Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe na hao wenzako hamna tofauti - wote vilaza tu. Piga hesabu upate 40% ya wakenya ni watu wa ngapi kisha linganisha na 28 million people in Tanzania ambao wameshadhibitishwa kuishi under extreme poverty. Na kumbuka yenu ni extreme poverty
40% iko wapi hapa, hivi mbn tunabishana upuuzi, yn huoni aibu kubishana kwamba Kenya ina mafukara wengi kuliko Tz?
 
So we are leading with 20 million people wakati nyinyi mko na 28 people as at October 2020? 😂 😂 😂 Nilishakuambia kutoelewa kwako kiingereza sio kosa letu.
Asante kwa history

Now ni 2021

Tupo hapa 🤣🤣

Screenshot_20210514-131431.png
 
Sisi tuko wangapi in total zen linganisha na nyie mko wangapi alafu utapata jibu nani anaongoza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Excuses galore. Hata percentage-wise bado mnatushinda kwa umasikini bongolala. Hiyo 28 million represents about 46.6% of your population. Sisi tuko at 40%. Si mkubali tu yaishe? Hatutawachapa!
 
Excuses galore. Hata percentage-wise bado mnatushinda kwa umasikini bongolala. Hiyo 28 million represents about 46.6% of your population. Sisi tuko at 40%. Si mkubali tu yaishe? Hatutawachapa!
70% of Nairobians ni slum dwellers
20210102_183640.jpg
 
Sisi tuko wangapi in total zen linganisha na nyie mko wangapi alafu utapata jibu nani anaongoza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa watu wapumbavu sana, halafu WB walitoa report hiyo ili kuchafua reputation ya Magufuli sababu alikua anawananga sana
 
Hawa watu wapumbavu sana, halafu WB walitoa report hiyo ili kuchafua reputation ya Magufuli sababu alikua anawananga sana
😂 😂 😂 😂
Ndio maana mnaitwa bongolala. Na sisi hiyo yetu WB walitoa kuchafua reputation ya nani?
 
40% iko wapi hapa, hivi mbn tunabishana upuuzi, yn huoni aibu kubishana kwamba Kenya ina mafukara wengi kuliko Tz?
Inamaana hii taarifa aliyoleta pumba mwenzako huoni mahali imeandikwa 40% in that yellow highlited part?
2773835_Screenshot_20210514-131431.png

Mbona nyinyi wabishi hivi?
 
Umeamua kufuta machozi na blogs! Is that World Bank or IMF?
You are so desperate kijana
Hutaki au? mkenya haitakaa itokee awe na maisha mazuri kuliko mTz, never na co Mkenya tu East and Central Africa plus many countries in the world[emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]
 
Asante kwa history

Now ni 2021

Tupo hapa 🤣🤣

View attachment 1784547
Hapa vp [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1784541
Ata munyambe muhare, Michele mulie, mkubali mkatae, mruke juu na kushuka chini, mnarudi pale pale.,
Poverty Kings of EAC., bingwa alie kosa mpinzani miaka nenda miaka rudi.,😅😂😂😂😅., Propaganda haitobadilisha ukweli, usisahau tuliingia lower middle income 2014, so below poverty rate sio $1.9 ni $3., extreme yenyu inapimwa na 0.9$., 😂😂😅😅😂.,
Mmekomaa aiseh.,
1612944186467.jpg

Afadhali muendelee kujiliwaza na vipicha vya Dar., hapa mtaumbuka tu hadi basi😂😅😂😂.,
1612944186467.jpg
 
Hutaki au? mkenya haitakaa itokee awe na maisha mazuri kuliko mTz, never na co Mkenya tu East and Central Africa plus many countries in the world[emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]
Unaweza piga kelele hadi ulie machozi ya damu but it won't change any fact. Facts are screaming bongolala and there's absolutely nothing you can do about them. And these are the fact's
Screenshot_20210514-141737~2.png
 
Ata munyambe muhare, Michele mulie, mkubali mkatae, mruke juu na kushuka chini, mnarudi pale pale.,
Poverty Kings of EAC., bingwa alie kosa mpinzani miaka nenda miaka rudi.,😅😂😂😂😅., Propaganda haitobadilisha ukweli, usisahau tuliingia lower middle income 2014, so below poverty rate sio $1.9 ni $3., extreme yenyu inapimwa na 0.9$., 😂😂😅😅😂.,
Mmekomaa aiseh.,
View attachment 1784567
Afadhali muendelee kujiliwaza na vipicha vya Dar., hapa mtaumbuka tu hadi basi😂😅😂😂.,
View attachment 1784567
Unaweza piga kelele hadi ulie machozi ya damu but it won't change any fact. Facts are screaming bongolala and there's absolutely nothing you can do about them. And these are the fact'sView attachment 1784568
Sasa hvzi hasira zitasaidia nn 😀😀😀 kisa mumeumbuka 👇👇👇👇👇
1+1+1 (zote sehemu moja)
ichoboy01 anaelewa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom