Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu anafikiri watu ni wajinga. Anasema eti watu wamenunua hizo nyumba, wakazibomoa na kujenga maghorofa. Hayo maghorofa yako wapi kwenye hilo eneo? Ama ziko tu kwa akili yake?
Kwahiyo unataka kunambia hulijui eneo lenye ghorofa nyingi EA etii wacha izo bwana watchman nicxie bhn onaa

tapatalk_1603388942863.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unataka kunambia hulijui eneo lenye ghorofa nyingi EA etii wacha izo bwana watchman nicxie bhn onaa

View attachment 1777529

Sent using Jamii Forums mobile app
Kilaza, tunaongelea maeneo yanayozunguka Ubungo flyover. Hapo ni ubungo?

Secondly, nilishakuambia Nairobi nzima ni apartments. Sasa huna hata aibu kwamba the only place unaezapata density ya apartments ni Kariakor which is part if your cbd? Maghorofa kama hayo sisi tuko nazo nje ya cbd!
 
Kilaza, tunaongelea maeneo yanayozunguka Ubungo flyover. Hapo ni ubungo?

Secondly, nilishakuambia Nairobi nzima ni apartments. Sasa huna hata aibu kwamba the only place unaezapata density ya apartments ni Kariakor which is part if your cbd? Maghorofa kama hayo sisi tuko nazo nje ya cbd!
Mm na ww nani kilaza
Alafu anafikiri watu ni wajinga. Anasema eti watu wamenunua hizo nyumba, wakazibomoa na kujenga maghorofa. Hayo maghorofa yako wapi kwenye hilo eneo? Ama ziko tu kwa akili yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom