ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tukizungumza nairobi ndio tumezungumza kenya, na kenya bila nairobi ni mavi ya kuku hata wewe unajua 🤣🤣🤣🤣Kwa hivyo Kenya nzima ardhi iko tu Nairobi? How do you even reason?
Tukizungumza nairobi ndio tumezungumza kenya, na kenya bila nairobi ni mavi ya kuku hata wewe unajua 🤣🤣🤣🤣Kwa hivyo Kenya nzima ardhi iko tu Nairobi? How do you even reason?
Jipe matumaini mm najua nilipogusa huwezi tikisika kwasababu nimegusa sehemu sahihi 🤣🤣🤣🤣🤣Huijui mzee, narudia tena..huijui kenya mzee[emoji23][emoji23]
Nimeruka futu kumi mm au nani 🤣🤣👇👇Ameruka futi kumi[emoji23][emoji23]
Sai imekua hzo appartments wanaonunua ni matajiri middle class hawa afford, yani nimemcheka kw dharau sana
Umebadilisha tena[emoji23][emoji23] si nyie mnasema kenya kumiliki ardhi ngumu sai umebadilisha nairobi..Hamuna uwezo wakuown land na ww umesema mwenyewe land in nairobi ni wxpensive sio sh mbili na bado majority ni maskini watamiliki vp ardhi na nyumba na ukasema ww una urithi ushagoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa sijui wapi unakwama wewe lakini ndoto ya kumiliki nyumba nairobi haipo kwa wengi sana ukiwemo wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hivyo mbona hizo nyumba zinajengwa kama wawekezaji washajua wakenya hawana uwezo wa kuzinunua? Najua wewe ni mjinga na pia uko na elimu duni but do you know something about market analysis? Do you know what it entails and why companies and investors do market analysis?Sema muna rent pesa ya kununua hamuna mpaka dunia itasmama 15m ksh mshahara wenyewe 30k shs hapo bado makato ya serekali hapo hujala hapo hujalipa rent hapo hapo bado transport hapo hapo bado stima na maji hapo hapo hujavaa 🤣🤣🤣🤣🤣 acheni masikhara nyinyi
Kwanza rudi kwenye mada iliopoanzia alaf uje tuongee unafandia kichwa kichwa tu muulize mwenzio tulianza wapi mpaka sahii tuko wapi kenge wa kiume wewe🤣🤣Umebadilisha tena[emoji23][emoji23] si nyie mnasema kenya kumiliki ardhi ngumu sai umebadilisha nairobi..
Kwn uliskia nairobi ni jiji ambae kila mtu anaiwaza na kutaka kuishi...
Unaforce mpaka unachemka mzee
Yani huyu kilaza anareason as if wakenya wote 52m wanaishi NairobiUmebadilisha tena[emoji23][emoji23] si nyie mnasema kenya kumiliki ardhi ngumu sai umebadilisha nairobi..
Kwn uliskia nairobi ni jiji ambae kila mtu anaiwaza na kutaka kuishi...
Unaforce mpaka unachemka mzee
Wakenya wana majumba mzee[emoji23][emoji23]Majumba au kurent estates ??? Eleweka kidogo hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti ukiweza kurent bedsitter nawewe middle class nyama ya bata
Ameona kakamatwa[emoji23][emoji23]anatulazimishia tuishi nairobi mzee babaKwa hivyo Kenya nzima ardhi iko tu Nairobi? How do you even reason?
Kwani munapo rent maana yake nn hawapaswi kujenga, wanajenga kama investments wakijua nyumba ni basic need utake usitake utaishi ndani manake huwezi oga barabarani pale thika road 🤣🤣🤣Kwa hivyo mbona hizo nyumba zinajengwa kama wawekezaji washajua wakenya hawana uwezo wa kuzinunua? Najua wewe ni mjinga na pia uko na elimu duni but do you know something about market analysis? Do you know what it entails and why companies and investors do market analysis?
Kwa hivyo ardhi zote za Kenya zipo Nairobi?Tukizungumza nairobi ndio tumezungumza kenya, na kenya bila nairobi ni mavi ya kuku hata wewe unajua 🤣🤣🤣🤣
Mm hata muje ishirini huniwezi na hamuniwezi u know y hamuna chakunidanganya mm 🤣🤣🤣🤣Ameona kakamatwa[emoji23][emoji23]anatulazimishia tuishi nairobi mzee baba
Kwan ww uliposema nairobi land sio shs mbili ulikua unaongelea nairobi gani ???🤣🤣Kwa hivyo ardhi zote za Kenya zipo Nairobi?
Nimekuilia swali rahisi sana. Do you know something called market analysis?Kwani munapo rent maana yake nn hawapaswi kujenga, wanajenga kama investments wakijua nyumba ni basic need utake usitake utaishi ndani manake huwezi oga barabarani pale thika road 🤣🤣🤣
Lakini kwa masharti haya mutaishia kumiliki nyumba kwenye ndoto
View attachment 1789896
We kweli chizi yaani nyali umeleta sensa ya 2019,wakati masaki umeleta ya 2000...we unalinganisha nini,akili yako inafanya kazi kweli?Masaki na nyali ki population kwanza ndio ujue km watu tanzani wengi ni walalhoi walai..
MK254 Tony254
Ona vile population ya watu wao hko wanakokuita ushuani[emoji23][emoji23]
Panaishi watu wachache sana walaiView attachment 1789555View attachment 1789556
Kwa ku rent sina shaka hio hata hunidanganyi lakini kuown land and a house kwa mkenya wa middle class na kushuka chini ni ndoto ya alinacha na hili unalijua 🤣🤣🤣Wakenya wana majumba mzee[emoji23][emoji23]
Yani unapagawa na estates za nairobi basi waona watu hawamiliki mijengo..
Narudia tena wakenya wana majumba[emoji23][emoji23]
Umekasirika mzee, mpka unatulazimishia tuishi nairobi...hzo si hasira tosha[emoji23][emoji23]Mm nikasirikie labda niwe siwajui nyinyi ndio ntakasirika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na haitatokea kua afford mpaka dunia inasmama kwa mshahara gani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I already own a house in Nairobi. Na sio dreamhouses kama ile yako ya Gongo la mbotoKwan ww uliposema nairobi land sio shs mbili ulikua unaongelea nairobi gani ???🤣🤣
Hvi nikuulize swali na just be frank wewe hutamani kua na nyumba hapo nairobi?? Nijibu ukweli hata kama unaumia rohoni
Mzee si unateseka na kenya sana kumbe[emoji23][emoji23]Tukizungumza nairobi ndio tumezungumza kenya, na kenya bila nairobi ni mavi ya kuku hata wewe unajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huijui kenya mzeee[emoji23][emoji23][emoji23]Jipe matumaini mm najua nilipogusa huwezi tikisika kwasababu nimegusa sehemu sahihi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]