Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mama endelea hivo hivo
IMG_20210602_124228_600.jpg
 
Ndio, kwanini iwapokonye ndugu zetu mashamba yao, ama kwa vile wengi wao ni dhaifu😂😂😂 lazima tuwakomboe hata uganda pia tutawakomboa.
Serekali ikukupa shamba kama hujaliendeleza inachukua mali yake ndio maana zikachukuliwa 🤣🤣🤣 hapo mlipo kamujajikomboa itakuaje kuwakomboa uganda 🤣🤣🤣🤣
 
Serekali ikukupa shamba kama hujaliendeleza inachukua mali yake ndio maana zikachukuliwa 🤣🤣🤣 hapo mlipo kamujajikomboa itakuaje kuwakomboa uganda 🤣🤣🤣🤣
Muulize mseven alipokuja kenya alifanywaje, jiulize kwanini bobi wine alikuja kenya, jiulize kwanini free bobi wine hashtag ilitrend sana kenya.
 
Nilienda kumtembelea ndugu yangu huko Tz, alikuwa mahututi kwa kipigo! 😬😬😬
images (6).jpeg

Bahati mbaya, mwanao atoke nje akuone umekabwa kama gaidi flani hivi unakula kichapo cha M. koko! 🤔😁
images (4).jpeg

Kama gunia la viazi vile, sio freshi majamaa! 🤣 🤣
images (3).jpeg

Duh, lazma kinundu kitoke, sio kwa kipigo hicho! 🤣
images (2).jpeg

Huyu dogo yuko hai? Manake viatu huvuliwa Station sio ukishikwa. 5-1🙆🏾‍♂️😬
images (1).jpeg

Hapa jomba kavamiwa kama vile swala! 😬
images.jpeg

Hii ya mwisho iko funny aisee! 🤣
IMG_20210602_125723.jpg
 
Back
Top Bottom