xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,301
- 5,379
andika English kama kiswahili hujuiMamaaa, pumba hili kweli! [emoji1787]
andika English kama kiswahili hujuiMamaaa, pumba hili kweli! [emoji1787]
sie au nyie?Kwanza wacheni kula albino[emoji23][emoji23][emoji23] naskia kule sumbuwanga wanawindwa kama kuku
usifananishe riots na ukabilaHehe, utafikiri kwa Hitler!!! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nakuona huyo hapo wewe, unapigishwa chura chura na mume mwanzako, hebu inuka mzikwende ngumi acha uboya! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
View attachment 1805759
View attachment 1805760
Kaskia wanaliwa huko, mjomba kaona wacha nipige biashara! 🤣 🤣 🤣 🤣 Effects za Tz zimemshika anafaa maombi! 🤣sie au nyie?View attachment 1805877
Hehehe, piga ua! 🤣 🤣 Mambo ya third world nations sana sana hujajua? 😂usifananishe riots na ukabila
we nyan'gau
Hawafanyi bhana, sisi mazoea yale, mkasa wa ajali haufanyi lolote lile, jeshi bado imara kama kawa! 🤣 🤣 🤣 Cheki mambo hapo chini...👇Huwa wanafanya sana hayo mambo uwanjani...na nyie jana mkaamua kuiga
[emoji23] [emoji23] [emoji23]andika English kama kiswahili hujui
Weka hiyo mara tatu nicheke, 2021 list isha chapishwa., tandaza hapa tuone hiyo mara tatu yako dogo 😂 😂 😂 😂 kilaza unajitekenya na kucheka mwenyewe😂😂😂😂, alafu Africa below 35 millionaires ni Kenya inaongoza, uko na habari kweli?., ina maana nyie mlio humu jf ni mafukara, yaani malofa tu..,😂😂😂Na hapo hapo tanzania ina millionares mara tatu ya kenya uganda and rwanda combined 🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo tu?Professor jay hajajenga nn ??
View attachment 1805782
Full kilaza at his best!😂😂😂😂😂😂😂nikikuita semi illitrate unanuna, sasa ona? 😂 😂 😂 😂 , tell me 25% of fertile land ni kiwango kipi? in hectares..,na iko sehemu ipi ya nchi kwa wingi? wacha nikusaidie, lies mostly in western region of Kenya towards Uganda, kwa waluhya sana sana.,Moi na Kenyatta wako rift valley na central, and coast, hawana miliki yeyote western!, na how many in hectares do the kenyattas and Moi own? and others u claim to know? and in which places are there farms? utasemaje kuhusu Lord Delemere (mzungu) anae own ranch and a big farm in Naivasha, unajua Naivasha iko vipi?, ni somewhat semi arid, ile familia wana irrigate., hakuna mzungu ana own fertile land in Kenya kwa wingi, Delmonte ni muwekezaji, amepewa lease to create employment na kuchangia uchumi, Kenyatta owns big swaths of land in coastal region, not good for farming, za Kiambu mingi waliuza zamani., so swali langu kwako kilaza; waluhya wenye wana own big lands kule scheme, thousands of acres in western and trans-nzoia areas sio wakenya sio? Kalenjin wa rift valley sio wakenya? wajaluo wenye ukoo Nyanza hizo sio zao ni ni za Moi na Kenyatta, na wazungu na bebeberu kwa kauli yako? unapata tabu sana😂😂 Na Wakuria je wanao pakana na watanzania pale Isbania? na wa Maasai? na Wa kisii pia sio wakenya? Turkana? Borana? Pokot? hawa wote ni masquota?😂😂😂😂 Wakamba utasema nini? ardhi ya Machakos na Kitui county ni ya wana siasa na akina Kenyatta sivyo?😂😂😂😂😂😂.., fala wewe haujui Kenya, unatamani tufanane kwa ufukara lakini wapi, walie walisha propaganda walikufa., sasa mmebakia kutapatapa tu😂😂😂, mnashangaa shangaa tu..,75% jangwa alaf 25% inamilikiwa na familia kadhaa tu 🤣🤣🤣🤣 alaf wengine muko kwenye slums zinazomilikiwa na serekali ten
nje ya Dar hakuna mji of this magnitude in infrastructure and economic output., Nakuru has high revenue than any of their shopping centres called cities.,
Tunanunua ngano kwa wakulima wenu kisha tunawarudishia ikiwa unga wapike chapo na mahamri 😂 😂 😂 😂 😂Kwenye wheat flour hahaha karibuni sana tunawakaribisha huku 🤣🤣🤣🤣🤣
Roho mbaya na Ufisadi utawaua wakenya. Does it even fit to be international??lkn umeona hicho kinachoitwa international stadium?[emoji2363]
TPDF wamezoea kupigana na child soldiers wa Congo, walio wapiga mapanga siku moja, lazima wajipange na kung fu 😂 😂 😂 😂 😂Wavunja matofali ni vijana wa kazi huku (NYS)... 😂 😂 😂
View attachment 1805862
View attachment 1805863
View attachment 1805864
View attachment 1805865
View attachment 1805866
View attachment 1805867
View attachment 1805868
View attachment 1805871
View attachment 1805872
View attachment 1805873
Hebu tueleze alifanywa nn ?? Kuna kitu gani mushawah mfanya mseven nyinyi ikiwa tribalism inawatoa nyaa🤣🤣🤣Muulize mseven alipokuja kenya alifanywaje, jiulize kwanini bobi wine alikuja kenya, jiulize kwanini free bobi wine hashtag ilitrend sana kenya.
Matusi baada ya hasira 🤣🤣🤣🤣Haya legeza kiuno ulipuliwe😂😂😂
Haya tusubiri tuone naona siku hzi mumekua waoga na tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣Sio unga bali kila kitu mpaka chupi mtavaa za kenya😂😂😂