Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na ndio maana maskini wa dar hawezi kua sawa na maskini wa nairobi hata kwenye purchasing power ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

tuanze na wepesi wakupata job tanzania ndio low unemployment rate in east africa na kua na kazi ndio kunakufanya uendeshe maisha sasa maskini bila kazi au ajira kuna ndoto ya maisha ??๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

hata tukiachia unemployment rate tukija kwenye inflation rate still bado inaifanya tanzania kua mtu wa chini kua na uwezo wa kununua chochote wakat wowote na hata ukiangalia circulation ya pesa dar ni kubwa sana
Kila siku nakuambianga hujui vitu unasema. Huwa huelewi kabisa, wewe bora tu unaongea. Kenyans have the highest purchasing power than any other people in this region - another fact that you know but just ignore or totally don't know.
 
Nani mgumu mm au wewe๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ wewe uainidanganye mm hapa kama huna pesa ya kujenga na kua na nyumba mjini maana yake huna kipato ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hata sisi vijini tuna mashamba na nyumba lakini dream ya kua na nyumba kupunguza gharama za maisha ni level nyingine tena

so wewe umerithi nyumba kijijini kweni na akili yako imeishia hapo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na yote ni kwasababu huna ndoto na hutakua nayo ya kumiliki ardhi mjini wala nyumba alaf kingine kua land mjini ni ndoto ya kujiweka vzr zaidi

narudia maneno yangu huwezi kupanga bessitter alaf ukajiita middle class, kua na nyumba na kutokua na nyumba ni vitu viwili tofaut mzee huku tanzania mtu wa chini kabisa nyumba ni kitu cha kawaida sana hata ghaarama za matumizi zinapungua na serving yake inaweza kua kubwa kufanya jambo jingine hata ukija kwenye inflation rate tanzania iko na low inflation rate na hio inaifanya kua na purchasing power kubwa zaidi ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Yawezekana najadiliana na taahira. Nilikuuliza kwamba Ni lazima wakaazi wa Nairobi wamiliki nyumba huko? Na imeandikwa wapi? Kwa hivyo mkazi wa Nairobi ambaye ako huko kikazi akipewa transfer itabidi na huko alikoenda pia aanze mchakato wa kujenga nyumba asahau ile alijenga nairobi? Owning a house in the city is just a dream as you put it but it's not a must. Pia kuna wale wako tu na pesa but they've never had that dream of building a house in Nairobi. Sio eti uwezo hawana.

Lengo langu la kukutajia ardhi niliyoridhi na pia yenye nilinunua ni pale uliposema kwamba wakenya wengi hawana uwezo wa kujenga nyumba au kumiliki ardhi. Kwani wakenya wanaishi juu ya miti? Unapenda ubishi za kijinga sana wewe kijana.

Kuhusu middle-class, huu uharo wako hautabadilisha chochote. Ukweli ni kwamba Kenya iko na middle-class wengi kuliko Tanzania and there's nothing you can about it. That's the sad fact. Utalia hata damu but ukweli itabaki pale pale
 
Yawezekana najadiliana na taahira. Nilikuuliza kwamba Ni lazima wakaazi wa Nairobi wamiliki nyumba huko? Na imeandikwa wapi? Kwa hivyo mkazi wa Nairobi ambaye ako huko kikazi akipewa transfer itabidi na huko alikoenda pia aanze mchakato wa kujenga nyumba asahau ile alijenga nairobi? Owning a house in the city is just a dream as you put it but it's not a must. Pia kuna wale wako tu na pesa but they've never had that dream of building a house in Nairobi. Sio eti uwezo hawana.

Lengo langu la kukutajia ardhi niliyoridhi na pia yenye nilinunua ni pale uliposema kwamba wakenya wengi hawana uwezo wa kujenga nyumba au kumiliki ardhi. Kwani wakenya wanaishi juu ya miti? Unapenda ubishi za kijinga sana wewe kijana.

Kuhusu middle-class, huu uharo wako hautabadilisha chochote. Ukweli ni kwamba Kenya iko na middle-class wengi kuliko Tanzania and there's nothing you can about it. That's the sad fact. Utalia hata damu but ukweli itabaki pale pale
Tanzania uku mtu anaeishi kwenye apartment tena mbovu kama idadi kubwa ya estate hapo kwenu zilivyo, huyo category yake ni maskini tu au wenyewe tunaita watu wa maisha ya kawaida.. lakini sio watu wa maisha ya kati .. huwezi kuwa mtu wa kipato cha Kati ilihali haunauwezo wa kujenga nyumba yako .. ngoja nikupe mfano mdogo kwa video . Huo ni ujenzi unaofanywa na shirika la nyumba la Taifa NHC na ni kwaajili ya watu wenye kipato cha kawaida.. kwahyo majority of Nairobians ni watu wa kipato cha chini au kipato cha kawaida
 
Sisi tumejenga nyumba zetu Dar ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Hatuishi kwenye estates za investors. Alafu jamaa anakuwa tu proud!
I remember days when they used to deny these aren't Dar pictures
Ukifika ground kuona hapo mambo ni tofauti kabisa
 
Must somebody own land or a house in Nairobi? Mtu akimiliki nyumba au ardhi kwingineko Kenya sio achievement? Nishakuambia watu wengi Nairobi wako huku kikazi. Hayo ya kutokuwa na haki ya kulimiki ardhi Nairobi unajua ulikotoa coz I have very many friends who own land and/or houses in Nairobi. What I am trying to tell you is that prices of land in anirobi are so high. Mtu anaona hakuna haja ya kuspend tens of millions of shillings buying a piec e of land in Nairobi that will not impact on his or her life so much while he can use that money to build a retirement home upcountry in a piece of land he or she already owns or can own at a cheaper price compared to Nairobi. Bei ya ardhi Nairobi sio shilingi mbili jinsi ilivyo Dar. You can believe whatever you want to believe and you are also at liberty to say anything you want.
Ss km Wakenya wengi wanajenga vijijini mbn hatuzioni hizo decent houses huko vijijini zaidi ya huts?
 
