Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

1+1+1 (zote sehemu moja)
ichoboy01 anaelewa

Kwenye ile picha cbd yenu yote inaonekana

Aibu yao hiyo!
images (49).jpeg
901355e5afdf77748858be184635e3a2.jpg
 
History? Report ya last year October inakuwa history? Hata mwaka haijaisha. Leta ripoti ya World Bank inayosema hiyo idadi imepungua ndani ya hizo miezi saba
Tweet ya 2015 hiyo now tupo 2021

Na tupo LMIC ambayo wakati hiyo report inatoka hatukuepo now ninyi ndio mnaongoza globally kwa ufukara kwenye kundi la LMIC
 
Kando na kariakoo na cbd ni uchafu tu😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁
2773744_images_49.jpeg
 
Tweet ya 2015 hiyo now tupo 2021

Na tupo LMIC ambayo wakati hiyo report inatoka hatukuepo now ninyi ndio mnaongoza globally kwa ufukara kwenye kundi la LMIC
Acha kulazimisha mambo wewe. Hiyo ni Tweet ya last year mwezi wa kumi (2020). Taarifa yenyewe ndio hii hapa dated 20th December 2020

Kitu cha pili, just because you don't understand English is not our problem. Hiyo taarifa unayotaja ya LMIC ilitaja nchi za Africa (SA, Nigeria and Kenya) which top sub Saharan Africa in terms of the amount of money needed (in dollars) in order to break into 1% of dollar millionaires which is $20k in the case for Kenya (if I can remember it well, I might be wrong though and stand corrected). Just because Tanzania wasn't mentioned doesn't mean you are doing better than us. It only means that you need to upgrade your English comprehension levels
 
Back
Top Bottom