Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo me naweza nikasema sehemu nyeupe tu bila kuwa na mantiki? Peupe namaanisha eneo kubwa kutokea CBD ni peupe yn majengo machache huwezi fananisha na cbd yetu. Hebu ile picha yako ya Dar zen ujijibu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio maana nilikuuliza hiyo picha ya expressway ipo cbd? Mbona unajikanganya mwenyewe? Unazungumziaje cbd wakati picha yenyewe iko kilometer kadhaa kutoka cbd?
 
Niletee taarifa ya World Bank inayosema hiyo idadi imepungua kati ya October 2020 na May 2021.

40% of 52 million Kenyans is approximately 20.8 million people. Sasa kati ya 28 million na 20.8 million people ni wapi afadhali?
Na hao 28 million sio eti wako tu below the poverty line, wale ni wenye wako kwa category ya EXTREME!., ama hajui kusoma?😂😂😅., yaani wale wakutupwa kupindukia., what if wakijumuisha wote, plus those just below the poverty line je? Tanzania iko ovyo sana😂😂😅 ,
 
Na hao 28 million sio eti wako tu below the poverty line, wale ni wenye wako kwa category ya EXTREME!., ama hajui kusoma?😂😂😅., yaani wale wakutupwa kupindukia., what if wakijumuisha wote, plus those just below the poverty line je? Tanzania iko ovyo sana😂😂😅 ,
Kuna wakati niliwaeleza kuhusu hili. Hawa wao ni wale maskini hohehahe. Yani wale ambao hawana mbele wala nyuma. Extreme poverty is the keyword they should try to understand here. Inamaana general poverty in Tanzania is way above 28 million people
 
Wabongo wote ni💩💩💩🤫
2773871_Screenshot_20210514-1417372.png
 
Wametoroka wrote kutafufa hifadhi ndani ya hizo dreamhouses zao. Hawa watu so wa kupelekwa polepole. Wabishi by nature
Nimegundia mtanzania anaeza akakwambia kwa mfano ukuta imepakwa rangi ya njano ata kama kiukweli ni nyeupe na akapingana hadi kushinda, ata kama facts are screaming.,😅😂😂😂😅, Kwa kupingana hawana mpinzani hii Africa yote.,
 
Nimegundia mtanzania anaeza akakwambia kwa mfano ukuta imepakwa rangi ya njano ata kama kiukweli ni nyeupe na akapingana hadi kushinda, ata kama facts are screaming.,😅😂😂😂😅, Kwa kupingana hawana mpinzani hii Africa yote.,
Yani ni wabishi sana hawa jamaa. Niliwapa hadi link ya taarifa yenyewe (which clearly mentions 22 October 2020) na bado wanasisitiza ni ya 2017. Kuna mmoja hadi akasema taarifa ni ya 2014 😂 😂
 
Hii ripoti ya moto moto kabisa,wakunya mtaambia nini watu aisee
Wewe na hao wenzako hamna tofauti - wote vilaza tu. Piga hesabu upate 40% ya wakenya ni watu wa ngapi kisha linganisha na 28 million people in Tanzania ambao wameshadhibitishwa kuishi under extreme poverty. Na kumbuka yenu ni extreme poverty
 
So we are leading with 20 million people wakati nyinyi mko na 28 people as at October 2020? [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nilishakuambia kutoelewa kwako kiingereza sio kosa letu.
Sisi tuko wangapi in total zen linganisha na nyie mko wangapi alafu utapata jibu nani anaongoza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio maana nilikuuliza hiyo picha ya expressway ipo cbd? Mbona unajikanganya mwenyewe? Unazungumziaje cbd wakati picha yenyewe iko kilometer kadhaa kutoka cbd?
Kwahiyo cbd huioni au [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wabongo wote ni[emoji90][emoji90][emoji90][emoji2958]View attachment 1784459
Kuna wakati niliwaeleza kuhusu hili. Hawa wao ni wale maskini hohehahe. Yani wale ambao hawana mbele wala nyuma. Extreme poverty is the keyword they should try to understand here. Inamaana general poverty in Tanzania is way above 28 million people
Na hao 28 million sio eti wako tu below the poverty line, wale ni wenye wako kwa category ya EXTREME!., ama hajui kusoma?[emoji23][emoji23][emoji28]., yaani wale wakutupwa kupindukia., what if wakijumuisha wote, plus those just below the poverty line je? Tanzania iko ovyo sana[emoji23][emoji23][emoji28] ,
Hapa vp [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1271764689.jpg
 
Back
Top Bottom