Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mazingira ya hiyo picha unayokejeli na mazingira yanayozunguka hii yenu gani afadhali? Hii yenu majengo yako wapi?
View attachment 1784221
Aliyesema nyani haoni kundule hakukosea
Hio ni ubungo tu hakuna sehemu yoyote nyingine umegusa hapo zaidi ya ubungo 🤣🤣🤣🤣🤣 unatafuta mlango wakutokea tulia urambe dawa
 
More than 40% we kichaa

It could shoot to even 80% and it's possible sababu sio kwa ufukara huo ninaouona Kenya
Nenda kwenye portal ya WB ugeuza hiyo figure iwe 100%. Wako na regional office hapa Nairobi unawezakuja pia physically ufanye hivyo 😂 😂
 
Ata munyambe muhare, Michele mulie, mkubali mkatae, mruke juu na kushuka chini, mnarudi pale pale.,
Poverty Kings of EAC., bingwa alie kosa mpinzani miaka nenda miaka rudi.,😅😂😂😂😅., Propaganda haitobadilisha ukweli, usisahau tuliingia lower middle income 2014, so below poverty rate sio $1.9 ni $3., extreme yenyu inapimwa na 0.9$., 😂😂😅😅😂.,
Mmekomaa aiseh.,
View attachment 1784567
Afadhali muendelee kujiliwaza na vipicha vya Dar., hapa mtaumbuka tu hadi basi😂😅😂😂.,
View attachment 1784567
Asante kwa history

Tupo 2021 kwenye LMIC na ninyi ndio mafukara ya ulimwengu

Screenshot_20210514-131431.png
 
Ata munyambe muhare, Michele mulie, mkubali mkatae, mruke juu na kushuka chini, mnarudi pale pale.,
Poverty Kings of EAC., bingwa alie kosa mpinzani miaka nenda miaka rudi.,😅😂😂😂😅., Propaganda haitobadilisha ukweli, usisahau tuliingia lower middle income 2014, so below poverty rate sio $1.9 ni $3., extreme yenyu inapimwa na 0.9$., 😂😂😅😅😂.,
Mmekomaa aiseh.,
View attachment 1784567
Afadhali muendelee kujiliwaza na vipicha vya Dar., hapa mtaumbuka tu hadi basi😂😅😂😂.,
View attachment 1784567
Munaisingizia corona bure tu 🤣🤣👇👇
 
Hawa watu wapumbavu sana, halafu WB walitoa report hiyo ili kuchafua reputation ya Magufuli sababu alikua anawananga sana
😅😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😝😝 jamaa kajitetea vinoma🤣😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣, ebu rudia tena nisome vizuri, pengine umekosea sehemu, inaeza kua ni typing error hivi, haumaanishi.,😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣., WB walio sema nyie ni lower mido income, and in the same breath wakasema nyie masikini wa kutupwa pia walikua tu wanachafulia mkulu jina eti?🤣🤣🤣😝😝😝😝😅😅🤣🤣😂.,
 
Hutaki au? mkenya haitakaa itokee awe na maisha mazuri kuliko mTz, never na co Mkenya tu East and Central Africa plus many countries in the world[emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]

Mkulungwa mboga ipo wapi? hii ndonga wamesongaje 😀, na Concrete mixture nini ? hahah.

thumb_vgnepr7fqhcdgbqnaty5b654f187fe41.jpeg
 
😅😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😝😝 jamaa kajitetea vinoma🤣😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣, ebu rudia tena nisome vizuri, pengine umekosea sehemu, inaeza kua ni typing error hivi, haumaanishi.,😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣., WB walio sema nyie ni lower mido income, and in the same breath wakasema nyie masikini wa kutupwa pia walikua tu wanachafulia mkulu jina eti?🤣🤣🤣😝😝😝😝😅😅🤣🤣😂.,
Unajua nini we kilaza? 😅😅

Hii dunia iache kama ilivyo sababu una akili kisoda 😜
 
Munaisingizia corona bure tu 🤣🤣👇👇

Jichunguze na nyinyi pia, ama haupati picha kilaza?😂🤣🤣😅😂😂😂., toka kwa matako ya Kenya, nenda panguza yenyu kaka., kunanuka sana!!!,.😅😂😂😂🤣🤣😂 bro kila mtu apambane na hali yake..,🤣🤣😅😂😂😝😝
 
Jichunguze na nyinyi pia, ama haupati picha kilaza?😂🤣🤣😅😂😂😂., toka kwa matako ya Kenya, nenda panguza yenyu kaka., kunanuka sana!!!,.😅😂😂😂🤣🤣😂 bro kila mtu apambane na hali yake..,🤣🤣😅😂😂😝😝
🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇 2021 world bank
 
Unajua nini we kilaza? 😅😅

Hii dunia iache kama ilivyo sababu una akili kisoda 😜
Kazi yako ni rahisi sana😂😂😂😅🤣🤣🤣😝😅😂 done and dusted, endelea kutapatapa tu😂😅😅😂😂😂🤣🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom