tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Tuongee ukweli tuKila mtu ana mtazamo tofauti. One man's meat is another man's poison. Huenda mimi pia sivutiwi na za kwenu ila kwa macho zako zinaweza kuwa tu sawa. That's the beauty of life
Tuongee ukweli tuKila mtu ana mtazamo tofauti. One man's meat is another man's poison. Huenda mimi pia sivutiwi na za kwenu ila kwa macho zako zinaweza kuwa tu sawa. That's the beauty of life
Nakuambia mnachofanya leo tulishafanya miaka za nyuma. Sasa inaongoza kwa lipi wakati kitu mnafanya leo sisi tulifanya mbele yenu? Gated communities Nairobi ilianza kuona kitambo sana sasa nashangaa unaongea niniSi ndiyo maana Dar is ahead all cities in EA as far as Estates investment is concerned.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambo sana mwaka gani, ebu weka hapa ujenzi na mwaka tuone.Nakuambia mnachofanya leo tulishafanya miaka za nyuma. Sasa inaongoza kwa lipi wakati kitu mnafanya leo sisi tulifanya mbele yenu? Gated communities Nairobi ilianza kuona kitambo sana sasa nashangaa unaongea nini
Mkuu ukipata muda tembelea na pale kawe kuna mabalaa flani hivi yamotrooo



Ni nini kipya hapo yenye hamjapost humu? Au unafikiri wengine wetu ni wageni hapa jf?
TunawatulizeMkuu ukipata muda tembelea na pale kawe kuna mabalaa flani hivi yamotrooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu 😂
Lakini kinachonifurahisha ni kwamba leo mnashabikia dormitories. Ule wimbo wa watanzania hawawezi ishi kwenye 'dormitories zinazofanana' imeenda wapi all of a sudden? 😂 😂 😂
Mkuu ukipata muda tembelea na pale kawe kuna mabalaa flani hivi yamotrooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa surely do you expect how many people to reside on those flats?mostly beginners ,still tunaenjoy kujenga nyumba zetu kwakua ardhi inanunulika kiurahisiLakini kinachonifurahisha ni kwamba leo mnashabikia dormitories. Ule wimbo wa watanzania hawawezi ishi kwenye 'dormitories zinazofanana' imeenda wapi all of a sudden?![]()
![]()
![]()
If you can't beat them, you join them
Sio kushabikia, unaoneshwa kuwa hivyo vitu huku pia vipo na sisi sio washamba tunapenda kujenga our own dream houses rather than buying or renting those apartments, rent au prices of those properties by Tanzanian standards inakutosheleza sana kujijengea nyumba nzuri tu ndomana most of the time wanakaa foreigners, expatriates, etcLakini kinachonifurahisha ni kwamba leo mnashabikia dormitories. Ule wimbo wa watanzania hawawezi ishi kwenye 'dormitories zinazofanana' imeenda wapi all of a sudden? 😂 😂 😂
If you can't beat them, you join them
Ukweli upi? Kwamba nyumba kama hizi za Greenspan Donholm hazina mvuto?Tuongee ukweli tu
Nyumba mnazojijengea Dar tunazijua ndugu. Hakuna kitu kizuri hapa, ukweli usemwe tu japo ni sumuSio kushabikia, unaoneshwa kuwa hivyo vitu huku pia vipo na sisi sio washamba tunapenda kujenga our own dream houses rather than buying or renting those apartments, rent au prices of those properties by Tanzanian standards inakutosheleza sana kujijengea nyumba nzuri tu ndomana most of the time wanakaa foreigners, expatriates, etc
Hebu zoom utuoneshe slum hapo🤣🤣 yani mzungu haoni kuliko wewe tena unapost pic kabisa kuna paved road kabisa inside the area au ww hujui maana ya slum ??Nyumba mnazojijengea Dar tunazijua ndugu. Hakuna kitu kizuri hapa, ukweli usemwe tu japo ni sumuView attachment 1776880
Sasa surely do you expect how many people to reside on those flats?mostly beginners ,still tunaenjoy kujenga nyumba zetu kwakua ardhi inanunulika kiurahisi
Nyumba mnazojijengea Dar tunazijua ndugu. Hakuna kitu kizuri hapa, ukweli usemwe tu japo ni sumuView attachment 1776880
Ni uchafu bado, unafichika tu kwa picha za mbali Ila ukiwa on ground unauona tena Sana. Ni kama tu Mombasa.Kama...
Wewe unaamka kutoka usingizini na kitu ya kwanza unagamka ni slums. Fuatilia thread ujue ni nini kinachoongelewaHebu zoom utuoneshe slum hapo🤣🤣 yani mzungu haoni kuliko wewe tena unapost pic kabisa kuna paved road kabisa inside the area au ww hujui maana ya slum ??
Zoom hapo ili niamini mzungu mpumbavu hakuona slum ya dar akaona ya dunia nzima 🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unaamka kutoka usingizini na kitu ya kwanza unagamka ni slums. Fuatilia thread ujue ni nini kinachoongelewa