Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,905
- 9,730
Wewe ndo una hasira yani uwache kusherekea eid uingie JF😁😁😁Hasira hioooooo naiona 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana leo umeshikwa busha
Wewe ndo una hasira yani uwache kusherekea eid uingie JF😁😁😁Hasira hioooooo naiona 🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sana leo umeshikwa busha
🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇 sio mm ni world bank waulize hao kwanzaNajua unakuwanga pumba na so kupenda kwako ila nataka upige hesabu za haraka kama utaweza.
40% ya 52 million people ni watu wangapi? Hesabu rahisi hiyo. Fanya haraka kisha nipe jibu
Jamaa wana ufukara wa kutisha sana.Mkulungwa mboga ipo wapi? hii ndonga wamesongaje 😀, na Concrete mixture nini ? hahah.
View attachment 1784572
👇👇👇Hasiraaaaaaa hzooooooooo naziona kwa karibuuuu🤣🤣🤣🤣 leo mlango wakutoka umekua mgumu sana
Wewe ndo una hasira yani uwache kusherekea eid uingie JF😁😁😁
Wanateseka sana, 😂😂🤣, vijisababu lakini wapi!😝😂🤣😂😂., Kilaza wa Mwanza ametokelezea pia., the three vilaza leo kwa pamoja exposing stupidity😂😂🤣😂🤣😂😂😂😝., leo ni sherehe za IDD wahurumie., kwanza wa eneo za pwani ya Tz., achana nao utafanya mtu anyongwe na biriani jameni🤣😂🤣🤣😂😂.,Unaweza piga kelele hadi ulie machozi ya damu but it won't change any fact. Facts are screaming bongolala and there's absolutely nothing you can do about them. And these are the fact'sView attachment 1784568
Hasiraaa kama zoteee leo 🤣🤣🤣 mwenzenu kawatia kiberitiWewe ndo una hasira yani uwache kusherekea eid uingie JF😁😁😁
Mm nasherekea huku nawakamua nyaa🤣🤣
mtwara port
Unitag plz 🤣🤣🤣Tupatatie mpya.
Watajifanya hawafungui link [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]World bank report 2021
![]()
Kenya Worse Than Zimbabwe in Extreme Poverty - World Bank
Zimbabwe has 23 percent of its population living in extreme poverty.www.kenyans.co.ke
Hasiraaa kama zoteee leo 🤣🤣🤣 mwenzenu kawatia kiberiti
Yani umeacha shughli zote za eid ili uniquote,, 😁😁😁 watu kwenu wanadhan unafanya kitu ya muhimu kumbe uko jf😂😂😂😂😂Mm nasherekea huku nawakamua nyaa🤣🤣
Siku yangu yakufurahi sasa lazma nifurahi nanyie au namna gani 😀😀😀 naona mwenzenu leo kawatia njiti mapemaaYani umeacha shughli zote za eid ili uniquote,, 😁😁😁 watu kwenu wanadhan unafanya kitu ya muhimu kumbe uko jf😂😂😂😂😂
Washakimbia maskini ya Mungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku yangu yakufurahi sasa lazma nifurahi nanyie au namna gani [emoji3][emoji3][emoji3] naona mwenzenu leo kawatia njiti mapemaa
Alafu mbona sioni bongo katika hio list ya low middle income ama mlikua demoted,Watajifanya hawafungui link [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1784587
Fungua hii hapa 🤣🤣🤣👇👇👇Alafu mbona sioni bongo katika hio list ya low middle income ama mlikua demoted,
kuna mwengine apo waga halali ameshinda akitafta news za kenya mchana usiku, ..ako twitter,mara facebook..najua akiskia vitu kama lamu port litazinduliwa ama nairobi express ..anahara kuhara...ama ako na anashikwa na pressure ..niko sure saa zengine waga anajisahau anaita wenzake 'kenya''..kenya inampa nightmare...ushawaskia skia ile wimbo wa Mariah carey ft gucci mane-Obsessed...i dedicate him hilo nyimbo...Wanateseka sana, 😂😂🤣, vijisababu lakini wapi!😝😂🤣😂😂., Kilaza wa Mwanza ametokelezea pia., the three vilaza leo kwa pamoja exposing stupidity😂😂🤣😂🤣😂😂😂😝., leo ni sherehe za IDD wahurumie., kwanza wa eneo za pwani ya Tz., achana nao utafanya mtu anyongwe na biriani jameni🤣😂🤣🤣😂😂.,
Uione bongo kwenye list ya ufukara? Angola mbn huioni apo [emoji3][emoji3][emoji117][emoji117][emoji90][emoji90][emoji205][emoji205]Alafu mbona sioni bongo katika hio list ya low middle income ama mlikua demoted,
Leo mwenzao kawapiga kibiriti mapema sama 😅😅😅 kajisahau naonaWashakimbia maskini ya Mungu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu kilaza hakuenda shule., 🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂., ni muongo sana nilishamgundua😂🤣🤣🤣😂., nacheka sana Leo, kwanza akitokea ni raha, kanajua kujitetea sana😂🤣🤣😅😂😂🤣, na kukwepa uki mcorner., huwa anachangamsha huu uzi na uabunuasivwake 🤣😂😂😂🤣., jamaa wa vipicha na repoti uchwara.,Najua unakuwanga pumba na so kupenda kwako ila nataka upige hesabu za haraka kama utaweza.
40% ya 52 million people ni watu wangapi? Hesabu rahisi hiyo. Fanya haraka kisha nipe jibu