ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Huku kwetu nitofaut sana huku maskini kumiliki ardhi ni kitu cha kawaida sana ww hushangai kwann dar ina ukubwa 1600km sq na ina watu around 5.5 m na kwann nairobi ina 696kmsq ikiwemo national park na misitu ya kutosha na ina watu 5m bado unatafuta mchawi hapo na ratio iko wazi 🤣🤣🤣🤣That's the kind of gospel he's trying to preach here. Eti kila mtu Dar amejenga nyumba
ukiachilia maskini kumiliki ardhi bado vifaa vya kujengea nyumba ni rahisi sana niliwah kutoa mfano wa mchanga ukiuzwa dar na nairobi, kokoto pia na cement bado munataka ramli ije iwasaidie 😁😁😁
leo hii unataka kunidanganya mm mkenya middle class anaouwezo wa kununua nyumba nairobi unanidanganya mm mzee??😃😃😃 wakat mm nina ndugu kibao ni middle class hawana hata ndoto ya ardhi achilia mbali nyumba 😄😄😄😄
mm narudia kusema nairobi land inamilikiwa na wacahche wengi wakiwemo politicians, taasisi za serekali na investors pamoja na wafanya biashara wakubwa kabisa wanaoshirikiana na politicians kwisha ukiwatoa hao nani anamiliki ardhi mtu hushangai kibera kua na watu 2.5million😃