


Haujui kitu tulia, sio dhambi kukubali kutojua kitu fulani, mother tongue ndio first language, pitia hapa
View attachment 1828089nimekwambia Kiswahili ni mother tongue kwangu kwasababu, Mimi nimezaliwa mjini kabisa Tanga town, and my parents were not speaking their vernacular languages wao wenyewe wamekutanishwa na Kiswahili, babaangu ni mdigo na mamaangu ni msambaa, kwahyo mimi nimeanza kuongea Kiswahili (first language) kabla sijaanza kuongea lugha yoyote, nimeenda shule kujifunza kusoma na kuandika Kiswahili lakini sio kujifunza kuongea Kiswahili tofauti na wewe umeenda shule kujifunza kusoma, kuandika na kuongea kiingereza, ndio maana najivunia kukijua Kiswahili kwa upana wake.. Na kama bado utakua umekaza fuvu kwamba mother tongue sio first language bas ntakuacha na SWALI ulete majibu.

"Mother tongue is not necessarily to be the mother's tongue, Discuss this statement with six points.