Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni Mausoleum ama? Yaani concept ya kujenga kaburi simple na kuweka garden safii hamna Tanzania? Sasa mtu aliweka usia azikwe kwenye makaburi ya familia unapojenga nyumba namna hii inakaa vp?

Hivi kuwa na kitu simple kama hivi tunashindwa vp? Lijumba la kishamba lina lipaa likubwa kama dunia? yaani kwelii ndo heshima kwa mpendwa wetu?

View attachment 1789481

ghwbushgravesite9.jpg
Mwanzoni waliweka mabati nafikiri wamejenga kwa cku chache sn mana juzi tu makamu wa rais ameenda kutembelea kulikuwa kumezungushwa mabati, kiukweli wamezingua kujenga jumba km kanisa. Au labda hapo ni ibadani co kaburi.
 
Maskini asiyejua umuhimu wa units na nyumba za chini
Jiulize kwnn new york ina watu wengi kuliko dar wakati dar ni kubwa..

Units ndio zinabeba watu wengi kuliko uswazi, rudi shule jomba
Kenya kuzaana jadi yenu, nchi yenu inaingia zaidi ya mara mbili kwa yetu lkn raia tumewapita only 5mil
 
Mwanzoni waliweka mabati nafikiri wamejenga kwa cku chache sn mana juzi tu makamu wa rais ameenda kutembelea kulikuwa kumezungushwa mabati, kiukweli wamezingua kujenga jumba km kanisa. Au labda hapo ni ibadani co kaburi.
Mi sijui aisee ila design za makaburi zipo wangeenda hata makumbusho pale wakaona! Labda ndo familia imeona ndo kumuenzi Rais wa nchi vyema!
 
Mm nazoom umepost picha ya morogoro road ngoja tuzoom tuone kwann mZungu hakuona slum πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ tafuta sehemu yoyote dar unitajie mm nitafanya zoom bure kabisa na nitakwenda eneo hilo nichukue ground view kama vile tandale ilivowatoa uharoπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜πŸ˜View attachment 1789253View attachment 1789254View attachment 1789256
Oneni swazi huu mchafuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚eti affordable houses
 
Anaemiliki sacco ni nani ??? Twende taratibu mm sitaki hasira kabisa mm nachotaka uelewe kwamba wakenya wengi maisha yao ni kurent na sio kuown land or house

mm narudia point yangu hata hzo estate hawamiliki watu zinamilikiwa na mashirika ya serekali na taasisi za waty binafsi wengi wana rent na hao vigogo hutumia kama business
Hata makanisa pia wana sacco's zao, wakulima pia vile vile
Mbna unaumia mzee baba, kwnya shule zingine zinajengwa mpka na wananchi(harambee) we si umesema unaijua kenya hivi tena imekuaje
 
Who bought ??? Ni middle class gani mwenye pesa ya kununua nyumba kenya au ww hukmjui maana ya middle class, kwan ukijenga na watu hawajanunua then unafanya nn siwanapanga kama kawaida au nadanganya mm wewe danganya watu nairaland sio hapa
Hapa umechemka
Lenya watu wana majumba aisee yani hzo pumba ndizo ulizolishwa hko vijiweni
 
Ndio manake sai rais na mwenzake raila wameleta BBI ili iweke mambo sawa, haiwezekani pesa zitolewe kw ahadi na wakati kuna mbinu nyingi sana moja ni hyo ya kutunga sheria ya kupeleka mpunga wa mana mashinani
Mbona imeishia njiani sasa 🀣🀣🀣 na zile 14b ksh zikwapi zimeliwa na wajanja
 
Vijijn wapi labda kama ni ya kurithi hawa jamaa hawawezi kumiliki ardhi Nairobi na Nairobi metro in general, k.m ukienda kiambu huwezi kupata mtu wa kabila lingine anamiliki ardhi eneo ilo zaidi ya mkikuyu

Yani mkalenjin atoke rift valley aje amiliki ardhi kiambu izo ni ndoto za alinacha haitowahi kutokea
Umelishwa pumba kijiweni
Mkenya km anauza ardhi huangalia pesa kwanza mkikuyu bora ufikie bei tu
 
Who bought ??? Ni middle class gani mwenye pesa ya kununua nyumba kenya 🀣🀣🀣 au ww hukmjui maana ya middle class, kwan ukijenga na watu hawajanunua then unafanya nn siwanapanga kama kawaida au nadanganya mm πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wewe danganya watu nairaland sio hapa
Ni watanzania wanazinunua.
Hata hizi hapa ni watanzania wanazinunua
images (81).jpeg
images (84).jpeg
images (85).jpeg
DdizqyWVwAAa6wy.jpg
images (83).jpeg
Screenshot_20210518-182028~2.png
images (80).jpeg
Screenshot_20210518-182628~2.png
 
Hata makanisa pia wana sacco's zao, wakulima pia vile vile
Mbna unaumia mzee baba, kwnya shule zingine zinajengwa mpka na wananchi(harambee) we si umesema unaijua kenya hivi tena imekuaje
Kua na sacco sio shida hakuna sacco inafanya kazi ya kanisa kwamba inagawa vitu bure hata matatu zina sacco ila hawagawi matatu bure 🀣🀣🀣🀣 tatizo investment ikifanyika inatakiwa return irudi sasa wakununua nyumba wako wapi hao munaowaita middle class 🀣🀣🀣 kwenu middle class ni yule anaweza lipa rent ya bedsitter
 
Kua na sacco sio shida hakuna sacco inafanya kazi ya kanisa kwamba inagawa vitu bure hata matatu zina sacco ila hawagawi matatu bure tatizo investment ikifanyika inatakiwa return irudi sasa wakununua nyumba wako wapi hao munaowaita middle class kwenu middle class ni yule anaweza lipa rent ya bedsitter
Bwahaha!!umehamisha goli tena
Wakenya wanamiliki majumba yani heri ukatulia hvo hvo jamani..
 
Huku ndo ukunyani kwenyewe sasa hawa ndo wanawapikia wale wa Karen na all those posh areas! Unakuta mtu hana choo halafu anaenda lisha wale wa Muthaiga na Kileleshwa! Ndo maana Kipinduapindua hakiishi Nairobi! Feudalism in 21st Century.
 
Ni watanzania wanazinunua.
Hata hizi hapa ni watanzania wanazinunua
View attachment 1789851



Nani ana 14m ksh nani ni middle gani kenya ana pesa ya kulipia nyumba na kununua kwa mshahara gani kwa maisha gani πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡ na wewe mwenyewe umesema kununua ardhi nairobi sio sh mbili
FCDB817B-FD92-42E6-84AC-C06AEF655ECB.jpeg




nilikwambia πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Back
Top Bottom