ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Dawa imeingia sasa 🤣🤣🤣🤣 hamupendi lugha ya kiswahiliKiswahili tupu, empty rhetorics😂😂😂😂, wapi za Dar?., hamna chochote nyie, kama ziko leta humu Kiswahili mingi ya nini?😂😂😂😂.,
Dawa imeingia sasa 🤣🤣🤣🤣 hamupendi lugha ya kiswahiliKiswahili tupu, empty rhetorics😂😂😂😂, wapi za Dar?., hamna chochote nyie, kama ziko leta humu Kiswahili mingi ya nini?😂😂😂😂.,
Nyingi bila mwana.
Nimedokezwa "Bajeti ya Wizara ya Ujenzi imepunguzwa kwa 20%", ukijumlisha na ufisadi utakaoanza kwenye miradi, sijui kama hata 20% ya Magufuli atafika. Yaani tumerudi kulee kwa Kikwete.
Leta facts tupe budget ya 2020/2021 na 2021/2022 tuamini!
Mm nazoom umepost picha ya morogoro road ngoja tuzoom tuone kwann mZungu hakuona slum 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 tafuta sehemu yoyote dar unitajie mm nitafanya zoom bure kabisa na nitakwenda eneo hilo nichukue ground view kama vile tandale ilivowatoa uharo👇👇😁😁😂😂😂😂😂😂an idiot is running away na kajisababu., mumepewa a clear analysis, very objective with clear demarcations., Wapi ya Dar? Hapa jibubhakuna ni vijisababu uchwara kwendeni uko😂😂😂😂😂., Hauwezi pata such organization and modern housing in such density in Dar., kuna all types but where is your low middle and middle class residential., yaani Dar ni village type lifestyle 😂😂😂😂😂., Mmeogopa kuweka picha😂😂😂😂😂😂😂., idiots, kwa kukwepa hamjambo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.,
Mtoe wapi wide area organized residential,..,ni hapa mtabakia siku mingi, nyumba za kishamba, dirisha za mbao., village at the coast😂😂😂😂 , View attachment 1789191
View attachment 1789192
View attachment 1789194
View attachment 1789193
Hizi vitu unasema hapa zinapatikana kila sehemu hata huku Kenya. Usifanye nianze kukupigia picha vijijini kwetu nizitume hapa. Hapa tunaongea maisha ya watu wa Dar na Nairobi. Unataka kuniambia Mtu anayemiliki nyumba hapa ako na uwezo wa kujengwa nyumba kijijini kama hiyo uliyopost.@kikihboy maisha ya Tanzania kila mtu anaweza kujenga popote pale haijalishi tajiri au maskini sie tumechanganyikana ndo maana kila sehemu hata vijijini huwezi pita nyumba 10 hujakutana na nyumba ya kisasa
tanzania ujenzi yani style unabadilika unaendana na wakati mtu aliejenga mwaka 2010 hawezi kulinganisha nyumba yake na ya sasa now days vijana wanafyatua vitu vizuri si mchezo
sie wazee tumepitwa na wakati tena
tanzania raia wengi tumelinganalingana kipato,kiuwezo ,pia ujenzi huku ni rahisi sana!
nyumba kama hizi unaeza kutanana nazo popote pale [emoji116]
View attachment 1789238View attachment 1789244
Yaani ni vile unakosa jibu mwafaka to level against what is given, unabaki ukipayuka tu empty rhetorics😂😂😂😂😂😂.,Dawa imeingia sasa 🤣🤣🤣🤣 hamupendi lugha ya kiswahili
Yombo nii hii hapa wewe taja eneo mm nikuletee sasa hvi 🤣🤣🤣👇👇👇👇 hakuna kuzuga hapa yani mzungu akose slum dar ila apate za dunia nzima 🤣🤣🤣🤣🤣Sasa unakataa hapa Ni maeneo ya yombo??zoom hii wacha kuchagua penye pazuri
View attachment 1789198View attachment 1789198
Hasira hazikupendezi 😃😃😃😃 na sijui kwann umekasirika😂😂😂😂😂Ni misamiati sasa.😂😂😂😂, endelea kunifunza Kiswahili, points zero, unajitia hamnazo eti😂😂😂., leta na minyambuliko na vina vya kati na vya nje kwenye shairi yako., 😂😂😂😂😂😂😂😂., unapata tabu sana😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 thank u, hii ndio average middle na lower middle za Dar to level na eastlands😂😂😂😂Mm nazoom umepost picha ya morogoro road ngoja tuzoom tuone kwann mZungu hakuona slum 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 tafuta sehemu yoyote dar unitajie mm nitafanya zoom bure kabisa na nitakwenda eneo hilo nichukue ground view kama vile tandale ilivowatoa uharo👇👇😁😁View attachment 1789253View attachment 1789254View attachment 1789256
Ngoja tuzooom tuone hzo nyumba zikoje tuanze na magomeni kagera 🤣🤣🤣👇👇😃😃😃😃😃 mzungu hawezi kua mjinga mpaka dunia itasmama👇👇👇 ukipata sehemu nyingine niambie nikusaidie kwann mzungu hakukosea 👇👇👇😀😀😀Kwa hivyo hawa wasioishi kwenye apartments ndio matajiri? Hizi ndio nyumba zinazomilikiwa na matijiri wa Dar 😂 😂 😂 😂
View attachment 1789221View attachment 1789225View attachment 1789236View attachment 1789237
No thank you, endeleeni tu na huo utajiri wenu. Hatuitaki! 😂 😂
Ngija tuzoom tena 🤣🤣👇👇👇👇Hizi mlizojenga Dar ndio decent?
