Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umelishwa pumba kijiweni[emoji23][emoji23]
Mkenya km anauza ardhi huangalia pesa kwanza mkikuyu bora ufikie bei tu[emoji23][emoji23]
Unaona jinsi amebadilisha gear sasa?! 😂 😂 😂 It's no longer about Kenyans not being able to own land and houses. Sasa imekuwa ni kabila fulani wanamiliki ardhi na nyumba but can't sell to other tribes. This guy is the most stupid of all Tanzanians in this forum. His level of desperation is on another level
 
Unaona jinsi amebadilisha gear sasa?! 😂 😂 😂 It's no longer about Kenyans not being able to own land and houses. Sasa imekuwa ni kabila fulani wanamiliki ardhi na nyumba but can't sell to other tribes. This guy is the most stupid of all Tanzanians in this forum. His level of desperation is on another level
Hamuna uwezo wakuown land na ww umesema mwenyewe land in nairobi ni wxpensive sio sh mbili na bado majority ni maskini watamiliki vp ardhi na nyumba na ukasema ww una urithi ushagoo 🤣🤣🤣 sasa sijui wapi unakwama wewe lakini ndoto ya kumiliki nyumba nairobi haipo kwa wengi sana ukiwemo wewe 😂😂😂😂😂
 
Wakenya wana majumba mzee hzo pumba zako hata haziwezi badilisha taswira yyte[emoji23][emoji23]
Majumba au kurent estates ??? Eleweka kidogo hapo🤣🤣🤣🤣 eti ukiweza kurent bedsitter nawewe middle class nyama ya bata
 
Nani ana 14m ksh nani ni middle gani kenya ana pesa ya kulipia nyumba na kununua kwa mshahara gani kwa maisha gani 🤣🤣🤣👇👇 na wewe mwenyewe umesema kununua ardhi nairobi sio sh mbili View attachment 1789874



nilikwambia 🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
Si nimekuambia ni watanzania wanazinunua. Zinajengwa watanzania wazinunue kwa sababu wako na purchasing power kubwa kushinda wakenya
 
Hamuna uwezo wakuown land na ww umesema mwenyewe land in nairobi ni wxpensive sio sh mbili na bado majority ni maskini watamiliki vp ardhi na nyumba na ukasema ww una urithi ushagoo 🤣🤣🤣 sasa sijui wapi unakwama wewe lakini ndoto ya kumiliki nyumba nairobi haipo kwa wengi sana ukiwemo wewe 😂😂😂😂😂
Kwa hivyo Kenya nzima ardhi iko tu Nairobi? How do you even reason?
 
Mbona imeishia njiani sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na zile 14b ksh zikwapi zimeliwa na wajanja
BBI ispopita mi naachana na ishu za siasa, jamaa wamepanga safu we subiria utajionea..siasa zetu huwezi zielewa kamwe
 
Jamaa kakasirika[emoji23][emoji23][emoji23]anasema middle class hawezi afford 14million, kwhyo kwake hizi nyumba ni za matajiri
Huyu ako na hasira za kijinga sana. As if sisi ndio tulifanya wajaze fishing village yao na dreamhouses kila corner
 
Si nimekuambia ni watanzania wanazinunua. Zinajengwa watanzania wazinunue kwa sababu wako na purchasing power kubwa kushinda wakenya
Sema muna rent pesa ya kununua hamuna mpaka dunia itasmama 15m ksh mshahara wenyewe 30k shs hapo bado makato ya serekali hapo hujala hapo hujalipa rent hapo hapo bado transport hapo hapo bado stima na maji hapo hapo hujavaa 🤣🤣🤣🤣🤣 acheni masikhara nyinyi
 
Unaona jinsi amebadilisha gear sasa?! [emoji23] [emoji23] [emoji23] It's no longer about Kenyans not being able to own land and houses. Sasa imekuwa ni kabila fulani wanamiliki ardhi na nyumba but can't sell to other tribes. This guy is the most stupid of all Tanzanians in this forum. His level of desperation is on another level
Ameruka futi kumi[emoji23][emoji23]
Sai imekua hzo appartments wanaonunua ni matajiri middle class hawa afford, yani nimemcheka kw dharau sana
 
Jamaa kakasirika[emoji23][emoji23][emoji23]anasema middle class hawezi afford 14million, kwhyo kwake hizi nyumba ni za matajiri
Mm nikasirikie labda niwe siwajui nyinyi ndio ntakasirika 🤣🤣🤣🤣 na haitatokea kua afford mpaka dunia inasmama kwa mshahara gani 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom