Swali lake la pili limeniacha hoi


Eti lahaja ya usanifishaji wa lugha ya kiswahili na wakati tayari historia imemaliza kila kitu.
Kiswahili bila waarabu na lugha za kutoka pwani hakingelikuwepo, sasa jamaa anataka kutuaminishia lugha zote za pwani zinafanana..
Kila watu walikua wakitumia lugha zao hku wakichanganya na kiarabu kiasi ili kupata kuelewana kati shughuli mbali mbali..
Mambo ya sanifu yalifanya kuja kw sababu za watu flani(hasa hasa walilenga kielimu zaidi) ili kusije kukawa na mkanganyiko..
Upo baba mzee osama