Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Unawatakia matatizo na wakina wanjera wenye daddy's faces from North 😅😅😅hawa jamaa picha ya mwisho nafahamiana nao.. wengi wapo pale mliman city kwa nje na makumbusho
Unawatakia matatizo na wakina wanjera wenye daddy's faces from North 😅😅😅hawa jamaa picha ya mwisho nafahamiana nao.. wengi wapo pale mliman city kwa nje na makumbusho
Ipo poa sana kwa kweli
Wewe umeona gypsum tu?Ndio unaona ceiling ya gypsum mara ya kwanza dogo😜😜😝😂😂🤣, unashangaa shangaa😲😲 inakubidi upost humu, ni majabu kwako😜😝😂😂😂🤣
Wacha wajikaze tu., angalau waskie vizuri😂Mambo madogo hayo! Na sio Nairobi sasa... 😂
View attachment 1804760
View attachment 1804761
View attachment 1804762
View attachment 1804763
View attachment 1804765
View attachment 1804766
View attachment 1804767
Shamba la bibi hilo, your govt knows you are genetically slow and weak kenyans can hijack your country. Lazima wakaze kinyambis lakini mama analegeza😂Iangalie hii minyumbu 😅😅😅😅
Kwanini isiseme Sudan, Somalia, Ethiopia? Yaani inashobokea Tanzania na sisi hatuwataki dadeq 😂😂😂😂
Mmeshindwa kuhijack poverty iliowatopea mpaka kwenye kope ndio Tanzania mtaimudu?Shamba la bibi hilo, your govt knows you are genetically slow and weak kenyans can hijack your country. Lazima wakaze kinyambis lakini mama analegeza😂
Tanzania tunaigeuza colony yetu ndani ya mwaka mmoja tu endapo mama ataruhusu free flow of goods and people😂😂😂 you people are slow and weak thanks to ujamaa.Mmeshindwa kuhijack poverty iliowatopea mpaka kwenye kope ndio Tanzania mtaimudu?
Ninyi kaeni huko huko kwenu, tunachoweza kuwahakikishia ni uhakika wa chakula kutoka kwetu sababu ninyi ni fukara na dhaifu wa chakula primarily.
Aliyekwambia imeisha ni nani, use common sense, haiko complete dadeq... 😂lkn umeona hicho kinachoitwa international stadium?🤦🏽♂️
Naona English point imetokelezea chonjo! 🔥🔥🔥
Tukikosa kuwanunulia si kitaoza mashambani kama juzi mlivyoanza kulia baada ya block, na ukumbuke sio nchi zote hufanana, so nyie wakulima, limeni aisee tunakuja kununua sisi, tena bei che kabisa! 🤣 🤣 🤣Mmeshindwa kuhijack poverty iliowatopea mpaka kwenye kope ndio Tanzania mtaimudu?
Ninyi kaeni huko huko kwenu, tunachoweza kuwahakikishia ni uhakika wa chakula kutoka kwetu sababu ninyi ni fukara na dhaifu wa chakula primarily.
Na wana bahati mashamba ni property ya serikali, bila hivyo tungenunua yote tu tuwalimishe mihogo,ndio jioni wapite bezi wapate mihogo na kitimoto anga! 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Tanzania tunaigeuza colony yetu ndani ya mwaka mmoja tu endapo mama ataruhusu free flow of goods and people😂😂😂 you people are slow and weak thanks to ujamaa.
Madam Samia BRT Phase II visit
😀😀😀Duh!!!!!...jamani hakuna battle hapa
Ndo maisha ya wenzetu kawaida Sana kwao🙂Hakuna battle hakuna hapa angalia huo uchafu hapo chini halafu ni cbd hapo!..