View attachment 1789240View attachment 1789241View attachment 1789243
Sasa kama Dar kwenyewe ndio mmejenga ushuzi kama huu, sasa vijijini je?
Umeona nimekasirika ama unalazimisha fikra zako😂😂😂😂., ndio nakwambia uko na Kiswahili tupu😂😂😂., chochote unachofikiria kwa akili yako ndio basi 😂😂😂., pole bro.,😂Hasira hazikupendezi 😃😃😃😃 na sijui kwann umekasirika
Ubaya ni kwamba unakana hadi vitu zinaonekana tu kwa macho. Eti Masaki apartments ni chache sana? 😂 😂 😂 Hizi nyumba za ghorofa naona hapo kila mahali zinaitwaje?Masaki 95% ni nyumba za matajiri wenyewe na wanaishi wenyewe appartment ni chache sana kwa wageni tatizo lako ww unauelewa mdogo sana juu ya dar 😂😂😂😂😂 na kuna baadhi ya hotel kwa ajili ya wageni pia na hio masaki ni kubwa vibaya sana yanu kubwa kweli kweli 😃😃😃😃
Hzi ni estate 95% wame rent so niambia who own those estate ?? Au nikusaidie 🤣🤣🤣 na je ukiweza ku rent unakua middle class au nyinyi middle class munawachukuliaje😂😂😂😂😂😂😂 thank u, hii ndio average middle na lower middle za Dar to level na eastlands😂😂😂😂
View attachment 1789276
View attachment 1789277
View attachment 1789278
View attachment 1789279
Dar es salaam middle na lower middle class residential kwa uzuri wake😂😂😂😂😂., Next pictures am here...,Ngija tuzoom tena 🤣🤣👇👇👇👇
View attachment 1789284
Sasa hizo ndio decent houses jinsi mwenzako alivyosema?Ngija tuzoom tena 🤣🤣👇👇👇👇
View attachment 1789284
Nakuuliza swali unijibu who own those estate na usiponijibu nitakusaidia pia 🤣🤣🤣 kwasababu huwezi nidanganya wewe nakwambia tena masaki 95% ni nyumba za watu binafasi na appartments ni chache mostly kwa ajili ya wageni sasa unabishana na mm 😂😂😂😂😂Ubaya ni kwamba unakana hadi vitu zinaonekana tu kwa macho. Eti Masaki apartments ni chache sana? 😂 😂 😂 Hizi nyumba za ghorofa naona hapo kila mahali zinaitwaje?
Do u know people buy those houses, yaani ukiona estate unadhanibwatu wamekodisha😂😂😂😂., ata apartment watu wananunua na kuishi, especially eastlands most no personal houses in a well organized gated communities., Prove me wrong hapa.😂😂😂😂., Dar is slum/village..,Hzi ni estate 95% wame rent so niambia who own those estate ?? Au nikusaidie 🤣🤣🤣 na je ukiweza ku rent unakua middle class au nyinyi middle class munawachukuliaje
🤣🤣🤣🤣 niambie mm who own estate in eastland au nikusaidie sasa hvi manake sichelewi kukusaidia mtu kama weweUmeona nimekasirika ama unalazimisha fikra zako😂😂😂😂., ndio nakwambia uko na Kiswahili tupu😂😂😂., chochote unachofikiria kwa akili yako ndio basi 😂😂😂., pole bro.,😂
Nakwambia maskini wa dar ana nafuu mara mia kulik Mtu anaiishi hapa 🤣🤣🤣👇👇👇 kibera alone imebeba watu million 2 na laki tano bado tubishane nn 🤣🤣🤣Dar es salaam middle na lower middle class residential kwa uzuri wake😂😂😂😂😂., Next pictures am here...,
Mtanganyika, huwezikuwa na ubishi asubuhi hadi usiku. It doesn't change any facts. Hizo nyumba unaita ni za mainvestors nyingi sana zinajengwa kwa ajili ya wanunuzi, na wanaozinunua na kuzimiliki ni wakenya. Unakumbuka nikikuambia wakenya wako na purchasing power? That's what I meant.Hzi ni estate 95% wame rent so niambia who own those estate ?? Au nikusaidie 🤣🤣🤣 na je ukiweza ku rent unakua middle class au nyinyi middle class munawachukuliaje