The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kwahiyo unataka kunambia hulijui eneo lenye ghorofa nyingi EA etii wacha izo bwana watchman nicxie bhn onaaAlafu anafikiri watu ni wajinga. Anasema eti watu wamenunua hizo nyumba, wakazibomoa na kujenga maghorofa. Hayo maghorofa yako wapi kwenye hilo eneo? Ama ziko tu kwa akili yake?![]()
![]()







Sent using Jamii Forums mobile app

: rodgershija on IG