Ss km Wakenya wengi wanajenga vijijini mbn hatuzioni hizo decent houses huko vijijini zaidi ya huts?

Vijijn wapi labda kama ni ya kurithi hawa jamaa hawawezi kumiliki ardhi Nairobi na Nairobi metro in general, k.m ukienda kiambu huwezi kupata mtu wa kabila lingine anamiliki ardhi eneo ilo zaidi ya mkikuyu

Yani mkalenjin atoke rift valley aje amiliki ardhi kiambu izo ni ndoto za alinacha haitowahi kutokea
 
That's kibera slum, very small in comparison to the rest of Nairobi. Na hiyo mahali umeandika pori ni golf courses. Najua Dar nzima iko na golf courses moja au mbili maximum. Huku kwetu tuko nazo hadi kwenye slums
View attachment 1788780View attachment 1788781View attachment 1788782
View attachment 1788784

Look at the area and houses around Kibera alafu linganidhe na zile midreamhouses zenu
View attachment 1788787View attachment 1788798View attachment 1788799View attachment 1788800View attachment 1788788
And then look at how organised the surrounding area looks then compare with your uswazis

View attachment 1788786

View attachment 1788797
Dar is slum period! Kiswahili ndio mingi, facts scream louder. 90% ushuzi.
 
Povu limetokea takoni leo siku nyingine njoo na heshma kama ndugu yako Nicxie sasa hvi hatumsikii tena manake nilimpa nondo hatakaa kunisahau ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ yani mzungu na akili ya kuweka sattelite asione slum dar ila aone ya dunia nzima utahangaika mpaka dunia itasimama
Kiswahili tupu, empty rhetorics๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, wapi za Dar?., hamna chochote nyie, kama ziko leta humu Kiswahili mingi ya nini?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
 
Leo Nicxie amejilipua, kaweka zile picha huwa tunasema za upande upande, yn leo ndio kila kitu kaweka hadharani aloo, hakuna sehemu ikakosa ushuzi Kenya, yn maslums kushoto kulia aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watanzania mmeona tulichokuwa tunasema humu kwamba Kenya ni mavi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Leo jamaa kaji expose mwenyeewee wala hajashikiwa mtutu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Oya ichoboy01 mpe ulinzi Nicxie mana Wakenya wenzie watamuua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maeneo yao wanayokesha kulinganisha na Tz yote yana mauchafu ya slums kila kona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimecheka kidogo nife leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hakuna battle hapa wakuu, oyaa wakuu mpeni ulinzi Nicxie kashawavua nguo ndugu zake huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wenzie wanaficha yeye kawalipua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Woooiiii [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1788821View attachment 1788822View attachment 1788823View attachment 1788824View attachment 1788825View attachment 1788827View attachment 1788828View attachment 1788829View attachment 1788830View attachment 1788831View attachment 1788832
Ndio maana nilikua najiuliza wakenya wote wanaishi kwenye hizo kota a.k.a estate Leo nimepata jibu. Kumbe wanaleta ujanja ujanja
 
Leo Nicxie amejilipua, kaweka zile picha huwa tunasema za upande upande, yn leo ndio kila kitu kaweka hadharani aloo, hakuna sehemu ikakosa ushuzi Kenya, yn maslums kushoto kulia aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Watanzania mmeona tulichokuwa tunasema humu kwamba Kenya ni mavi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Leo jamaa kaji expose mwenyeewee wala hajashikiwa mtutu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Oya ichoboy01 mpe ulinzi Nicxie mana Wakenya wenzie watamuua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maeneo yao wanayokesha kulinganisha na Tz yote yana mauchafu ya slums kila kona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimecheka kidogo nife leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hakuna battle hapa wakuu, oyaa wakuu mpeni ulinzi Nicxie kashawavua nguo ndugu zake huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wenzie wanaficha yeye kawalipua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Woooiiii [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1788821View attachment 1788822View attachment 1788823View attachment 1788824View attachment 1788825View attachment 1788827View attachment 1788828View attachment 1788829View attachment 1788830View attachment 1788831View attachment 1788832
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚an idiot is running away na kajisababu., mumepewa a clear analysis, very objective with clear demarcations., Wapi ya Dar? Hapa jibubhakuna ni vijisababu uchwara kwendeni uko๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Hauwezi pata such organization and modern housing in such density in Dar., kuna all types but where is your low middle and middle class residential., yaani Dar ni village type lifestyle ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., Mmeogopa kuweka picha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., idiots, kwa kukwepa hamjambo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.,
Mtoe wapi wide area organized residential,..,ni hapa mtabakia siku mingi, nyumba za kishamba, dirisha za mbao., village at the coast๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ,
Screenshot_20210514-145611.png

Screenshot_20210514-145638.png

Screenshot_20210514-145539.png

Screenshot_20210514-145319.png
 
Niliwaambia toka mwanzo ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ bakia kuzuga kwa kujichekesha tu ila tango pori umekuala leo ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Ni misamiati sasa.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚, endelea kunifunza Kiswahili, points zero, unajitia hamnazo eti๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., leta na minyambuliko na vina vya kati na vya nje kwenye shairi yako., ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚., unapata tabu sana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom