Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,711
Ni wapi nimesema wakenya wako na uwezo wa juu kujenga nyumba kuliko watanzania? Huenda haya naneno ni ya kweli ila mimi sijayasema so wacha kuweka maneno kinywani mwangu.Kabla hukataka kutwambia kuwa wabongo wengi hawana uwezo wa kujijengea nyumba nzuri kuliko wakenya fikiria hii fact: Nyumba nyingi Kenya (hasa mijini) hujengwa na kumilikiwa na makampuni binafsi ya real estates ilhali huku kwetu ni nyumba chache za aina hiyo. Asilimia kubwa ya nyumba hujengwa na wamiliki wenyewe. Kenyans wengi wanaoishi kwenye nyumba kali wamepanga tofauti na huku. Only a few individuals own most of your high standard residences.
Sent using Jamii Forums mobile app
Secondly, wacha kutegemea naneno ya kusikia. Njoo Nairobi uone idadi ya watu wanaomiliki nyumba zao binafsi. Syokimau, Utawala, Saika, Kahawa Wendani, Garden estate, Lang'ata na Ruai ni baadhi tu ya maeneo ambayo nyingi za nyuma zilizopo huko ni za watu waliojijengea. Ni nyumba nzuri tu na hayafanani na zile dreamhouses za Dar tunazojua.
Lastly, hata hizo zinazojengwa na makampuni nyingi tu ni za kuuza na ni wakenya ndio wanazinunua. Greenspan Estate in Donholm ni mfano tu wa nyumba zilizojengwa kwa ajili ya kuuza wala sio kupanganisha. Ukienda huko saa hii utakuta nyumba zote zimenunuliwa
Biashara/shughuli zote za uzalishaji zirasimishwe na zisajiliwe kwa official licence. 



