako
Acha kuzunguka, km vipi fanya hivi! We niletee hyo historia yako ya kiswahili, hta mimi nimefundishwa kw kingereza tokea chekechea mpka chuo lkn hakuna siku utanikuta najisifia km nakijua kingereza sana..
Kw taarifa yako kiswahili kwetu pia mashuleni kinatolewa km somo, kwhyo usijione km we pekeako ndio umesoma kiswahili..
Nasubiria hyo historia yako tofauti na ile niliyoitoa km somo hapa, wenzako wamekimbia mzee![]()
😂😂☝️ Haujui kitu tulia, sio dhambi kukubali kutojua kitu fulani, mother tongue ndio first language, pitia hapa 👇We kumbe ni mpuuzi sana..
Kuna tofauti kubwa sana ya mother tongue na first language basi kw taarifa yako
Hao watu wa udaku nao ni against Diamond. Hiyo gari sio second hand, ni ndinga mpya kabisa hii apa imepostiwa soma km hizombona left hand? ina maana secondhand sio? Wakina Mange wanampeleka mbio!
Hao watu wa udaku nao ni against Diamond. Hiyo gari sio second hand, ni ndinga mpya kabisa hii apa imepostiwa soma km hizo
hii sio sehemu sahihi ya kutafutia mabwana.nenda siasani kule.Nani alimpenda yule dictator uchwara Mzee wa propaganda
Lakin bado inawabamba wala bataLamu haina uswazi mzee zenji zimetapakaa
Unajua maana ya significant difference kwanza au ndio umekurupuka kuleta tuHaujui kitu tulia, sio dhambi kukubali kutojua kitu fulani, mother tongue ndio first language, pitia hapa
View attachment 1828089nimekwambia Kiswahili ni mother tongue kwangu kwasababu, Mimi nimezaliwa mjini kabisa Tanga town, and my parents were not speaking their vernacular languages wao wenyewe wamekutanishwa na Kiswahili, babaangu ni mdigo na mamaangu ni msambaa, kwahyo mimi nimeanza kuongea Kiswahili (first language) kabla sijaanza kuongea lugha yoyote, nimeenda shule kujifunza kusoma na kuandika Kiswahili lakini sio kujifunza kuongea Kiswahili tofauti na wewe umeenda shule kujifunza kusoma, kuandika na kuongea kiingereza, ndio maana najivunia kukijua Kiswahili kwa upana wake.. Na kama bado utakua umekaza fuvu kwamba mother tongue sio first language bas ntakuacha na SWALI ulete majibu.
"Mother tongue is not necessarily to be the mother's tongue, Discuss this statement with six points.





