Oya nimeona unanifuatilia sana comments zangu. Ninakuonya, huwa sifanyi upumbavu kama wako.IT expert leo ameamua kupost viatu,😂😂😂 usisahau na maziwa tucheke kidogo



Ni wachafu hakuna mfano
Utachoka bure ata uki wapea link hawana uwezo wa ku understand a report., wanajitia hamnazo, aibu hawataki, wanaumia kimya kimya wahurumie., 😂😂😂History? Report ya last year October inakuwa history? Hata mwaka haijaisha. Leta ripoti ya World Bank inayosema hiyo idadi imepungua ndani ya hizo miezi saba
Unaumwa kweli 😂 😂 😂all of these can be summarized in this one picture View attachment 1784144
Bado sn hawa watu, ni vile tulikaa kmy tu ndio maana ukaona walikuwa ranked juu yetu, hebu angalia jinsi palivyo peupe, hakuna majengo kabisa, ss hii ndiyo unataka kufananisha na bongo hii?
Ulisikia wapiWameban Plastic aina gani? mbona kama bado kuna plastic.






Choko reborn upo mama?Habari bibiye??
Mazingira ya hiyo picha unayokejeli na mazingira yanayozunguka hii yenu gani afadhali? Hii yenu majengo yako wapi?Bado sn hawa watu, ni vile tulikaa kmy tu ndio maana ukaona walikuwa ranked juu yetu, hebu angalia jinsi palivyo peupe, hakuna majengo kabisa, ss hii ndiyo unataka kufananisha na bongo hii?
Kwenye ile picha cbd yenu yote inaonekanaMazingira ya hiyo picha unayokejeli na mazingira yanayozunguka hii yenu gani afadhali? Hii yenu majengo yako wapi?
View attachment 1784221
Aliyesema nyani haoni kundule hakukosea
Maziwa kule kwao kila kampuni mwisho jina freshIT expert leo ameamua kupost viatu,usisahau na maziwa tucheke kidogo

yani maskini akipataThat's photography. Inadepend na angle ya picha and considering ilichukuliwa kutoka mbali, it's possible to capture all the mentioned places. Just the same way you can capture the whole of Dar cbd in one single shot. Vitu zingine ni kutumia akili tu. Halafu hiyo picha mbona sioni Kilimani?Kwenye ile picha cbd yenu yote inaonekana
Watu wako KDB budaa acha kujiabishaNo that is not tbt, just look at the number plate of that van appearing in the foto. Those are recently vehicles registration numbers in Kenya.
Kwani we umeona ngapi mkuu..Bado uko huku? Umeona ni trolleys ngapi za maji?
Katika dini ya kislam kutoa ni sadaka, sadaka hutolewa kw yyte yule...waarabu wanatafuta fungu kw Mungu baba kw ajili ya maisha yake ya akheraBora upewe pesa karne hii kuliko kupewa misaada ya chakula...ni aibu kubwa.